makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
- Thread starter
-
- #201
Shekhe mwenyewe si ndio mimi πNna wasiwasi aliandikiwa na shehe mmoja pale masjid ya k'koo, kacopy na kupaste[emoji4]
π πHuenda bandiko ali desa sehemu, alifananii kabisa na mwamba hata kidogo π π
Haiwezekani mtoto nikatike viuno mimi, mama yake ale vyangu, nihudumie mimba, kuzaliwa, nimlee, nimsomeshe kisha aje kuwa utopolo, over my dead body ππ€£Safi sanaaa hahaaaaa nimecheka
Mama kiduku aliomba nipunguze, nami sina ujanja kaka, kulala nyuma ya matako raha, nisije mkera nikaishia kulala kama nyokaπSerious,
Sema Kuna kitu nilinotice kisicho Cha kawaida,
kwamba uchangiaji wako kule MMU aina flan kama rythm yako imebadilika.
Zile comment ngumu ngumu hutoi Tena.
Sema nikabull shit, sikutilia Sana maanani[emoji4]
Yah.. Mchizi hana baya.Jamaa yake huwa Ni mikeka TU, hanaga baya na mtu[emoji4]
Hilo sikio la kufa, halisikii dawa.Huu Uzi huenda ukafanakiwa kumbadilisha mind set ndugu yetu Liverpool VPN [emoji4]
Ndio mimi kaka..Makaveli huyu huyu au mwingine?
Mashallah!. Kwa hakika mtu akibadilika, Allah atamkrimu na kumneemesha.
Hongera sana kaka na kila la kheri katika malezi ya mwanetu.
Aahh.. Nitafanyaje kaka ndio hatua zisizo kwepeka.Mimi nikupe pole mkuu kwasababu hamna kulala tena wala privacy tena, aliyekuja ndo faza house. Hongereni sana π¨βπ©βπ¦πͺπͺ
Nipo DODOMA mzee, wiki 2 zijazo nitarudi mjinimakaveli10 hongera SANA leo nakuja hapo kunywa supu kigamboni
Nacheka comment yake.Hata wewe, wanichekaaa [emoji19][emoji19][emoji19]