Kwa hiyo waarabu na hizo nchi wapo, miaka mamia nyuma ya Dunia?Wamevuka hizo hatua. Hakuna sehemu zilikuwa na vita kama Ulaya karne ya 8 mpaka 12. Kama umewahi kusikia kuhusu Vikings, walikuwa ni wazungu wakristo na makatili kweli kweli.
Wamevuka hizo hatua
Amani we unedefine vipi?Kama nchi za kiislam Zina Amani mbona Al Asad hakukimbikia Iran kwa jamaa zake wa damu?
Kamusi ya kiswahili inasema MPUMBAVU ni mtu asiyejua akajifanya anajua----BAKITA na TUKI inatukana?Siamini kama wewe ni mzima. Yawezekana ni miongoni mwa hao walioharibiwa akili ambao huwa wanajilipua hovyo. Hakuna mwenye akili timamu ambaye huwa anatoa arguments zake kwa kutukana wengine.
Mimi nafanya arguments za hoja na watu wenye akili timamu, wewe tafuta we
Kwa kifupi "nchi hizo alizozitaja zote hazina dini isipokuwa Vatican tu"Ukiiondoa Vatican hizo nchi nyingine zilizobaki ni atheists/ agnostics majority au nusu ya raia wake wengi ni wasio na dini/irreligious. Hizo nchi haziendeshwi kwa misingi ya dini yoyote.
Hao viongozi wa nchi za mahgharibi na Amerika ndiyo wanaoanzisha na kuvipa fedha na silaha hivyo vikundi.Hizi ni baadhi ya nchi zinazo endeshwa kwa misingi ya kikristo na huwezi kuwa kiongozi wa dola ikiwa wewe si mkristo Malta, Armenia, Vatican, England, Denmark, Norway, Iceland nk.
Swali langu ni kwanini huwezi sikia vikundi vya waasi wa kilokole au waasi wa kikatoliki wakiwa msituni wakimpambania mola wao?
Kwanini nchi nyingine kama Syria utasikia sijui wa sunni wameingia msituni kupambana na wasia? Je wanafeli wapi?
Je, nchi zinazo jinasibu zinaongozwa kwa dini ya amani zinawezaje kukosa utulivu miaka nenda rudi?
Allah ni lazima apiganiwe. Kuna thwawabu kubwa sana kwenye kumpigania AllahHizi ni baadhi ya nchi zinazo endeshwa kwa misingi ya kikristo na huwezi kuwa kiongozi wa dola ikiwa wewe si mkristo Malta, Armenia, Vatican, England, Denmark, Norway, Iceland nk.
Swali langu ni kwanini huwezi sikia vikundi vya waasi wa kilokole au waasi wa kikatoliki wakiwa msituni wakimpambania mola wao?
Kwanini nchi nyingine kama Syria utasikia sijui wa sunni wameingia msituni kupambana na wasia? Je wanafeli wapi?
Je, nchi zinazo jinasibu zinaongozwa kwa dini ya amani zinawezaje kukosa utulivu miaka nenda rudi?
Hata Tanzania haina diniKwa kifupi "nchi hizo alizozitaja zote hazina dini isipokuwa Vatican tu"
Huko Somalia walipojikita al-Shabaab kuna utajiri wa mafuta?Hizo nchi zina UTAJIRI wa aina yoyote mkubwa kama MAFUTA?
Zinaingiliwa na nchi zingine katika chaguzi zao, migogoro yao ya ndani n.k?
Hadi umri huo hujui kwanini baadhi ya nchi za imani tofauti na UKRISTO zinapigana vita vya kutengenezwa? Au umeamua kujifurahisha?
Wanafuata uhuru.Waarabu kwanini hawakimbilii nchi za Kislam wanakimbilia kwenye nchi za Kikristo?
Mfano halisi ni hapo Zenji, yaani amri za dini ni amri za lazima za jamii.Kwa wakristo dini ni personal, hulazimishwi kua muumini, wa waislamu dini ni community, lazima kila mtu awe na dini, ukikataa dini ni kifo na mbaya zaidi kila mtu anatafsiri yake ambayo anataka ailazimishe kwa mwenzake.
Libya ina uchumi gani imara mkuu, utakuwaje na uchumi imara wakati wawekezaji hawaji kuwekeza nchini kwako kwajili ya vita, nchi ambayo mpaka slave trade imerudi unasema ina uchumi imara?Mpumbavu hua hareason
1.Wanazuoni wanatoa wapi pesa?
2.Haujajiuliza Libya imepigana Civil war zaidi ya miaka 10,ila uchumi wake ni mara 5 ya Tanzani ama Kenya isiyo na vita?
3.kwa nini Iraq ina fast development after war, kuliko nchi yeyote ya Africa?
4.mbona D.R.C Ina vita na sio Islamic/Arabic country?๐๐๐,unajua Kwa Nini?
5.ushasikia Taliban baada ya kuchukua nchi imefanya mashambulizi yeyote?,ndani ama nje ya nchi?
6.hao unaodhani wanapigana vita ya dini wanatoa wapi pesa?๐๐
Je wewe sio mpumbavu?
Mpumbavu hua hareason
1.Wanazuoni wanatoa wapi pesa?
2.Haujajiuliza Libya imepigana Civil war zaidi ya miaka 10,ila uchumi wake ni mara 5 ya Tanzani ama Kenya isiyo na vita?
3.kwa nini Iraq ina fast development after war, kuliko nchi yeyote ya Africa?
4.mbona D.R.C Ina vita na sio Islamic/Arabic country?๐๐๐,unajua Kwa Nini?
5.ushasikia Taliban baada ya kuchukua nchi imefanya mashambulizi yeyote?,ndani ama nje ya nchi?
6.hao unaodhani wanapigana vita ya dini wanatoa wapi pesa?๐๐
Je wewe sio mpumbavu?
nani anajenga stendi?Ye hajui kua wakoloni inawezakua hata kampuni kama Barrick kule mara na Geita inachota Mali Kwa niaba ya Canada na U.S government thus why mukitofautiana ndege Yako inakamatwa kwenye nchi zao?
Nchi hii wakrito wanaongoza kwa elimu,ila ni moja ya jamii ya wapumbavu kuliko jamii yeyote ile
Thuy why uchumi wa Zanzibar ambaoo huongoza kwa kufeli form four ama six ni mara 2 ya uchumi wa mkoa wote wa Kagera na Kilimanjaro kwenye wasomi wengi๐๐๐
Huu si uhanithi,.....elimu Ina faida gani sasa?
Tanga kwa waislam wavivu,mamwinyi,enhee,watu wa pwani hawasomi ๐คฃ๐คฃ ni jiji,ila Kagera kwa wasomi,madoctors,maprofessors, stendi tu ya basi kama Banda la nguruwe๐คฃ๐คฃ
Mpumbavu ni mtu anayeweza ongea chochote bila kua na Takwimu/facts/references.Libya ina uchumi gani imara mkuu, utakuwaje na uchumi imara wakati wawekezaji hawaji kuwekeza nchini kwako kwajili ya vita, nchi ambayo mpaka slave trade imerudi unasema ina uchumi imara?
Iraq uchumi wwk
Kanisa la Roma๐๐ ๐คฃnani anajenga stendi?
Mpumbavu ni mtu anayeweza ongea chochote bila kua na Takwimu/facts/references.
Raia wa Libya ana Uchumi mara 5ya raia wa Tanzania ama Kenya๐๐๐
Je we unasikiliza propaganda kua Northe Korea na Iran ni mataifa masikini๐คฃ๐คฃ,wakati wanadevelop nuclear weapons na ICBM,
Je wewe sio mpumbavu?