Nchi hii kuna siku utasikia hawa nao wanataka Urais

Nchi hii kuna siku utasikia hawa nao wanataka Urais

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Nchi hii ishakuwa ya mchezo mchezo sana. Yaani kila mtu sasa anaona anaweza kuwa Rais. Pamoja na kuwa Katiba inaruhusu lakini tuwe serious wajameni. Watanzia tusidharaulike sana. Najua UraHIs kwa Watanzia ni kitu chepesi sana. Lakini tusifike huku.

1. Hamis Kigwangalla
2. January Makamba
3. Mwigulu Nchemba
4. Nape Nnauye
5. Ridhiwani Kikwete
6. Steve Nyerere
7. Mwinjaku
8. Lusinde (Kibajaji)
9. Makonda Paul
10. Zitto Kabwe
 
Nchi hii ishakuwa ya mchezo mchezo sana. Yaani kila mtu sasa anaona anaweza kuwa Rais. Pamoja na kuwa Katiba inaruhusu lakini tuwe serious wajameni. Watanzia tusidharaulike sana. Najua UraHIs kwa Watanzia ni kitu chepesi sana. Lakini tusifike huku.

1. Hamis Kigwangala
2. January Makamba
3. Mwigulu Nchemba
4. Nape Nnauye
5. Ridhiwani Kikwete
January makamba kajionyesha wazi wazi halafu anajihic kuwa anakubalika sana, acha tuone sema tu upinzqni hawana mtu sahihi wa kusimamisha waliopo wamesha chacha hawana mawazo mapya
 
Nchi hii ishakuwa ya mchezo mchezo sana. Yaani kila mtu sasa anaona anaweza kuwa Rais. Pamoja na kuwa Katiba inaruhusu lakini tuwe serious wajameni. Watanzia tusidharaulike sana. Najua UraHIs kwa Watanzia ni kitu chepesi sana. Lakini tusifike huku.

1. Hamis Kigwangala
2. January Makamba
3. Mwigulu Nchemba
4. Nape Nnauye
5. Ridhiwani Kikwete
Kwa bahati mbaya, tutake ama tusitake, Namba 2 au 3 ndo atapotoka Rais, na huenda na hata PM nae, akatoka hapo hapo.... yaani Rais na PM!
 
Nchi hii ishakuwa ya mchezo mchezo sana. Yaani kila mtu sasa anaona anaweza kuwa Rais. Pamoja na kuwa Katiba inaruhusu lakini tuwe serious wajameni. Watanzia tusidharaulike sana. Najua UraHIs kwa Watanzia ni kitu chepesi sana. Lakini tusifike huku.

1. Hamis Kigwangala
2. January Makamba
3. Mwigulu Nchemba
4. Nape Nnauye
5. Ridhiwani Kikwete
Kuna shida gani wakiwa Marais? Tumejifunza saivi tunawapa Urais watu waliojiandaa kuwa Marais kwa muda mrefu hatutaki kumpa nchi mburundi tena
 
Nchi hii ishakuwa ya mchezo mchezo sana. Yaani kila mtu sasa anaona anaweza kuwa Rais. Pamoja na kuwa Katiba inaruhusu lakini tuwe serious wajameni. Watanzia tusidharaulike sana. Najua UraHIs kwa Watanzia ni kitu chepesi sana. Lakini tusifike huku.

1. Hamis Kigwangala
2. January Makamba
3. Mwigulu Nchemba
4. Nape Nnauye
5. Ridhiwani Kikwete
HAO IKIFIKA 2025 WATAANZA MAKEKE YAO
 
Nchi hii ishakuwa ya mchezo mchezo sana. Yaani kila mtu sasa anaona anaweza kuwa Rais. Pamoja na kuwa Katiba inaruhusu lakini tuwe serious wajameni. Watanzia tusidharaulike sana. Najua UraHIs kwa Watanzia ni kitu chepesi sana. Lakini tusifike huku.

1. Hamis Kigwangalla
2. January Makamba
3. Mwigulu Nchemba
4. Nape Nnauye
5. Ridhiwani Kikwete
Mmoja ktk hao Kuna atakuja kuwa rais
 
Nchi hii ishakuwa ya mchezo mchezo sana. Yaani kila mtu sasa anaona anaweza kuwa Rais. Pamoja na kuwa Katiba inaruhusu lakini tuwe serious wajameni. Watanzia tusidharaulike sana. Najua UraHIs kwa Watanzia ni kitu chepesi sana. Lakini tusifike huku.

1. Hamis Kigwangalla
2. January Makamba
3. Mwigulu Nchemba
4. Nape Nnauye
5. Ridhiwani Kikwete
Tanzania kila mmoja anaweza kuwa Rais, hata wanyama wanaweza maana 99.9999999% Wana matatizo ya afya ya akili
 
Kama yule ibilisi wa kihutu aliweza kuwa Rais nani atashindwa?
Rekodi ilimbeba. Ubabe ni moja ya sifa kubwa iliyombeba. Na alionyesha ubabe na mambo yaliwezekana. Nani alijua kuwa ipo siku;
1. Tanzania itakuwa na ndege tena?
2. Tanzania itakuwa na barabara za juu
3. Tanzania itakuwa ni kimbilio kwa tiba za kibingwa kwa baadhi ya nchi kusini mwa jangwa la sahara?
4. Tanzania itasambaza umeme karibia kila kijiji.
5. Kwamba ingefikia mahali mfanyakazi wa serikali anasema serikalini sio mahali salama pa kufanyia kazi, mahali palipozoeleka kama kijiwe cha kupiga hela za walipa kodi. Japo inarudi tena.
6. Hatukujuwa kama tembo na faru wataongezeka tena. Maana walikuwa wanahesabika na kuelekea kubakiza historia ya uwepo.
7. Kwamba tusingesikia tena mauaji ya albino na vikongwe.
8. Mgao wa maji na umeme ulifikia kusahaulika na kuonekana kumbe si kitu cha kawaida.
 
Nchi hii ishakuwa ya mchezo mchezo sana. Yaani kila mtu sasa anaona anaweza kuwa Rais. Pamoja na kuwa Katiba inaruhusu lakini tuwe serious wajameni. Watanzia tusidharaulike sana. Najua UraHIs kwa Watanzia ni kitu chepesi sana. Lakini tusifike huku.

1. Hamis Kigwangalla
2. January Makamba
3. Mwigulu Nchemba
4. Nape Nnauye
5. Ridhiwani Kikwete

Hao wote kasoro no 5 walishagombea tayari.

Kwanini wasigombee ilhali wametuona mazuzu na tunaishi kizuzuzuzu?
 
Back
Top Bottom