Mmamae mpaka akili ikae sawaAisee
watanzania tumezoea mambo ya aibu
vitu vidogovidogo kama hivvyo tunashindwa!!
tutaweza kuwauzia SA huo umeme?
tunapenda sana kupigana fix
Mimi na mke wangu.Kuwaondolea wewe na nani?
View attachment 2578766
Ndege ya KLM kutoka Amsterdam imeshindwa kutua uwanja wa ndege wa KIA masaa machache yaliyopita na kusababisha watalii na watu wengine karibu 150 kushindwa kuingia nchini.
Ndege hiyo ililazimika kwenda kutua Entebbe ambako taa zilikuwa zinaangaza kwa manjonjo yote. Pamoja na watu wazima wengi ndege hiyo imebeba wamama wajawazito, watoto na wazee ambao sasa wanahangaika kutafuta usafiri wa haraka.
Haieleweki tatizo ni taa au umeme au upepo!!! Kuna watu wengine wamesikika wakilitaja Jina la yule Marehemu Mpendwa....wakionesha kusikitishwa na Tanzania kuzidiwa na umeme wa Jinja...
Wakisema bila kuchukua hatua nini maana yake au na uwanja nao tukodisheHili la KLM ni leo, issue ilianza jana…
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa, amethibitisha Taa za njia ya ndege zilizima kuanzia saa moja Usiku hadi saa tano Usiku kutokana na Mvua nyingi zinazoendelea kunyesha na kuathiri miundombinu.
Ndege iliyokuwa itue muda huo, ililazimika kwenda kutua Entebbe Nchini Uganda.
Hakuna abiria hata mmoja aliyetelekezwa na na Wote watarudi Tanzania.
Ameongeza Uwanja wa KIA baada ya kufanyiwa Marekebisho, kuanzia jana Usiku saa tano na nusu hadi sasa Uwanja unafanya kazi.
Ndege zashindwa kutua KIA kisa taa za runway kutofanya kazi, KLM yaenda kutua Entebbe
Wanabodi, hii imetokea jioni hii, mpaka sasa ndege zimeshindwa kutua KIA, chanzo kikiwa kutokufanya kazi kwa taa za runway. Precison iliyotoka Dar jioni hii imekua re routed to Nairobi as we speak, wameambiwa matengenezo might take up to 5 hours. Wahusika changamkeni kurekebisha tatizo...www.jamiiforums.com
Kwani ccm wana haja na kura ya mtu?!!!Usidhani watanzania ni wajinga, wana take a note na kuweka moyoni wakisubiri hukumu 2025, na utaona jinsi ambavyo Rais Samia atahaha na kuhangaika na asipokaa makini atashindwa.
Wewe KENGE aliyekuroga ni shogaUjinga mtupu, tatizo la kukatika kwa umeme lilianza miezi michache kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2020. Tuna kumbukumbu ya kutosha kuhusu tatizo hilo. Hao waliomtaja labda ni sukuma gang. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Shoga huyoMkuu una chuki sana na Mzee Magu sijui kwanini?
ACHA UHUNI NA UZWAZWAUjinga mtupu, tatizo la kukatika kwa umeme lilianza miezi michache kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2020. Tuna kumbukumbu ya kutosha kuhusu tatizo hilo. Hao waliomtaja labda ni sukuma gang. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Hapana mkuu kwa KIA uwanja wa kimataifa kukatika umeme?Tutafika Tumechoka Sana Nchi Imekuwa Hovyo hovyo
Malisa, G. sijui yupo wapi?----aonekane haupigi mwingi😂😂😂😂
Hii inchi hii fitna zimezidi aiseeSi wangekuja Dar au Mwanza, entebe wameenda kufanya nn? Fitna tuu mama aonekane haupigi mwingi. Hii ni kazi ya timu mwendazake hii. Alisikika kada mmoja
Yule Malaika ashakufa, liwekeni hili kichwani na mlielewe vema.View attachment 2578766
Ndege ya KLM kutoka Amsterdam imeshindwa kutua uwanja wa ndege wa KIA masaa machache yaliyopita na kusababisha watalii na watu wengine karibu 150 kushindwa kuingia nchini.
Ndege hiyo ililazimika kwenda kutua Entebbe ambako taa zilikuwa zinaangaza kwa manjonjo yote. Pamoja na watu wazima wengi ndege hiyo imebeba wamama wajawazito, watoto na wazee ambao sasa wanahangaika kutafuta usafiri wa haraka.
Haieleweki tatizo ni taa au umeme au upepo!!! Kuna watu wengine wamesikika wakilitaja Jina la yule Marehemu Mpendwa....wakionesha kusikitishwa na Tanzania kuzidiwa na umeme wa Jinja...
Hivi Hii nchi unaijua kweli?,Kwahiyo wewe unadhani kura zako ndio zinaamua nani awe kiongozi,utakua mpumbavu wa kiwango cha lamiTindo nadhani wewe kama siyo una tatizo binafsi basi una chuki binafsi. Enzi za Dkt Magufuli huu ujinga usingetokea kwanza bwawa la Mwl Nyerere lingekuwa limeshakamilika. Sasa wana ongeza invoice kwa kuchelewesha mradi ili hela ya kuila iongezeke na 10%. Usidhani watanzania ni wajinga, wana take a note na kuweka moyoni wakisubiri hukumu 2025, na utaona jinsi ambavyo Rais Samia atahaha na kuhangaika na asipokaa makini atashindwa.
Kunguru weUjinga mtupu, tatizo la kukatika kwa umeme lilianza miezi michache kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2020. Tuna kumbukumbu ya kutosha kuhusu tatizo hilo. Hao waliomtaja labda ni sukuma gang. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.