Ndoa yangu ya JF imenipatia mtoto

Nimeandika kama mara 3 nafuta, nikaona isiwe tabu nikakimbilia polisi kwenye lugha ya mama.

Hebu nijibie mjomba.

Thank you cocochanel akiongeza neno hapo, utachati nae wewe si unajua sisi darasa la 7 C, is the, is the zinatupiga vyenga πŸ˜‚
Nimjibie mimi kwani ulinilipia ada kwa Ras Simba?

Kama uko siriaz nirushie mzigo nipige bapa moja la konyagi ndio atajuta kunifahamu....

Konyagi inajua kiinglish Malkia anasubiri daadadeki....
 
Nimjibie mimi kwani ulinilipia ada kwa Ras Simba?

Kama uko siriaz nirushie mzigo nipige bapa moja la konyagi ndio atajuta kunifahamu....

Konyagi inajua kiinglish Malkia anasubiri daadadeki....
πŸ˜‚
We mbona umeniambia nimjibu kiinglishi na unajua mie darasa la 7D
 
Jf hii hii mkuu!??

Aisee hongera sana, nadhani waliokufata wengi ni wasomaji na sio wachangiaji, maana wachangiaji wengi wa jinsia pendwa humu wao ni siredi za mwanaume pesa, mikuyenge, ndoa sio kipaumbele, 50/50 nk
Ni msomaji tu.
 
β€ŠBro, kila ukiandika hiki kisa nikakisoma huwa nahuzunika sana. Sijui tatizo lilikuwa nini, ila Allah awape mbadala wa kheri zaidi kila mmoja wenu.
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚

Langu arifu, sijakopi wala nini, mie kiraka napiga maeneo yote. πŸ˜‚ Hip hop ngumu kumeza fresh, boli fresh, uostadhi fresh, mtu mwema fresh, bandidu fresh, bakulutu fresh pia.
Mistari iliojaa vina ile ndoano chambo yake inanasa hadi papa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Aisee hongeraa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…