Serikali ya awamu ya tano ndiyo muasisi wa hoja nyepesi kwenye redio na TV,ukiminya uhuru wa nyombo vya habari hayo ndio matokeo yake.
mkuu labda umeongea hivyi kwa interest zako binafsi,lakini kipindi cha huyu mzee ndio kipindi ambacho watu wengi walihamasika kusikiliza na kuangalia taarifa za habari na watu kufahamu maendeleo ya miradi mbali mbali ya nchi.
 
Hakika
 
Na haya ndio mambo watawala wanapenda
 
Kuileta hapa na wanajf kuchangia inatosha? Hii nchi bado ina safari ndefu sana.
Yeye ameileta hapa sisi tunatakiwa kuchukua hatua zaidi, watu wakatoa mawazo na kuyafanyia kazi tuondokane na huu upumbavu
 
Mtaji wa wanasiasa wa DANGANYIKA ni ujinga wetu sisi WADANGANYIKA
 
Mimi ni mpenzi wa mpira lakini naunga mkono hoja, watanzania tumetekwa na mambo ya kijinga ya Simba na yanga, kama vile hatuna vitu vya msingi vya kujadili, mbaya zaidi Hadi akina mama, Utaskia mara chama, mara sijui kibu.....Simba na yanga ni tatizo kwenye vichwa vyetu
 
Yeye ameileta hapa sisi tunatakiwa kuchukua hatua zaidi, watu wakatoa mawazo na kuyafanyia kazi tuondokane na huu upumbavu

Huko ni kutaka wengine waumie kwaajili yetu. Hii ndo changamoto namba1 ya hii nchi kila mtu ni keyboeard warrior akimlaumu mwingine kwanini hajafanya yani wengine waumie huku yeye katulia tu sababu alitweet au kuandika JF. Nobody got time for that. Kama anaona wengine wajinga kwa kutokufanya kitu aanze yeye, real action sio kuandika tu. Hiyo kila mtu anaweza. Wakenya wangeamua kuishia twitter leo wasingekua wanapiga msosi bungeni
 
Ni hatari sana mkuu, vijana kutwa nzima ni Maada za wakina Chama mala Azizi k
 
Na hao viongozi wenu wanajua mnavyopenda,utaskia tu amechangia sijui nini yanga.

Wanajua kiwapumbaza.
 
Au ni hii Kahawa chungu tunayokunywa ndio inatufanya tuwe Mazoba bin Mazezeta tumebakia kulogana usiku na mchana.
 
Na hao viongozi wenu wanajua mnavyopenda,utaskia tu amechangia sijui nini yanga.

Wanajua kiwapumbaza.
,[emoji23] waziri mkubwa kama.wa fedha anasimama kusema yanga iwekwe kwenye noti za fedha zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…