Ndoa nyingi siku hizi zina shida ya uzazi. Tatizo la uzazi ni kubwa sana. Tubadilike lifestyle na tufunge ndoa mapema wakati mayai yana nguvu

Ndoa nyingi siku hizi zina shida ya uzazi. Tatizo la uzazi ni kubwa sana. Tubadilike lifestyle na tufunge ndoa mapema wakati mayai yana nguvu

Ndugu ni Mtu uliyezaliwa naye tumbo 1 kwa Mama na Baba mmoja.
Kwa Kiingeleza wanaita Siblings

Ambapo Mtoto wa Shangazi yako ni Second Degree Sibling, ambaye anadondokea kwenye Relative au Jamaa

Mtoto wa baba yako ambaye amezaliwa na mama mwingine.. hajazaliwa tumbo moja na wewe.. je ni ndugu yako ama sio ndugu yako ?
 
Mtoto wa baba yako ambaye amezaliwa na mama mwingine.. hajazaliwa tumbo moja na wewe.. je ni ndugu yako ama sio ndugu yako ?
Lugha ya Kiswahili ina maneno machache sana ila kwa Kiingeleza hao huitwa Half Siblings.

Sababu sina hao hivyo siwezi jua.

Binafsi Ndugu ni Wadogo zangu tu
 
kuna bibi wa zaidi ya miaka 60 niliwahi sikia alipata mimba na akapata mtoto hiyo imekaaje?

Changamoto zinaanzia boarding school ---- MAFUTA YA TAA kuwekwa kwenye chakula
 
Shida ni kwamba relationships and marriage at large are TRANSACTIONAL....Kama huna mavumba(pesa) bora tu uendelee kuwa single itakusaidia kutunza AFYA YAKO YA AKILI...
 
Kuna Wazee wa zamani wengine Wana uelewa Sana...Kuna siku miaka ya nyuma kidogo nilikuwa nimepanga mahali, mama mwenye nyumba wangu alikuwa mzee (bibi) Sana aliniona natoka na mwanamke kwangu ingawa nyumba yake na aliyonipangisha ziko tofauti..badae yule bibi akaniita akaniambia yule mwanamke niliyekuwa Naye alivomwona tu alimwona ni mwanamke ambaye hawezi kuzaa nkashangaaa sana.nkamuuliza amejuaje akasema hizo elimu anazo(elimu za uzazi) alifundishwa toka zamani huko below 1970 na watu wa dini. Ni kweli yule mwanamke alipata mimba zamani akiwa na mwanaume mwingine mimba ikatoka na baada ya hapo hakuzaaa na saiv huyo mwanamke Yuko na mwanaume mwingine aliolewa na ana almost 4 years kwenye ndoa Hana mtoto.....Tafuteni wazee wa zamani watawasaidia Sana
 
Hivi do parents these days even have marriage talk with their girls apart from warning them against boys/men?

Mabinti siku hizi ni mifugo iliyoachiwa mbwa mwitu huko duniani! Wazazi wanataka madigirii na mapiechidi tu! Yangu macho

giphy (3).gif
 
Tuangalie na ishu ya mavazi kwa hawa mabinti aisee.

Binti wa std 7, umbo limemtoka tayari, matito yashaanza kuchomoza anavaa nguo za kubana, sketi fupi, taiti za kubana.
Huyu ni kesho tu anaanza kubamduliwa, anaanza kumeza p2 akiwa na umri mdogo kichizi.
Wazazi acheni uzungu mwingi huku bongo watu hawako bize na kazi kama ulaya, hakuna starehe nyingi kama ulaya, huku starehe kubwa ambayo watu wengi wanaimudu ni ngono. Ngono inahitaji ushawishi ama pesa, wengi wana kimojawapo kati ya hivyo so wanaipata hiyo starehe.

Wahanga hapa ni wasichana, singo maza ndio huzaliwa hapa kwa wingi, hiki ndio kiwanda cha kuchakata wasichana kua singo maza.
Mkitutamanisha tutawatamani.
 
Kuna Wazee wa zamani wengine Wana uelewa Sana...Kuna siku miaka ya nyuma kidogo nilikuwa nimepanga mahali, mama mwenye nyumba wangu alikuwa mzee (bibi) Sana aliniona natoka na mwanamke kwangu ingawa nyumba yake na aliyonipangisha ziko tofauti..badae yule bibi akaniita akaniambia yule mwanamke niliyekuwa Naye alivomwona tu alimwona ni mwanamke ambaye hawezi kuzaa nkashangaaa sana.nkamuuliza amejuaje akasema hizo elimu anazo(elimu za uzazi) alifundishwa toka zamani huko below 1970 na watu wa dini. Ni kweli yule mwanamke alipata mimba zamani akiwa na mwanaume mwingine mimba ikatoka na baada ya hapo hakuzaaa na saiv huyo mwanamke Yuko na mwanaume mwingine aliolewa na ana almost 4 years kwenye ndoa Hana mtoto.....Tafuteni wazee wa zamani watawasaidia Sana
Babu yangu pia alikua na uwezo wa kumjua binti hata mwenye mimba changa kabisa, sema yeye kimila hakuruhusiwa kusema hadharani, alikua mara nyingi anamtonya mkewe.

Ila mkuu usichanganye kuna uchawi pia.
 
Mtoa mada umesahau na suala la lishe ,lishe bora ina mchango mkubwa katika suala la uzazi ,ila nadhani inategemea mtu na mtu, kuna wanawake hadi miaka 38 wanazaa na walianza kuzaa na 33 huko ,dada yetu jokate amezaa na 35 ,japo sikatai ni kweli ukizaa mapema kwenye 20’s unapata mtoto wako kirahisi sana tofauti ukifika 30’s huko
 
Kwa uchunguzi wangu binafsi nimeona ndoa nyingi sana zinapata changamoto ya kupata mtoto.

Hapa mjini wadada karibu wote wameharibika. Ndiyo maana wengi hata wakibahatika kuolewa kupata mtoto inakuwa tabu sana. Na wengi wao hawazai kabisa.

Wanawake wengi wa mjini Mjini wanatumia vizuia mimba tangu wakiwa wadogo sana matokeo wanavuruga mfumo wa uzazi,vijijini hawajui hayo mambo wanazaa mapema

Wadada wengi ujanani kipindi hawajaolewa p2 wanameza kama panadol..siku wakitaka kushika mimba ni mtafutano mara uvimbe..mara pid..mara hormonal imbalance. uzazi Sasa hivi kwa wanawake ni wa kutafuta kwa tochi.

Vidonge vya uzazi wa mpango vimepoteza Sana kizazi Cha wanawake. Matumizi ya p2 ujanani yanaleta balaa sana mbeleni kwenye ndoa.

Familia nyingi siku hizi zinaishia kuwa na mtoto mmoja. Ambaye anapatikana kwa mbinde sana.

Hapa chini ni somo jepesi la Muda sahihi wa kuzaa

1.WANAWAKE(WOMEN)

Wazungu wanasema Fertility is Ageist..ikimaanisha umri ndo unaweza ukaadhiri Afya Ya mtoto wako kwa Wanawake wanazaliwa na mayai kamili ambayo hupungua kiasi na Quality miaka inavyoenda..Mwanamke anavyozeeka uwezekano wa kupata mimbe unapungua chances za kupata risk mbali mbali kama miscarriage zinaongezeka!!

-Akiwa Miaka 32 uwezo wa Kuzaa unapungua ILA KIDOGO sana.
-Akiwa na Miaka 35 uwezo wa kuzaa unapungua kwa SPIDI ya Juu sana
-Akiwa na Miaka 40 uwezo wa kuzaa unakua umepungua kwa Nusu
-Kuanzia Miaka 20-31 uwezo wa kuzaa unakua asilimia 40% kwa kila mwezi ILA above 40 ni 5% sasa ukizaa Late unaweza kupata risks kama still birth(mtoto kufa esp age ya 35 hapo) kuanzia 40 kwenda Juu its a Miscarriage unapata

2.WANAUME(MEN)
As women,quality Ya sperms Inapingua as a man Ages mpka inafikia Point hawezi kumpa mwanamke mimba kabisa!
-Akiwa na Miaka 40 na zaidi uwezo wa kumpa mwanamke unapungua kutokana na kupungua kwa MOTILITY(kukimbia kwa sperms kufuata Yai) akiwa 45 kwenda Juu mtoto atakaemzaa atakua na matatizo kiafia
-Akiwa 20-40 hapa uwezo wa kuzalisha upo vizuri na anaweza kupata watoto kama wote Bila shida Yoyote kabisa!!!!

HIVYO TUJITAHIDI KUFUNGA NDOA MAPEMA. MWANAMKE CHINI YA MIAKA 25 AOLEWE NA MWANAUME KABLA HUJAVUKA 30 UWE UMESHAOA.

Hii itasaidia kutatua hili tatizo la uzazi kwenye ndoa nyingi za kisasa
kwa hiyo watoto wa mengi wale aliopata uzeeni wanashida kiafya? huu utafiti umefanyia wapi mkuu
 
Kwa uchunguzi wangu binafsi nimeona ndoa nyingi sana zinapata changamoto ya kupata mtoto.

Hapa mjini wadada karibu wote wameharibika. Ndiyo maana wengi hata wakibahatika kuolewa kupata mtoto inakuwa tabu sana. Na wengi wao hawazai kabisa.

Wanawake wengi wa mjini Mjini wanatumia vizuia mimba tangu wakiwa wadogo sana matokeo wanavuruga mfumo wa uzazi,vijijini hawajui hayo mambo wanazaa mapema

Wadada wengi ujanani kipindi hawajaolewa p2 wanameza kama panadol..siku wakitaka kushika mimba ni mtafutano mara uvimbe..mara pid..mara hormonal imbalance. uzazi Sasa hivi kwa wanawake ni wa kutafuta kwa tochi.

Vidonge vya uzazi wa mpango vimepoteza Sana kizazi Cha wanawake. Matumizi ya p2 ujanani yanaleta balaa sana mbeleni kwenye ndoa.

Familia nyingi siku hizi zinaishia kuwa na mtoto mmoja. Ambaye anapatikana kwa mbinde sana.

Hapa chini ni somo jepesi la Muda sahihi wa kuzaa

1.WANAWAKE(WOMEN)

Wazungu wanasema Fertility is Ageist..ikimaanisha umri ndo unaweza ukaadhiri Afya Ya mtoto wako kwa Wanawake wanazaliwa na mayai kamili ambayo hupungua kiasi na Quality miaka inavyoenda..Mwanamke anavyozeeka uwezekano wa kupata mimbe unapungua chances za kupata risk mbali mbali kama miscarriage zinaongezeka!!

-Akiwa Miaka 32 uwezo wa Kuzaa unapungua ILA KIDOGO sana.
-Akiwa na Miaka 35 uwezo wa kuzaa unapungua kwa SPIDI ya Juu sana
-Akiwa na Miaka 40 uwezo wa kuzaa unakua umepungua kwa Nusu
-Kuanzia Miaka 20-31 uwezo wa kuzaa unakua asilimia 40% kwa kila mwezi ILA above 40 ni 5% sasa ukizaa Late unaweza kupata risks kama still birth(mtoto kufa esp age ya 35 hapo) kuanzia 40 kwenda Juu its a Miscarriage unapata

2.WANAUME(MEN)
As women,quality Ya sperms Inapingua as a man Ages mpka inafikia Point hawezi kumpa mwanamke mimba kabisa!
-Akiwa na Miaka 40 na zaidi uwezo wa kumpa mwanamke unapungua kutokana na kupungua kwa MOTILITY(kukimbia kwa sperms kufuata Yai) akiwa 45 kwenda Juu mtoto atakaemzaa atakua na matatizo kiafia
-Akiwa 20-40 hapa uwezo wa kuzalisha upo vizuri na anaweza kupata watoto kama wote Bila shida Yoyote kabisa!!!!

HIVYO TUJITAHIDI KUFUNGA NDOA MAPEMA. MWANAMKE CHINI YA MIAKA 25 AOLEWE NA MWANAUME KABLA HUJAVUKA 30 UWE UMESHAOA.

Hii itasaidia kutatua hili tatizo la uzazi kwenye ndoa nyingi za kisasa
BInadamu wa miaka hii tunajilipua na mambo mengi sana,ndio maana hata kupata uzazi ni shida...
 
Back
Top Bottom