Richard mtao
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 262
- 361
Hahahah ndio mkuu..wew hutaki kwani?Kwahiyo mkuu wewe ulitaka uishi miaka 900?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah ndio mkuu..wew hutaki kwani?Kwahiyo mkuu wewe ulitaka uishi miaka 900?
Hahahah ndio mkuu..wew hutaki kwani?
Mkuu baada ya dhambi kuzidi dunian ndo mana myaka inapungua kila Leo. Lkn kusingekuwa na dhambi Mungu angetutafutia namna ya dunia kujibalansi bila kuathiri maisha yetuMkuu umenistua sana miaka 900 yote upo tu duniani? Kawaida tunapisha wengine waendelee kuishi
Niliwaona tu na Wala hawakuacha😔
hapo ungetafuta fimbo uifanyie matumizi ya uhakika
Laana itawatafuna kizazi chao cha kwanza na cha mwishoHakika hamtaiona mbingu,mtaangamia vibaya....kifo chenu kitakuwa Cha majuto na mateso.Haijalishi umeshawishiwa au umeshawishi.Kumwingilia mtoto wa mwenzio kinyume na maumbile ni laana na mnadhalilisha hao vijana na wazazi wao.Acheni mara Moja,tubuni....!msifanye ivo jamani....siyo vizuri Wana wazazi pia hao mwee😭😭😭😭😭
Ee Mwenyezi Mungu,tufumbue macho kama ulivyowafumbua Adamu na Hawa pale Edeni wakajua kuwa wamekutenda dhambi.....tufumbue nasi tujue namna tunavyokukosea.Amina🙏🙏🙏. ....Daaah
waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.
Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna hii; lakini mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini mlihesabiwa haki katika jina la Bwana Yesu Kristo, na katika Roho wa Mungu wetu.
🥲🥲🥲 noma sanaa...
Wte kapu moja..mliwa na mlaji..Na haitaacha Wala kuruka hata kizazi Chao kimoja
Mwingine huku jamaa mwenye miaka 50 kabaka mtoto wa miaka 7.Na haitaacha Wala kuruka hata kizazi Chao kimoja
Mungu akafungue njia pasipo na njia....watu wakaponewaasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.
Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna hii; lakini mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini mlihesabiwa haki katika jina la Bwana Yesu Kristo, na katika Roho wa Mungu wetu.
🥲🥲🥲 noma sanaa...
Umetema madini mazitoHakika hamtaiona mbingu,mtaangamia vibaya....kifo chenu kitakuwa Cha majuto na mateso.Haijalishi umeshawishiwa au umeshawishi.Kumwingilia mtoto wa mwenzio kinyume na maumbile ni laana na mnadhalilisha hao vijana na wazazi wao.Acheni mara Moja,tubuni....!msifanye ivo jamani....siyo vizuri Wana wazazi pia hao mwee😭😭😭😭😭
Ee Mwenyezi Mungu,tufumbue macho kama ulivyowafumbua Adamu na Hawa pale Edeni wakajua kuwa wamekutenda dhambi.....tufumbue nasi tujue namna tunavyokukosea.Amina🙏🙏🙏. ....Daaah