Ndege zashindwa kutua KIA kisa taa za runway kutofanya kazi, KLM yaenda kutua Entebbe

Ndege zashindwa kutua KIA kisa taa za runway kutofanya kazi, KLM yaenda kutua Entebbe

View attachment 2578766

Ndege ya KLM kutoka Amsterdam imeshindwa kutua uwanja wa ndege wa KIA masaa machache yaliyopita na kusababisha watalii na watu wengine karibu 150 kushindwa kuingia nchini.

Ndege hiyo ililazimika kwenda kutua Entebbe ambako taa zilikuwa zinaangaza kwa manjonjo yote. Pamoja na watu wazima wengi ndege hiyo imebeba wamama wajawazito, watoto na wazee ambao sasa wanahangaika kutafuta usafiri wa haraka.

Haieleweki tatizo ni taa au umeme au upepo!!! Kuna watu wengine wamesikika wakilitaja Jina la yule Marehemu Mpendwa....wakionesha kusikitishwa na Tanzania kuzidiwa na umeme wa Jinja...


Eeehh.. Tanesco jamani, hata Tanesco umeme ukikatika, Kilimanjaro Airport si ina standby generator kubwa, au hii ni hujuma, Manager wa Kili, fukuzeni kabisa kazi, aibu hii
 
Hili la KLM ni leo, issue ilianza jana…

Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa, amethibitisha Taa za njia ya ndege zilizima kuanzia saa moja Usiku hadi saa tano Usiku kutokana na Mvua nyingi zinazoendelea kunyesha na kuathiri miundombinu.

Ndege iliyokuwa itue muda huo, ililazimika kwenda kutua Entebbe Nchini Uganda.

Hakuna abiria hata mmoja aliyetelekezwa na na Wote watarudi Tanzania.

Ameongeza Uwanja wa KIA baada ya kufanyiwa Marekebisho, kuanzia jana Usiku saa tano na nusu hadi sasa Uwanja unafanya kazi.

Wakisema bila kuchukua hatua nini maana yake au na uwanja nao tukodishe

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga mtupu, tatizo la kukatika kwa umeme lilianza miezi michache kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2020. Tuna kumbukumbu ya kutosha kuhusu tatizo hilo. Hao waliomtaja labda ni sukuma gang. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Wewe KENGE aliyekuroga ni shoga
 
Tutafika Tumechoka Sana Nchi Imekuwa Hovyo hovyo
Hapana mkuu kwa KIA uwanja wa kimataifa kukatika umeme?

Hapana.

Zipo njia nyingi za viwanja vya ndege kuwa na umeme wa ziada kwa kuwekeza kwenye vyanzo kama umeme wa upepo au "micro-turbines", kutumia umeme wa kutoka kwenye vitu kama takataka au "renewable sources" na hata kuhifadhi umeme wa jua.

Kila kiwanja kikipewa nafasi ya miaka 3 hadi 5 kuhakikisha kimeweka vyanzo hivi vya umeme wa ziada kutapunguza utegemezi mkubwa wa umeme wa Tanesco na pia umeme ulohifadhiwa utatumika wakati wa dharura.

Hii ni kazi ya mameneja wa viwanja vya ndege kwa kushirikiana na mamlaka ya kusimamia viwanja vya ndege.
 
Etii
kuna watu wengine wamesikika wakilitaja Jina la yule Marehemu

Marehemu gani tena au Adolf Hitler
 
View attachment 2578766

Ndege ya KLM kutoka Amsterdam imeshindwa kutua uwanja wa ndege wa KIA masaa machache yaliyopita na kusababisha watalii na watu wengine karibu 150 kushindwa kuingia nchini.

Ndege hiyo ililazimika kwenda kutua Entebbe ambako taa zilikuwa zinaangaza kwa manjonjo yote. Pamoja na watu wazima wengi ndege hiyo imebeba wamama wajawazito, watoto na wazee ambao sasa wanahangaika kutafuta usafiri wa haraka.

Haieleweki tatizo ni taa au umeme au upepo!!! Kuna watu wengine wamesikika wakilitaja Jina la yule Marehemu Mpendwa....wakionesha kusikitishwa na Tanzania kuzidiwa na umeme wa Jinja...
Yule Malaika ashakufa, liwekeni hili kichwani na mlielewe vema.
 
Tindo nadhani wewe kama siyo una tatizo binafsi basi una chuki binafsi. Enzi za Dkt Magufuli huu ujinga usingetokea kwanza bwawa la Mwl Nyerere lingekuwa limeshakamilika. Sasa wana ongeza invoice kwa kuchelewesha mradi ili hela ya kuila iongezeke na 10%. Usidhani watanzania ni wajinga, wana take a note na kuweka moyoni wakisubiri hukumu 2025, na utaona jinsi ambavyo Rais Samia atahaha na kuhangaika na asipokaa makini atashindwa.
Hivi Hii nchi unaijua kweli?,Kwahiyo wewe unadhani kura zako ndio zinaamua nani awe kiongozi,utakua mpumbavu wa kiwango cha lami
 
Ujinga mtupu, tatizo la kukatika kwa umeme lilianza miezi michache kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2020. Tuna kumbukumbu ya kutosha kuhusu tatizo hilo. Hao waliomtaja labda ni sukuma gang. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Kunguru we
 
Back
Top Bottom