Kizuri cha mabaharia huwa tuko real.
Mm kuna mlevi mwenzangu tulifahamiana kwenye viwanja tu akawa hadi mshikaji wangu sana, sasa baadae akaacha pombe kumbe alikua anajiandaa kuoa, si akaoa pisi moja matata sana, harusi kali sema kpnd hicho mambo ya uMC wa insta haukuwepo, ila harusi ilifana.
Sasa bwana kumbe yule binti washikaji zangu wengine walikua wameshagonga hadi wakachoka ile pussy, alikua ni professional bitch, kabla ya kuolewa alikua anafanya kazi sea cliff. Siku moja tunakunywa bia huku tunapiga story nikawagusia mwanetu alieoa, wakaomba picha, tulikua kama sita hivi pale, wawili walianza kucheka kinoma, nikauliza nn, wakanambia "huyu tulishapiga tag team, na si anafanya kazi sea cliff" nilichoka mzee, ila ilibidi nimuite mwana tukamuweka kikao tukampanga full story kiume, jamaa alilia kinoma ila tukashangaa akaendelea kuwa na huyo binti.
Alichokuja fanyiwa hatosahau, hv nnavyoongea jamaa kawa mlevi hana mbele wala nyuma, alimfumania mke wake nyumbani kwake anapigws paipu na mtu alomtambulisha kwake kama kaka ake, yaan alikua anakaa humo ndani akijua ni ndugu wa mke na dogo alikua anasoma chuo UDSM, sasa jiulize dogo kaitomber mara ngp?
Malaya ni malaya tu, hawabadilikagi. Ni kama msaliti. Usaliti na umalaya upogo kwenye DNA