mkuu labda umeongea hivyi kwa interest zako binafsi,lakini kipindi cha huyu mzee ndio kipindi ambacho watu wengi walihamasika kusikiliza na kuangalia taarifa za habari na watu kufahamu maendeleo ya miradi mbali mbali ya nchi.Serikali ya awamu ya tano ndiyo muasisi wa hoja nyepesi kwenye redio na TV,ukiminya uhuru wa nyombo vya habari hayo ndio matokeo yake.
SO, nini hujaelewa?Ni "mada" sio Maada. Maada ni kitu chochote kinachoweza kuchukua nafasi kwa kiinglishi ni "Matter"
HakikaMshairi wa Warumi wa kale Juvenal aliandika katika kitabu chake cha kejeli "Satirws" kuwa , ukitaka kuwatawala watu wa kawaida, unatakiwa kuwapatia mkate na michezo.
Yani mikate wale wasipate njaa, halafu wakishiba wape michezo waburudike.
Hawatauliza mambo ya msingi ya nchi inavyokwenda.
Ndicho kinachotokea Tanzania.
Katika kitabu cha maisha ya Nyerrere kuna mfano wa Nyerere kapewa ushauri na washauri wake rasmi wachumi, lakini akauacha ushauri ule akawafuata wazee wa Yanga wakampa ushauri tofauti, akaufuata ule ushauri wa Mzee wa Yanga Tabu Mangala.
Mimi mwenyewe nishawahi kuona mtu wa usalama wa taifa anakuwa rais wa Yanga.
Ina maana serikali imejiingiza kwenye michezo na inatumia michezo kisiasa.
Like Juvenal.said, it's bread and circuses.
Na haya ndio mambo watawala wanapendaGeneration Z yetu ukibahatikana kuingia kwenye vichwa vyao utakutana na hivi vitu;
1.Chama
2.Pacome Aziz Ki
3. Iphone simu kali kupita Tecno
4. Ist sio gari.
5. Chura ndio habari ya mjini.
6. We Zombie haujui
7 . Mapiano
8. .......
Jaribu kumuuliza Bashe ni Waziri wa nini halielewi. Hajui huko bungeni kuna wahafidhina wanapeleta hoja boom lifutwe yenyewe hayana habari. Siku yakikosa boom yanaanza kuwalilia wanaharakati wawasemee. Yapo yapo tu.
"Aina hii ya vijana wana mchango mdogo katika Taifa"
Late Magufuli.
Ninachowapendea CCM wakishajua wewe Mpumbavu wanakuletea ufukara hadi akili ikukae vizuri. Rejea majimbo wanayoita ngome zao.Na haya ndio mambo watawala wanapenda
kuileta hii taarifa hapa ni hatua mojawapoWewe umechukua hatua gani kiongozi au unasubiri wengine waumie kwaajili yako?
Ishi nje ya nchi basiKuishi Tanzania ni laana
Kabisa na ndicho wanacho fanyaNinachowapendea CCM wakishajua wewe Mpumbavu wanakuletea ufukara hadi akili ikukae vizuri. Rejea majimbo wanayoita ngome zao.
kuileta hii taarifa hapa ni hatua mojawapo
Yeye ameileta hapa sisi tunatakiwa kuchukua hatua zaidi, watu wakatoa mawazo na kuyafanyia kazi tuondokane na huu upumbavuKuileta hapa na wanajf kuchangia inatosha? Hii nchi bado ina safari ndefu sana.
Yeye ameileta hapa sisi tunatakiwa kuchukua hatua zaidi, watu wakatoa mawazo na kuyafanyia kazi tuondokane na huu upumbavu
Ni hatari sana mkuu, vijana kutwa nzima ni Maada za wakina Chama mala Azizi kMimi ni mpenzi wa mpira lakini naunga mkono hoja, watanzania tumetekwa na mambo ya kijinga ya Simba na yanga, kama vile hatuna vitu vya msingi vya kujadili, mbaya zaidi Hadi akina mama, Utaskia mara chama, mara sijui kibu.....Simba na yanga ni tatizo kwenye vichwa vyetu
Jina lenyewe black movement 🤣🤣Wewe mwerevu umefanya nini? Swali rahisi tu unatoa matusi.
,[emoji23] waziri mkubwa kama.wa fedha anasimama kusema yanga iwekwe kwenye noti za fedha zetuNa hao viongozi wenu wanajua mnavyopenda,utaskia tu amechangia sijui nini yanga.
Wanajua kiwapumbaza.