Ndugu ni Mtu uliyezaliwa naye tumbo 1 kwa Mama na Baba mmoja.
Kwa Kiingeleza wanaita Siblings
Ambapo Mtoto wa Shangazi yako ni Second Degree Sibling, ambaye anadondokea kwenye Relative au Jamaa
Ni ndg zangu ndo nachojua,, hiyo ya kwako baki nayo tuNilikuwa nakuelimisha kidogo tu kuwa Ndugu ni yule ambaye mmezaliwa kwa mzazi wazazi mmoja.
Nikiwaambia watu sio ndugu zangu bali ni Jamaa wanakasirika ila nawaambia ndio ukweli huo
Lugha ya Kiswahili ina maneno machache sana ila kwa Kiingeleza hao huitwa Half Siblings.Mtoto wa baba yako ambaye amezaliwa na mama mwingine.. hajazaliwa tumbo moja na wewe.. je ni ndugu yako ama sio ndugu yako ?
Tumegoma hatuongezekiLazima muwepo tu na mtaendelea ongezeka
Hahahah.Tumegoma hatuongezeki
Babu yangu pia alikua na uwezo wa kumjua binti hata mwenye mimba changa kabisa, sema yeye kimila hakuruhusiwa kusema hadharani, alikua mara nyingi anamtonya mkewe.Kuna Wazee wa zamani wengine Wana uelewa Sana...Kuna siku miaka ya nyuma kidogo nilikuwa nimepanga mahali, mama mwenye nyumba wangu alikuwa mzee (bibi) Sana aliniona natoka na mwanamke kwangu ingawa nyumba yake na aliyonipangisha ziko tofauti..badae yule bibi akaniita akaniambia yule mwanamke niliyekuwa Naye alivomwona tu alimwona ni mwanamke ambaye hawezi kuzaa nkashangaaa sana.nkamuuliza amejuaje akasema hizo elimu anazo(elimu za uzazi) alifundishwa toka zamani huko below 1970 na watu wa dini. Ni kweli yule mwanamke alipata mimba zamani akiwa na mwanaume mwingine mimba ikatoka na baada ya hapo hakuzaaa na saiv huyo mwanamke Yuko na mwanaume mwingine aliolewa na ana almost 4 years kwenye ndoa Hana mtoto.....Tafuteni wazee wa zamani watawasaidia Sana
hujanielewa na utanielewa kwa shida kidogo lets go na mada yetuKwamba wanafunzi wa huko ni wajinga?
kwa hiyo watoto wa mengi wale aliopata uzeeni wanashida kiafya? huu utafiti umefanyia wapi mkuuKwa uchunguzi wangu binafsi nimeona ndoa nyingi sana zinapata changamoto ya kupata mtoto.
Hapa mjini wadada karibu wote wameharibika. Ndiyo maana wengi hata wakibahatika kuolewa kupata mtoto inakuwa tabu sana. Na wengi wao hawazai kabisa.
Wanawake wengi wa mjini Mjini wanatumia vizuia mimba tangu wakiwa wadogo sana matokeo wanavuruga mfumo wa uzazi,vijijini hawajui hayo mambo wanazaa mapema
Wadada wengi ujanani kipindi hawajaolewa p2 wanameza kama panadol..siku wakitaka kushika mimba ni mtafutano mara uvimbe..mara pid..mara hormonal imbalance. uzazi Sasa hivi kwa wanawake ni wa kutafuta kwa tochi.
Vidonge vya uzazi wa mpango vimepoteza Sana kizazi Cha wanawake. Matumizi ya p2 ujanani yanaleta balaa sana mbeleni kwenye ndoa.
Familia nyingi siku hizi zinaishia kuwa na mtoto mmoja. Ambaye anapatikana kwa mbinde sana.
Hapa chini ni somo jepesi la Muda sahihi wa kuzaa
1.WANAWAKE(WOMEN)
Wazungu wanasema Fertility is Ageist..ikimaanisha umri ndo unaweza ukaadhiri Afya Ya mtoto wako kwa Wanawake wanazaliwa na mayai kamili ambayo hupungua kiasi na Quality miaka inavyoenda..Mwanamke anavyozeeka uwezekano wa kupata mimbe unapungua chances za kupata risk mbali mbali kama miscarriage zinaongezeka!!
-Akiwa Miaka 32 uwezo wa Kuzaa unapungua ILA KIDOGO sana.
-Akiwa na Miaka 35 uwezo wa kuzaa unapungua kwa SPIDI ya Juu sana
-Akiwa na Miaka 40 uwezo wa kuzaa unakua umepungua kwa Nusu
-Kuanzia Miaka 20-31 uwezo wa kuzaa unakua asilimia 40% kwa kila mwezi ILA above 40 ni 5% sasa ukizaa Late unaweza kupata risks kama still birth(mtoto kufa esp age ya 35 hapo) kuanzia 40 kwenda Juu its a Miscarriage unapata
2.WANAUME(MEN)
As women,quality Ya sperms Inapingua as a man Ages mpka inafikia Point hawezi kumpa mwanamke mimba kabisa!
-Akiwa na Miaka 40 na zaidi uwezo wa kumpa mwanamke unapungua kutokana na kupungua kwa MOTILITY(kukimbia kwa sperms kufuata Yai) akiwa 45 kwenda Juu mtoto atakaemzaa atakua na matatizo kiafia
-Akiwa 20-40 hapa uwezo wa kuzalisha upo vizuri na anaweza kupata watoto kama wote Bila shida Yoyote kabisa!!!!
HIVYO TUJITAHIDI KUFUNGA NDOA MAPEMA. MWANAMKE CHINI YA MIAKA 25 AOLEWE NA MWANAUME KABLA HUJAVUKA 30 UWE UMESHAOA.
Hii itasaidia kutatua hili tatizo la uzazi kwenye ndoa nyingi za kisasa
BInadamu wa miaka hii tunajilipua na mambo mengi sana,ndio maana hata kupata uzazi ni shida...Kwa uchunguzi wangu binafsi nimeona ndoa nyingi sana zinapata changamoto ya kupata mtoto.
Hapa mjini wadada karibu wote wameharibika. Ndiyo maana wengi hata wakibahatika kuolewa kupata mtoto inakuwa tabu sana. Na wengi wao hawazai kabisa.
Wanawake wengi wa mjini Mjini wanatumia vizuia mimba tangu wakiwa wadogo sana matokeo wanavuruga mfumo wa uzazi,vijijini hawajui hayo mambo wanazaa mapema
Wadada wengi ujanani kipindi hawajaolewa p2 wanameza kama panadol..siku wakitaka kushika mimba ni mtafutano mara uvimbe..mara pid..mara hormonal imbalance. uzazi Sasa hivi kwa wanawake ni wa kutafuta kwa tochi.
Vidonge vya uzazi wa mpango vimepoteza Sana kizazi Cha wanawake. Matumizi ya p2 ujanani yanaleta balaa sana mbeleni kwenye ndoa.
Familia nyingi siku hizi zinaishia kuwa na mtoto mmoja. Ambaye anapatikana kwa mbinde sana.
Hapa chini ni somo jepesi la Muda sahihi wa kuzaa
1.WANAWAKE(WOMEN)
Wazungu wanasema Fertility is Ageist..ikimaanisha umri ndo unaweza ukaadhiri Afya Ya mtoto wako kwa Wanawake wanazaliwa na mayai kamili ambayo hupungua kiasi na Quality miaka inavyoenda..Mwanamke anavyozeeka uwezekano wa kupata mimbe unapungua chances za kupata risk mbali mbali kama miscarriage zinaongezeka!!
-Akiwa Miaka 32 uwezo wa Kuzaa unapungua ILA KIDOGO sana.
-Akiwa na Miaka 35 uwezo wa kuzaa unapungua kwa SPIDI ya Juu sana
-Akiwa na Miaka 40 uwezo wa kuzaa unakua umepungua kwa Nusu
-Kuanzia Miaka 20-31 uwezo wa kuzaa unakua asilimia 40% kwa kila mwezi ILA above 40 ni 5% sasa ukizaa Late unaweza kupata risks kama still birth(mtoto kufa esp age ya 35 hapo) kuanzia 40 kwenda Juu its a Miscarriage unapata
2.WANAUME(MEN)
As women,quality Ya sperms Inapingua as a man Ages mpka inafikia Point hawezi kumpa mwanamke mimba kabisa!
-Akiwa na Miaka 40 na zaidi uwezo wa kumpa mwanamke unapungua kutokana na kupungua kwa MOTILITY(kukimbia kwa sperms kufuata Yai) akiwa 45 kwenda Juu mtoto atakaemzaa atakua na matatizo kiafia
-Akiwa 20-40 hapa uwezo wa kuzalisha upo vizuri na anaweza kupata watoto kama wote Bila shida Yoyote kabisa!!!!
HIVYO TUJITAHIDI KUFUNGA NDOA MAPEMA. MWANAMKE CHINI YA MIAKA 25 AOLEWE NA MWANAUME KABLA HUJAVUKA 30 UWE UMESHAOA.
Hii itasaidia kutatua hili tatizo la uzazi kwenye ndoa nyingi za kisasa
Shule tusisome au viwe vyote kwapamoja