Wakisikia tu vita ni watu wa kushangilia tu huku hapa Sirro na watu wake wakiwatisha na maji tu wanatimua mbio hadi uvunguni mwa vitanda.
Huyu ndiyo kwisha habari yake.Haijawahi tokea mtu mmoja ukataka kuwa threat kwa wenzio na ukabaki salama.Kwa Ukraine ni salamu tu,ngoma yenyewe bado inakuja na ataicheza sana tu.Nafikiri tusimlaumu sana huyu Putin, ni Mungu amejitenga naye na kumuachia shetani [emoji48] ashughulikiwe naye, yale yale yaliyomkuta Saul ndio yatakayompata.
Let us wait and see because history is never new but keeps on repeating itself.
Sijawahi kuziamini hata siku moja propaganda za Kikomunist.Tumejionea kwa jeshi lake lililokuwa linasifiwa jinsi linavyopigishwa kwata Ukraine. Ukitaka kujua hiyo ni mikwara mbuzi,mwanzo alisema watakiona cha mtema kuni,jamaa wamedare wanajiunga,sasa hivi anapindua maneno kuwa ataweka hiyo midoli yake mpakani.Hamna kitu ni midoli tu hizo anatishia watu kwani hajui kwamba kuna watu wana nyuklia tena advanced kushinda hiyo midabwada yake. Acheze aone.
In your own imaginary World[emoji3]Hakuna nchi yenye nguvu ya kinyuklia Zaidi ya Russia.Russia anaongoza akifuatiwa na Marekani.
In your own Imaginary WorldNonsense kwenye nuclear Russia ndo Baba Lao hao wengine ni wachumba Tu.
Wenzio ndiyo kwanza wanajiunga wewe unasema watatuliza mipira [emoji3][emoji3]Mmh, kama nibkweli naona hii ni hatari zaidi kuliko ya kupeleka majeshi kuwapiga.
Hii Fini na Sweden hawatakubali, lazima watatuliza mipira.
Huyo Russia yeye ndiyo atabaki salama? Yani wajiunge NATO halafu wawe dhaifu tena,au huijui NATO?Shida ni kwamba Finland nanSweden hawana hizo kitu na kama ikitokea la kutokea wao ndo watakaoumia kwanza.
Very objective comment.Kwanza kabisa niseme kwamba,hata uliyoyaandika ni matamanio yako kuona Urusi ikifanya hivyo na Wala hakuna sehemu ambapo Urusi imesema itapeleka makombora ya Nyuklia kwenye mpaka na Finnland and Denmark,Kwahiyo Punguza Mahaba kijana. Putin kasema kwamba,Endapo Finnland na Denmark zikijiunga na NATO,hazitapata faida yoyote ile Bali zitasababisha kusambaratika kwa nchi zao.
Pili,Endapo Urusi akifanya hivyo yaani Ku-INSTALL Nuclear Missiles kwenye Mipaka ya Finland Na Denmark,Basi hiyo itasababisha Nchi Hizo Kukaribisha (HOST) Makombora ya Nyuklia ya Marekani au UK kwenye Mpaka wa Nchi Hizo na Urusi (Kama Finland na Denmark watakuwa wanachama wa NATO). Hili Ni Pigo kubwa kwa Urusi kwasababu Adui wa Urusi si Finland Wala Denmark Bali ni Marekani. Urusi inafanya juu chini kuepuka Hilo.
Ni wajinga tu walikuwa hawaoni huu ukweli.Raia wengi wa Russia na dunia itaanza kumtilia mashaka putin na utawala wake.
RT wamenakiri habari kutoka FT gazeti la propaganda la pale UK. Kwa hiyo RT nao waliingizwa mkenge na hao wanapropaganda wa magharibi.View attachment 2187935
Ongea na hii.
Halafu soma vizuri, financial times walisema chombo kimedefy physics technological leap. Usisahau kusoma hapo ni muhumu
Acha kabisa mchina aliwatisha vibaya kabisa ukiona mpinzani wako hadi kakiri jambo jua hana namnaRT wamenakiri habari kutoka FT gazeti la propaganda la pale UK. Kwa hiyo RT nao waliingizwa mkenge na hao wanapropaganda wa magharibi.
Wewe Source ya RT ni ipi,hizi propaganda za kikomunist bakini nazo wenyewe.Dunia ya leo inahitaji uhalisia zaidi na siyo blah blahAcha kabisa mchina aliwatisha vibaya kabisa ukiona mpinzani wako hadi kakiri jambo jua hana namna
Wewe Source ya RT ni ipi,hizi propaganda za kikomunist bakini nazo wenyewe.Dunia ya leo inahitaji uhalisia zaidi na siyo blah blah
Bado hujajibu swali,huna haja ya kunijazia ma screen shot,swali ni rahisi sana hiyo source ya RT ni ipi?
Ni satelite za urusi na mahojiano ya kiongozi wa china. Una swali lingine? Maana nimekuwekea screnshot za mwendelezo wa habari kuanzia za cnn, rt akiwanukuun financial times, na sasa nimekumalizia na yao wenyewe plus mahojiano wa kiongozi wa china.Bado hujajibu swali,huna haja ya kunijazia ma screen shot,swali ni rahisi sana hiyo source ya RT ni ipi?
Kumbe source ni 'satelite za urusi' mjadala umekwisha bwashee [emoji23][emoji23]Ni satelite za urusi na mahojiano ya kiongozi wa china. Una swali lingine? Maana nimekuwekea screnshot za mwendelezo wa habari kuanzia za cnn, rt akiwanukuun financial times, na sasa nimekumalizia na yao wenyewe plus mahojiano wa kiongozi wa china.
Una swali lingine bwashee? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa ulitaka RT ya wapi? Mbona hueleweki? Nimekuwekea CNN wamarekani umebisha, Nikakuwekea RT source financial times ya mwingereza umebisha, sasa nimekuwekea RT source satelite ya mrusi nako unabisha.Kumbe source ni 'satelite za urusi' mjadala umekwisha bwashee [emoji23][emoji23]
Yaani kiufupi Putin kasababisha nchi zione umuhimu wa kuongeza silaha na kujiunga na NATO[emoji635][emoji635][emoji635] kuivamia [emoji1255][emoji1255][emoji1255] ndo kumeziamsha na nchi nyingine kujiunga NATO .
Haina shida wataomba US apeleke vichwa nchini mwao. Kama Poland anasubiri sana aweke hiyo Nukes akaombe Nukes USUrussi amesema Finland na Sweden kama wanataka kujiunga na NATO mpaka kati yake na wao utalindwa kwa Nyuklia.
Yaani ataenda kusimika vichwa vya nyuklia mpakani kabisa vikiwachungulia usiku na mchana.