Erickpaford
Member
- Jun 19, 2023
- 8
- 6
Ilikuwa miradi yetu na haikuwa na terms za ajabu..Magu alikuwa smart sana💪Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Kama kweli kifo cha dhalimu ni matakwa ya watu fulani ni sawa tu. Maana yule hakustahili kuwa kiongozi wa nchi hii.Sindiyo maana memfanya mlicho mfanya
Kweni hatujui mlicho mfanya!!
Umeiona mikataba?Ilikuwa miradi yetu na haikuwa na terms za ajabu..Magu alikuwa smart sana💪
kwani ile pacemaker aliwekewa na maadui zake?
Ule utapeli wa dhalimu tulikuwa tunamkosoa humu humu jukwaani kuwa ni mpika data mkubwa, na ushahidi tulikuwa tunaweka. Sio kila mtu alimtetea kwa ukristo wake. Na uzuri ukosoaji wetu kwa dhalimu upo humu jukwaani.
Hebu ona kutapatapa huku; hata aibu/soni usoni hakuna?Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Anayechelewesha bwawa la nyerere ni mkandarasi,naalitakiwa ailipe pesa serikali.je viongozi walipo walifanya hilo?Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Huyo nadhani ni zaidi ya "udini"; kuna kitu hakiko sawa kabisa kichwani mwake.Namshangaa faiza leo kaja na hoja ya udini, mim na ugalatia wangu nimemkosoa jiwe mwanzo mwisho na mpaka naingia kaburini sitokubaliana na aina ya utawala wa jiwe
Soma kijana👇🏾Anayechelewesha bwawa la nyerere ni mkandarasi,naalitakiwa ailipe pesa serikali.je viongozi walipo walifanya hilo?
Wakati magifuli anaongoza hii nchi viongozi waliompinga wapo wakristo wenzake. Wale maaskofu walikuwa hawakubaliani baazi ya mambo ya Magu.
Wewe unaona hoja gani hapo katika maandishi hayo uliyoweka hapo?Jibu hoja achana na soni na sanyo.
Ndiyo zenu hizo, kila mkishindwa hoja mnakimbikia dini.Namshangaa faiza leo kaja na hoja ya udini, mim na ugalatia wangu nimemkosoa jiwe mwanzo mwisho na mpaka naingia kaburini sitokubaliana na aina ya utawala wa jiwe
Jina tu hilo
Vitu viwili Tofauti.
ila basi...
Rais hatii saini hovyo hovyo kwenye mikataba.Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
shida yako wewe kichwani humo muna mbegu za mabuyu kwasababu huyo kakuambia haupingi huu mkataba kwasababu ya dini bali kaupinga kwasababu zake anazoona ni za kitapeli na pia kakuambia kamkosoa sana magufuli ambae ni mkristo mwenzieNdiyo zenu hizo, kila mkishindwa hoja mnakimbikia dini.
Kwani kinachopingwa bandarini ni nini zaidi ya dini?
Mbina hamuisemi MoU ya bandarini ya Dollar Million 500?
Mama Samia kauza nini kwa Dollar million 500?
Semeni TICTS walitoa ngapi kabla ya kuanza kazi na kwa. Miaka yote ameleta faida upi?
Mwarabu jajaanza kishawekeza Dollar million 500.
Unaelewa hilo au huelewi?
Kwani walichokipingwa ACASIA kilikuwa ni nini?Nauliza, kinachopingwa bandarini ni nini kama siyo dini?