Nchi za Kikristo zinawezaje kuishi kwa amani namna nii?

Mpumbavu ni mtu asiyejua akajifanya kuelezea kitu kama anajua😀
Hiko nilichokuwekea na ninachokuwekea sio GDP ni Per capital income,......ya Libya ni mara Tano ya Tanzania na Kenya,............
Kwa akili zako unazosema unachanganua,Libya wana maisha magumu kuliko simiyu kule?,......
Kwa hio ambao munachanganua akili hamusomagi data?
No wonder Karume hakusoma ila akamuingiza kingi Nyerere msomi wa Uingerezea sababu ya akili kama zako,Leo Zanzibar ina watu kama mbagala ila GDP yake ni kubwa kuliko Kanda yaziwa yote🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20241211-115637.png
    154.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241211-115553.png
    155.5 KB · Views: 2
Kutokana na mafundisho. Islam inataka kupotea kutokana na mwezi kuzama kwenye matope. Unadhani mtu ukimweleza pointi hiyo unafikiri atakuelewa? So wanapoona watu hawaelewi hutumia nguvu nyingi kubaki on trending.
 
Bado narudi kwenye point yangu ile ile , someni kiundani haya mambo na sio mnakuja na data juu juu; Kenya ina wananchi takribani milioni 55 kupelekea 60 wakati Libya unayoongelea ina wananchi takribani milioni 7 (wachache zaidi maana baada ya vita nchi imekuwa inavuja wakimbizi)
Zaidi ya hapo:
Mnamo 2024, kiwango cha umasikini nchini Libya na Kenya kinatofautiana kwa sababu za kiuchumi, kisiasa, na kijamii

Libya: Takriban 40% ya watu wanaishi katika umasikini. Sababu kuu ni machafuko ya kisiasa, mfumuko wa bei, kushuka kwa thamani ya sarafu ya nchi, na gharama kubwa za bidhaa za msingi. Vikundi vilivyo hatarini zaidi ni wakimbizi wa ndani, watu wenye ulemavu, yatima, na familia zenye kipato cha chini. Ukosefu wa ajira na mishahara midogo pia huchangia tatizo hili.

Kenya: Umasikini umefikia karibu 33.6%. Tatizo hili linaonekana zaidi vijijini, ambako kilimo cha kujikimu kinatawala, na katika maeneo duni ya mijini yenye ukosefu wa huduma za msingi. Hata hivyo, Kenya imepiga hatua katika kupunguza umasikini wa kiwango cha juu kupitia uwekezaji katika elimu, miundombinu, na afya. Nchi pia inanufaika na mazingira ya kisiasa yaliyotulia ambayo huruhusu utekelezaji wa mipango ya kupunguza umasikini.
Kwa ujumla, umasikini nchini Libya unazidishwa na vita na hali mbaya ya uchumi, wakati nchini Kenya unatokana zaidi na ukosefu wa usawa na changamoto za maendeleo vijijini.**
 
Hivi yule David Koresh alikuwa ni Dhehebu gani?.
 

Ulishasikia Wetu wa dini nyingine wakipigania haki za binadamu tangu enzi za biashara ya utumwa walishirikiana na wahalifu waliouza na kuchinja watu kama kuku.
Yaani wao kazi yao ni kutaka madaraka ya kutawala nchi na sio kuwakosoa na kuwaelekeza watawala juu ya utawala bora
 
Pendaneni, Mpende jirani yako kama NAFSI YAKO...

Kule ukifa ukiwa unaipambania dini wewe ni PEPO MOJA KWA MOJA..

Wapi na lini ulisikia Aliyejitoa Mhanga ni Mkristo??

Kule ukijitoa Mhanga unapata Swawabu
Wanajazwa tu hao.
 
Tatizo nchi za waislam kila vita upo mkono wa US, Uingereza, France na Israel fatilia vita kwenye nchi za kiarabu US, UK, France na Israel hawakosekani. Shetani siku zote hazuru watoto zake anawatafuta watoto sio wake ndio anawadhuru . Ufunuo kiti cha Shetani kipo wapi? Kanisani.
 

Ukiona mtu anatoka nchi nyingine kuja kukuchonganisha ktk familia yako ujue una shida wewe mwenyewe. Siyo yule anayekugombanisha.
 

Shambulia hoja na si mtoa hoja.
 
Zinaongozwa na ukristo viongoz wanatoka dhehebu gani??
 
Somalia wanapiganishwa na nani bro? Comoro tu hapo tuliwasaidia sisi; kile kisiwa nacho over 80% ya wakazi wake ni Waislamu. Unaionaje Zanzibar nje ya muungano, pana amani pale? Hawa suruali fupi wanaweza kuishi na suruali ndefu kwa amani? Tusisingizie mataifa mengine; Angola pia kuna mafuta, wanapigana? Mafuta hayapo Uarabuni pekee yake, Venezuela yapo, Uganda nao wataanza kuchimba soon
 
gallow bird
Soma maudhui jumla na uyaelewe. Anzia fungu la 12 na kuendelea ndiyo utelewa kama alikuwa anajisemea mwenyewe au ilikuwa ni (direct) reported speech.
 
Madrasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…