Kabisa mkuu,Mwisho wa Uzi huu apa[emoji3581][emoji3581][emoji3581]
Pamoja na wingi huo bado tunawaliza, mmekuwa majoka ya kibisa, mna nguvu akili na mamlaka nje tu humo ndani mnachapika haswaHata mambo eti ya vikao vya usuluhishi sitaki kabisa. Ukileta ngebe tembea atakuja mwenzako. Pisi nyingi siku hizi wako wengi wanataka hiyo vacancy.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hata mambo eti ya vikao vya usuluhishi sitaki kabisa. Ukileta ngebe tembea atakuja mwenzako. Pisi nyingi siku hizi wako wengi wanataka hiyo vacancy.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Na hapo ndo huwa tunachukua point zote muhimu mnabaki kugalagala,Ninachowapendea Wanawake, hawakupigi Kwa ngumi au makofi Ila kipigo Chao utaita maji MMA! 😂😂😂
Alafu wakianza kukupiga usije fikiri ATI watakuonea huruma. Wanawake hawanaga huruma wakishakuchukia, utapigwa mpaka ukome.
Wanajua namna ya kumpa MTU maumivu makali ya nafsi
Ngoja nikupe siri ya watu wa kilimanjaro siyo kupenda ndiyo maana ningumu kukuta watoto wa mitaani labda wawe wakuja ila siyo mzawa.Huwa tunajali sana watoto asilimia kubwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba jamaa Kazama.
Alafu anasingizia Watoto.
Nnachokiona kwa mtoa mada,Ninachowapendea Wanawake, hawakupigi Kwa ngumi au makofi Ila kipigo Chao utaita maji MMA! [emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu wakianza kukupiga usije fikiri ATI watakuonea huruma. Wanawake hawanaga huruma wakishakuchukia, utapigwa mpaka ukome.
Wanajua namna ya kumpa MTU maumivu makali ya nafsi
Mwanamke ukiwa huna pesa anangalia harakati zako je huwa za matumaini yani leo huna je kesho upo uwezekano ukapata pesa siyo unakosa pesa unajifungia ndani na mkeo mnaanza jilizaliz toka nenda hata kapige misele rudi na story za uongo uongo amini kesho ipoPesa ni kichocheo cha mapenzi.
Lakini haimaanishi MTU ukiwa na Pesa ATI Mwanamke ndio hatakuendesha kama ukiwa mwanaume bwege
Ndoa ni wizi!!!Kataa Ndoa
[emoji1787]sijakaaa kiboya saana nina kijuwe cha kuuza culture town mm siyo mtu wa hm kabisa mkuuMwanamke ukiwa huna pesa anangalia harakati zako je huwa za matumaini yani leo huna je kesho upo uwezekano ukapata pesa siyo unakosa pesa unajifungia ndani na mkeo mnaanza jilizaliz toka nenda hata kapige misele rudi na story za uongo uongo amini kesho ipo
Hakuna huruma hapo.Maana huku nje mapenzi yapo kibao ila ukiwaza family unatemana nayo lakini unarudi ndani tena ndiyo ivyo ndiyo nazidi kuamini HIV kwa waliopo ndani ya ndoa ni rahisi sana kupata maambukizi kwasababu ukijaribu kutumia tu hasira biashara imekwisha.Mnaonyimwa unyumba ndoani, mko wengi sana mngeanzisha tu chama chenu. Kama wale wanaopigwa na wake zao.
Huyo mapenzi nawewe hana, hata mwanzo alikuwa akikupea kwa huruma na vihela vyako. Sasa hela haioni na hakuna rangi utaacha ona.
Mnaonyimwa unyumba ndoani, mko wengi sana mngeanzisha tu chama chenu. Kama wale wanaopigwa na wake zao.
Huyo mapenzi nawewe hana, hata mwanzo alikuwa akikupea kwa huruma na vihela vyako. Sasa hela haioni na hakuna rangi utaacha ona.
Nnachokiona kwa mtoa mada,
Mkewe hajamchukia, Bali anamtikisa kibiriti
Jama akilegea Basi Ndo amekwisha
Ngoja nikupe siri ya watu wa kilimanjaro siyo kupenda ndiyo maana ningumu kukuta watoto wa mitaani labda wawe wakuja ila siyo mzawa.Huwa tunajali sana watoto asilimia kubwa
Sababu ya kutaka kumchukua mtoto ni nini? Mwache akae na mama.yake uwe unaenda kumuona. Baadae utamchukua.Nimeishi na mwanamke miaka 10 tunamtoto mmoja wakike yupo darsa la 5. Mimi ni fundi ujenzi nafanya kazi za mashirika kama NSSF, ALUMINIUM EMIRRAT naza mitaani ndogo ndogo.
Familia naihudumia kwa kila kitu na mke anafanya kazi siku nikikwama akitoa hata buku yake ni ugomvi. Sasa naona mwezi huu ndiyo mambo yamekuwa kuwa mambo baada ya project nyingi kusimama kwaiyo kipato changu kimeshuka japo najitahidi kuhudumia familiya kwa vyovyote.
Sasa imefika hatua hata unyumba nanyimwa inaniuma kila nikitaka kumwacha nikimwangalia mwanangu machozi yanatoka tu.
Vp kuhusu kumchukua mwanangu anamiaka 10 wakike je nikienda kisheria naweza kabidhiwa mwanangu??MSAADA WAKI MAWAZO WANA JAMII.