kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Kitendo cha chana kuhamia yanga kimewaumiza sana simba , chama alikuwa mtu sana pale simbaNa hao viongozi wenu wanajua mnavyopenda,utaskia tu amechangia sijui nini yanga.
Wanajua kiwapumbaza.
Ungekuja na hoja mfano yanga anatoa wapi pesa za kusajili.Je gsm analipa kodi kiasi gani hadi apate pesa kiasi hicho kama hakuna uhuni unaofanyika ili kumfidia kutoka serikalini?Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.
Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.
Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.
Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Hizi maada kajadili na wajinga wenzeko kwenye vijiwe vya Tangawizi,Ungekuja na hoja mfano yanga anatoa wapi pesa za kusajili.Je gsm analipa kodi kiasi gani hadi apate pesa kiasi hicho kama hakuna uhuni unaofanyika ili kumfidia kutoka serikalini?
Ungekuja na hoja za je Ihefu wana chanzo kipi cha pesa?Usisahau Singida big stars,Namungo n.k
Usilaumu watu kufanywa wafuasi wa Simba na yanga,laumu mkakati haramu wa wanasiasa kuchochea ushabiki kwenye vilabu hivi ile waendelee kufanya yao pasipo kuhojiwa.
Nchi hii ngumu na ina raia tusiojitambua
Kumbe Hersi Said ni usalama wa taifa? Daa hii nchi aiseeMshairi wa Warumi wa kale Juvenal aliandika katika kitabu chake cha kejeli "Satires" kuwa , ukitaka kuwatawala watu wa kawaida, unatakiwa kuwapatia mkate na michezo.
Yani mikate wale wasipate njaa, halafu wakishiba wape michezo waburudike.
Hawatauliza mambo ya msingi ya nchi inavyokwenda.
Ndicho kinachotokea Tanzania.
Katika kitabu cha maisha ya Nyerere kuna mfano wa Nyerere kapewa ushauri na washauri wake rasmi wachumi, lakini akauacha ushauri ule akawafuata wazee wa Yanga wakampa ushauri tofauti, akaufuata ule ushauri wa Mzee wa Yanga Tabu Mangala.
Mimi mwenyewe nishawahi kuona mtu wa usalama wa taifa anakuwa rais wa Yanga.
Ina maana serikali imejiingiza kwenye michezo na inatumia michezo kisiasa.
Like Juvenal.said, it's bread and circuses.
Tangu Magufuli alipoliteka bunge na kulifanya la Chama kimoja watu hawana tena habari za siasa na bla bla za wabunge wa Fisiemu.Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.
Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.
Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.
Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Mbona wewe mjanja hatujakuona mtaani kama Gen-Z?Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.
Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.
Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.
Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Hapo watawala wanafurahiiii maana wanajua hii ganzi ya ulevi wa ushabiki uchwara wa mpira inawapa unafuu wa kufanya watakavyo bila usumbufu kama ilivyo Kenya sasa hivi. Utakuta watu wanawalaani wafanya biashara kwa kugoma kufungua maduka kuweka shinikizo kwa serikali kupunguza mlolongo wa kodi na tozo. Wasichoelewa ni kuwa wafanya biashara hawa ni mawakala wa serikali katika kukusanya kodi, kama wakiendelea kuzivumilia kodi na tozo hizi anayebeba huu mzigo wote ni mlaji wa mwishi kwani hakuna mfanya biashara atafanya biashara kwa hasara, akibanwa kwenye kodi naye anaongeza bei ya bidhaa.Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.
Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.
Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.
Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Hata kwa kuandika uzi huu ametoa mchango wake kuamsha hisia zilizolala.Wewe umechukua hatua gani kiongozi au unasubiri wengine waumie kwaajili yako?
Hata kenya bado ina safari ndefuKuileta hapa na wanajf kuchangia inatosha? Hii nchi bado ina safari ndefu sana.
Ndiyo maana ya lile goli la mama watu wanazidi kupambazishwaNa haya ndio mambo watawala wanapenda
Mbona hiyo para ya tatu ya post yako ndiyo imebeba hoja ya mleta uzi huu, au mimi ndiye sijaelewa.Ungekuja na hoja mfano yanga anatoa wapi pesa za kusajili.Je gsm analipa kodi kiasi gani hadi apate pesa kiasi hicho kama hakuna uhuni unaofanyika ili kumfidia kutoka serikalini?
Ungekuja na hoja za je Ihefu wana chanzo kipi cha pesa?Usisahau Singida big stars,Namungo n.k
Usilaumu watu kufanywa wafuasi wa Simba na yanga,laumu mkakati haramu wa wanasiasa kuchochea ushabiki kwenye vilabu hivi ile waendelee kufanya yao pasipo kuhojiwa.
Nchi hii ngumu na ina raia tusiojitambua
Poor you !!!Mbona wewe mjanja hatujakuona mtaani kama Gen-Z?
Kaanzishe unataka nani aende?Poor you !!!
Hata mimi huwa inanikera sana hii hali.Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.
Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.
Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.
Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Kwani zamani kulikuwa na vyombo vya habari wakati Waafrika wanapigania uhuru??ni ujinga wa watanzania tuSerikali ya awamu ya tano ndiyo muasisi wa hoja nyepesi kwenye redio na TV,ukiminya uhuru wa nyombo vya habari hayo ndio matokeo yake.
hii post umeandaa wewe ? una maswali ya kipuuzWewe mwerevu umefanya nini? Swali rahisi tu unatoa matusi.
Nasikia Pacome ,Bacca, Aziz KI na Diarra wanaenda Simba?Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.
Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.
Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.
Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.