thuwainize
Senior Member
- Jan 29, 2022
- 178
- 382
Hiyo teknolojia ya silaha za nyuklia USA baba lao huyo russia mwenyewe kaja kuijua wakati USA ashaijua kitambooo na ashaifanyia trial tests kibao na akafanya live test japan, halafu leo russia inabwekabweka na mbwembwe nyiiiingi as if teknolojia anayo yeye tu, warusi mbwembwe sana sipati picha if wangekuwa na wanasayansi ambao tunawasoma kwenye mavitabu tuliyosoma ya sayansi sijui ingekuwaje hawa watuKabisa,jino kwa jino.Kila siku anatishia Nuklia utadhani anazo peke yake,tena zake wala hajawahi kuzitest kama za US walau watu walishashuhudia kule Nagasaki na Hiroshima
Na watadundwa sanaUkraine na hao Finland wapigwe tu
Nalog off Z
Nchi ya Finland inayoshare mpaka wa ardhini na nchi ya Urusi imeanza maandalizi ya vita kwa kile kinachoonekana mpaka sasa kama wasiwasi wa kutokea uvamizi muda wowote kutoka kwa mbabe wa mchongo(mrusi)
mpaka sasa zaidi ya vijana elfu 55 wazalendo wa Finland wamekwishajiunga na mafunzo ya hiari ya kijeshi na maelfu wengine wakiwa wametuma maombi ya kujiunga na mafunzo hayo
kwa taarifa zilizopo sasa ni kuwa nchi ya Urusi tayari imeshapeleka mitambo yake ya ulinzi wa anga kwenye mpaka wake na Finland kwa sababu ambazo mpaka sasa hazijawa wazi
Hamna kitu ni midoli tu hizo anatishia watu kwani hajui kwamba kuna watu wana nyuklia tena advanced kushinda hiyo midabwada yake. Acheze aone.Urussi amesema Finland na Sweden kama wanataka kujiunga na NATO mpaka kati yake na wao utalindwa kwa Nyuklia.
Yaani ataenda kusimika vichwa vya nyuklia mpakani kabisa vikiwachungulia usiku na mchana.
Hapo nina connection kabisa kutoka kwa Sarah Benjamin Ayeng'oBujibuji Simba Nyamaume fursa nyingine hiyo si lazima kwa Zelensky peke yake
NonsenseNafikiri tusimlaumu sana huyu Putin, ni Mungu amejitenga naye na kumuachia shetani [emoji48] ashughulikiwe naye, yale yale yaliyomkuta Saul ndio yatakayompata.
Let us wait and see because history is never new but keeps on repeating itself.
Hakuna nchi yenye nguvu ya kinyuklia Zaidi ya Russia.Russia anaongoza akifuatiwa na Marekani.Hamna kitu ni midoli tu hizo anatishia watu kwani hajui kwamba kuna watu wana nyuklia tena advanced kushinda hiyo midabwada yake. Acheze aone.
Nonsense kwenye nuclear Russia ndo Baba Lao hao wengine ni wachumba Tu.Hiyo teknolojia ya silaha za nyuklia USA baba lao huyo russia mwenyewe kaja kuijua wakati USA ashaijua kitambooo na ashaifanyia trial tests kibao na akafanya live test japan, halafu leo russia inabwekabweka na mbwembwe nyiiiingi as if teknolojia anayo yeye tu, warusi mbwembwe sana sipati picha if wangekuwa na wanasayansi ambao tunawasoma kwenye mavitabu tuliyosoma ya sayansi sijui ingekuwaje hawa watu
Mmh, kama nibkweli naona hii ni hatari zaidi kuliko ya kupeleka majeshi kuwapiga.Urussi amesema Finland na Sweden kama wanataka kujiunga na NATO mpaka kati yake na wao utalindwa kwa Nyuklia.
Yaani ataenda kusimika vichwa vya nyuklia mpakani kabisa vikiwachungulia usiku na mchana.
Shida ni kwamba Finland nanSweden hawana hizo kitu na kama ikitokea la kutokea wao ndo watakaoumia kwanza.na uzuri nyuklia sio kwamba anazo urusi peke yake so wanachama wa nato wanaopakana na urusi na wao wakiamua kuweka manyuklia mipakani itakuwa hatari kwa urusi pia.
Mkuu hebu tafuta taarifa kwanza.Hiyo teknolojia ya silaha za nyuklia USA baba lao huyo russia mwenyewe kaja kuijua wakati USA ashaijua kitambooo na ashaifanyia trial tests kibao na akafanya live test japan, halafu leo russia inabwekabweka na mbwembwe nyiiiingi as if teknolojia anayo yeye tu, warusi mbwembwe sana sipati picha if wangekuwa na wanasayansi ambao tunawasoma kwenye mavitabu tuliyosoma ya sayansi sijui ingekuwaje hawa watu
Kwanza kabisa niseme kwamba,hata uliyoyaandika ni matamanio yako kuona Urusi ikifanya hivyo na Wala hakuna sehemu ambapo Urusi imesema itapeleka makombora ya Nyuklia kwenye mpaka na Finnland and Denmark,Kwahiyo Punguza Mahaba kijana. Putin kasema kwamba,Endapo Finnland na Denmark zikijiunga na NATO,hazitapata faida yoyote ile Bali zitasababisha kusambaratika kwa nchi zao.Urussi amesema Finland na Sweden kama wanataka kujiunga na NATO mpaka kati yake na wao utalindwa kwa Nyuklia.
Yaani ataenda kusimika vichwa vya nyuklia mpakani kabisa vikiwachungulia usiku na mchana.
Hata π·πΊπ·πΊ anajua Finland & Sweden hawana nyuklia . lakini kwa nini anawazuia wasijiunge na NATO? Putin anajua jamaa wakijiunga na NATO hayo ma nyuklia lazma watayamiliki . ππππShida ni kwamba Finland nanSweden hawana hizo kitu na kama ikitokea la kutokea wao ndo watakaoumia kwanza.
Anatafuta kunyooshwa. Na safari hii Urusi itasambaratishwa kabisa. Kumbuka huu ni mkakati wa Ulaya Magharibi pamoja na Marekani wa kuisambaratisha kabisa Urusi. Next, China!Ngoja Putin awanyooshe
Utatuleteaje chombo cha propaganda ambacho hakiaminiki! Tuletee RT ndo tutaamini, tofauti na hapo basi hizo ni propaganda tu, lete RT.Nimewaletea CNN nyie watu wa US maana ningeweka kutoka vyombo vya China mngebisha nikaamua niwaletee cha kwenu
Mbona nshawawekeaUtatuleteaje chombo cha propaganda ambacho hakiaminiki! Tuletee RT ndo tutaamini, tofauti na hapo basi hizo ni propaganda tu, lete RT.
Wikipedia sio RTMbona nshawawekea
Wikipedia sio RT