Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia

Wewe ulitaka ionekane wapi? Kwani Ndege ya Rais haitakiwi kwenda Dubai?

Huku ni kuishiwa
 
Na ndio hasa ambacho kitakuwa kimempeleka. Yeye ndio alisababisha MOU mwanzoni kabisa
 
Kwanza kwanini tunatumia gharama kubwa hivyo kurusha ndege hadi huko wakati zipo Qatar Airlines na Emirates?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…