Ndoa ya wake wengi iruhusiwe kwenye ukristo kuokoa kizazi cha wanawake ambao wanazeeka makanisani bila waume

Ndoa ya wake wengi iruhusiwe kwenye ukristo kuokoa kizazi cha wanawake ambao wanazeeka makanisani bila waume

Wakristo Sio wayahudi.

1 Wakorintho 7​

Neno: Bibilia Takatifu​

Kuhusu Ndoa​

7 Na sasa kuhusu mambo mliyoniandikia. Ni vizuri mtu asioe. 2 Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.
Mkuu ukisoma biblia kwa namna hiyo utaishia kupotosha watu soma mpaka mstari wa 6 "1 Kor 7: 1-6", hayo ni mawazo ya paulo katika kupunguza zinaa na siyo amri.

Na kumbuka kuwa ilikuwa wakati huo:

Lakini nasema hayo, kwa kutoa idhini yangu, si kwa amri.
1 Kor 7:6 SUV

But I am saying this as a concession, not as a command.
1 Corinthians 7:6 AMP

Wakati huu kwenye wimbi la wanawake kuwa wengi, kama una mudu kuhudumia si vibaya kuwa na mke zaidi ya mmoja.
Haya pia ni mawazo ni si amri.
 
Mkuu upo sahahi 100% hapo wakristo tulipigwa na kitu kizito na hapa tu ndo waislam Huwa nawapendea.
Mimi napenda kudinya kila siku lakini wife akinipa siku moja basi ujue kupewa Tena Hadi siku 3 zipite au zaidi yaani sometime Hadi nitie ubabe ndo naweza mkaza walau siku 2 mfululizo.
Hii Kwa wenzetu ukipiga hapa Leo, kesho Kwa bimdogo yaani ni kufanya rotation Hadi Raha.
Sometime Huwa nafikilia niwe muisalamu tu Kwa ajili ya hii kitu na kupiga nje sijui Kwa Nini sipendelei sana.
Karibu usilimu nitakutafutia na jina zuri la kiislam
 
Solomon,Musa na hao wengn uliowataja hawakua WAKRISTO. Misingi ya Kikristo umewekwa na Kristu mwenyewe ambao kakataza mume kua na wake wengi! Ko ukitaka WAKRISTO waoe wake wengi UnamAanisha wasiiwe WAKRISTO Tena kwa maana hawajafuata maagizo ya Kristu mwenyewe.
Ni wapi Kristo alikataza mkuu kuoa wake wengi?
 
Mzee Mwinyi alisema mke mmoja anasababisha BP bure!

Ila ukweli ni kuwa uislamu unayaishi maisha ya manabii na mitume wa Mungu, Suleiman na Daudi hawakuipiga kufuli miili yao ilipodemand kipozeo still Mungu hakuwachukia

kama mtu anataka wake wengi abadili dini tu awe muislam akaoe hao wake 4.

uislam wenyewe umeweka masharti ya kuoa wake wa nne,sasa jambo likiishakuwa na masharti tayari halina raha hilo ni kifungo tayari.

kwa maisha yalivyo siku hizi unaoa wake wanne,ili uzae watoto 8 walishwe na nani???au ndio mashindano ya kuijaza dunia yenye masikini 99.99%??
 
Ni wapi Kristo alikataza mkuu kuoa wake wengi?

1 wakorinto 7

hapa hakuwa anazungumzia nyege baada ya wewe kuoa,kimsingi alirenga ngono za horela,akasema kwa misingi ya ndoa basi kila mtu ajitwalie mke na mume mmoja.

kama mke mmoja hakutoshi hata 3 utawazoea baada ya siku 90 utaanza upuuzi ule ule,ngono hazinaga sababu za msingi zaidi ya tamaa tu.
hao waislam wameagizwa kuoa wake 2.3.4 kama wakitaka,hawaoi wanaishua 1 embu chunguza kama wanatoboka makalio kwa kufanya hivyo.
 
Hoja yako ina mashiko hasa ukizingatia hiyo mil 25+ inachangwa na jamii nzima ambayo maharusi wamewahi kujuana nayo! Ndoa inapaswa kuwa ni jukumu la muoaji na ikibidi basi iwe ni familia yake kwa ukaribu kabisa. Sio mambo ya kufanya kama mnatengenza show na kiingilio ni kiasi kadhaa! khaaa! double kuna kiwango chake, single kuna kiwango chake. Tunayataka makubwa na hatuyawezi, huu ni udhalili wa hali ya juu kabisa. Mentality ya kijinga kabisa hii ya kupenda makubwa kwa mfuko wa watu wengine.

Ndoa inapaswa kuwa simple so that almost everyone can afford, na tamaduni ya kwamba lazima uwe ombaomba kisa unataka kuoa iondoshwe kabisa.
Hayo mambo yamekua kama fasheni skuizi
unaombwa mchango hata kama huna kipato, kisa watu wanataka kuoana yani wamefanya kuoana kuonekane kugumu mno
 
Hili ni suala la kiuwezo tu, na maamuzi ya waoanaji. Unaweza kutoka kanisani ukawa tayari umekuwa mwili mmoja. Hizo sherehe siyo Lazima ila zingine zinakuja kwakuwa tunaishi in abundance.

Au sometime showoff.
Tatizo linakuja pale mtazamo wa jamii unapofanya vijana waone hayo mambo ni magumu kwahiyo inawakatisha tamaa hata ya kupata mwenza ambae wanaweza kuelewana wakafunga ndoa simple... na wakati mwingine ukikimbia harusi unakutana na mahari ya mil7
 
Back
Top Bottom