Ndoa ya Aziz Ki ni maisha yake binafsi, lakini Wacha nitie neno kidogo

Uliyosema ni kweli tena kweli tupu
Suala la kuoa kati ya msimu na kupotea ni Pete na kidole
Hata aliyekuwa captain wa Azam somebody Banyana alikuwa moto kweli akaenda hiyo fungate kurejea ni kawa wa kawaida sana
Lakini picha za mahusiano ya hamisa na Aziz mi huwa naona Aziz ni kama anashangaa hata hajui nn kinaendelea mi Nina mashaka hata wale ng'ombe ni hamisa na hersi wamenunua wenyewe
 
Buhahahaha 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 acheni nongwa eti kanunua mwenyewe na Hersi
 
Fursa fursana.. Bajeti ya harusi ilikuwa over 50M..
 
Boss, hii dunia wanaolewa mpaka wacheza picha chafu wenye bikra wanaachwa. Usiwe serious sana.
 
Mkuu bora wewe, japokua hainihusu lakini nashangaa mpaka kichwa kinaniuma...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…