Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Nchi hii ishakuwa ya mchezo mchezo sana. Yaani kila mtu sasa anaona anaweza kuwa Rais. Pamoja na kuwa Katiba inaruhusu lakini tuwe serious wajameni. Watanzia tusidharaulike sana. Najua UraHIs kwa Watanzia ni kitu chepesi sana. Lakini tusifike huku.
1. Hamis Kigwangalla
2. January Makamba
3. Mwigulu Nchemba
4. Nape Nnauye
5. Ridhiwani Kikwete
6. Steve Nyerere
7. Mwinjaku
8. Lusinde (Kibajaji)
9. Makonda Paul
10. Zitto Kabwe
1. Hamis Kigwangalla
2. January Makamba
3. Mwigulu Nchemba
4. Nape Nnauye
5. Ridhiwani Kikwete
6. Steve Nyerere
7. Mwinjaku
8. Lusinde (Kibajaji)
9. Makonda Paul
10. Zitto Kabwe