ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wewe ulitaka ionekane wapi? Kwani Ndege ya Rais haitakiwi kwenda Dubai?Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!
Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
View attachment 2701734View attachment 2701735
Huku ni kuishiwa