Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume wastaarabu wapo kibao tu. Tatizo Huyo cute ndo ustaarabu zero.Kuna wanaume wastaarabu wapo cute, tulia utampata hutojutia
Hamna,ana sababu zake piaWanaume wastaarabu wapo kibao tu. Tatizo Huyo cute ndo ustaarabu zero.
Mods kwanini picha hapa jf ni ngumu sana kufunguka siku hizi?
Acha makarisiko hiyo ni nature haiwezi kubadilika cha msingi kubali kua wewe mi mama wafamilia unaitakiwa utimize majukumu yako kiukamilifu na ustadi wa hali ya juu ili mmeo afurahie uwekezaji wake.Imagine sis wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume Kama, kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk. Na kitandani mnatufanyia UTUMWA mkubwa Sana hamtupi haki yetu sawa.
Eti kisa mwanaume ni kichwa familia anatafuta kwa jasho.BIG NO ata vitabu vya dini havija mention sehemu yoyote mwanamke ni kijakazi wako...
Wanawake wengi waliolewa wamekata matumaini ya ndoa Yani ni wamechakaa sababu ya wanaume wa kiafrika kutufanya sisi ni watumwa wao.
Nb: Mwanamke ata akicheat atatoa nje ataleta ndani Ila mwanaume anatoa hela ndani anapeleka nje I hate this stupid men.
DduhImagine sis wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume Kama, kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk. Na kitandani mnatufanyia UTUMWA mkubwa Sana hamtupi haki yetu sawa.
Eti kisa mwanaume ni kichwa familia anatafuta kwa jasho.BIG NO ata vitabu vya dini havija mention sehemu yoyote mwanamke ni kijakazi wako...
Wanawake wengi waliolewa wamekata matumaini ya ndoa Yani ni wamechakaa sababu ya wanaume wa kiafrika kutufanya sisi ni watumwa wao.
Nb: Mwanamke ata akicheat atatoa nje ataleta ndani Ila mwanaume anatoa hela ndani anapeleka nje I hate this stupid men.
Imagine sis wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume Kama, kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk. Na kitandani mnatufanyia UTUMWA mkubwa Sana hamtupi haki yetu sawa.
Eti kisa mwanaume ni kichwa familia anatafuta kwa jasho.BIG NO ata vitabu vya dini havija mention sehemu yoyote mwanamke ni kijakazi wako...
Wanawake wengi waliolewa wamekata matumaini ya ndoa Yani ni wamechakaa sababu ya wanaume wa kiafrika kutufanya sisi ni watumwa wao.
Nb: Mwanamke ata akicheat atatoa nje ataleta ndani Ila mwanaume anatoa hela ndani anapeleka nje I hate this stupid men.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ndo ni utumwa kwenye nyumba yako, sio wanaume wote ni malimbukeni kama wakwako
Unapenda ushangingi wewe!ngoja wakukamate wenye uchungu na waume zao,wenzio wanafua,wanawaogesha,wanawapikia,wanawanyoa mavuiz,halafu hawapewi Haki yao wewe ndio unafaidi tu nje Shauri yako🙄Kama anaweza amtie
Kama unaweza mtie kamba mumeo umzuie
Ukitahamaki chini ka chimba mumeo ninae mie*2
Chini ka chimba ninae mie*2
Ninae mie ninae mie.*2
Chini ka chimba ninae mie
Ninae mie natamba nae.
Acha kumuongezea uchunguMwabie atulie aendelee kusha vyomba kageuka kuwa mdada wakzi 😂😂🙈