Ndoa yangu ya JF imenipatia mtoto

Weka na namba ya kutuma pesa ya supu na mtori kwa shemeji yetu tunataka akimaliza mwezi mmoja awe amebawiri haswa muanze tena kunyanduana mpate mtoto wa pili haraka nchi ijae chap chap.
 
Ndani ya miaka 2, umetafuta mke , umempata na umemzalisha . It's true?
 
Hongera sana kiongozi, ngoja na sisi wengine tuendelee kusubiri wakati wa bwana anaweza tenda. Mi nilishaanza kukata tamaa, lakin post yako imenipa matumaini, kumbe inawezekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…