Yaani uko sawa kabisa mkuu mijutu na mibaba yenye shida kibao kutwaa yanga na simba alinunua gazeti anajisikia nyuma anasoma habari za michezo tu redio sasa muda wa masaa mawili eti wanachambua mpiraTanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.
Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.
Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.
Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Inasikitisha sana lakini ndo ukweliTanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.
Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.
Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.
Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Mkuu hii nchi ni ya viumbe wa ajabu kuwahi kutokea duniani!! Mambo ambayo hayana faida kwa wananchi(mpira) ndio wameyashupalia mno, na ndio maana wanasiasa nao wanawapoteza maboya humo humo!! Yaani yanga na simba ndio imekuwa kama maisha yao!!Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.
Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.
Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.
Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Serikali ya awamu ya tano ndiyo muasisi wa hoja nyepesi kwenye redio na TV,ukiminya uhuru wa nyombo vya habari hayo ndio matokeo yake.
Na Kuna watu wamekupa like.. wakati Daniel Arap Moi anasema "Nyerere anaongoza maiti(watanzania), Magufuli alikuwa darasa la ngapi!?, na alimaanisha nini!?,na kabla ya JPM 2015 redio na tv zetu na vijiweni watanzania walijadili nini cha maana!?..wakati mwingine sio lazima kila kitu mkihusishe na chuki zenu dhidi ya JPM..Serikali ya awamu ya tano ndiyo muasisi wa hoja nyepesi kwenye redio na TV,ukiminya uhuru wa nyombo vya habari hayo ndio matokeo yake.
Na daimond na alli Kiba na wengine yaani miaka kumi na tano Mazezeta tupuHata mimi huwa inanikera sana hii hali.
Hasa kwa Dar huwa kila nikiwasha station yeyote ya redio lazima mada kuu ni mbili ambazo ni :
1.Mpira, yaani ni mpira mpira masaa yote utafikiri ndiyo ni stesheni ya mpira.
2.Utapeli wa kidini, hapa muda wate ni utapeli tu wa kiimani unajadiliwa, sijui nabii dominiki kiboko ya wachawi toka buza, sijui kuhani musa toka ngome ya yesu kimara temboni, sijui mwamposa na keki ya upako, sijui mganga kutoka kigoma yupo ubungo kwa ajili ya neema ya wakazi wa dar.
Yaani ujinga ujinga tu qumamae
Ndiyo uchawi wa CCMTanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.
Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.
Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.
Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Umeongea vizuri mkuu, kwenye mpira humo ndimo zimekamatwa fikra za mijinga mingi ya nchi hii..Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.
Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.
Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.
Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Acha Ujuha pimbi wewe kitu kinachojadiliwa cha maana unaleta uharo.Wewe mwerevu umefanya nini? Swali rahisi tu unatoa matusi.
Generation Z yetu ukibahatikana kuingia kwenye vichwa vyao utakutana na hivi vitu;
1.Chama
2.Pacome Aziz Ki
3. Iphone simu kali kupita Tecno
4. Ist sio gari.
5. Chura ndio habari ya mjini.
6. We Zombie haujui
7 . Mapiano
8. .......
Jaribu kumuuliza Bashe ni Waziri wa nini halielewi. Hajui huko bungeni kuna wahafidhina wanapeleta hoja boom lifutwe yenyewe hayana habari. Siku yakikosa boom yanaanza kuwalilia wanaharakati wawasemee. Yapo yapo tu.
"Aina hii ya vijana wana mchango mdogo katika Taifa"
Late Magufuli.
Goli la mama, mara mama katoa ndege kuipa timu fulani. Ujinga mkubwa sana tena sana.Kitendo cha chana kuhamia yanga kimewaumiza sana simba , chama alikuwa mtu sana pale simba
mpumbavv mwingine huyu
Hata kwa kuandika uzi huu ametoa mchango wake kuamsha hisia zilizolala.
Inasaidia kuamsha wale bongolala kama wewe.Kila mtu akisema kaandika mtandanaoni na wengine kujibu what will that solve? Mna majibu mepesi sana kwa maswali magumu.
Acha Ujuha pimbi wewe kitu kinachojadiliwa cha maana unaleta uharo.
hii post umeandaa wewe ? una maswali ya kipuuz