Ndoa za masikini zinapitia changamoto nyingi sana, kuanzia nafasi ndani ya nyumba.

Ndoa za masikini zinapitia changamoto nyingi sana, kuanzia nafasi ndani ya nyumba.

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Kuna bwana mmoja amejenga nyumba yake, kuna wing ameweka chumba chake self contained na cha mke wake, wanashare sitting room ndogo ambayo ina na fridge la vinywaji, TV na sofa. Anasema anaemhitaji mwenzake anamfuata chumbani kwake.

Nilitafakari na kuona hawa wanaishi kwa amani sana. Sasa mnaanza maisha kwenye chumba na sebule. Mume amerudi na mafile yake ameyaweka pembeni ya dressing table, mara mke ameyamwagia lotion bahati mbaya.

Nafasi ikiwa kubwa na mnaaminiana hata muda wa kuwaza kushika simu ya mwenza huna. Simu ni sumu kubwa ya ndoa za siku hizi. Unaiwinda ukiipata unaona massage’good night sweetie’ inakulaza macho wakati usingeiona maisha yako yangekuwa mazuri tu.
 
Life is ALWAYS not FAIR.

Kuna bwana mmoja amejenga nyumba yake, kuna wing ameweka chumba chake self contained na cha mke wake, wanashare sitting room ndogo ambayo ina na fridge la vinywaji, TV na sofa. Anasema anaemhitaji mwenzake anamfuata chumbani kwake.

Nilitafakari na kuona hawa wanaishi kwa amani sana. Sasa mnaanza maisha kwenye chumba na sebule. Mume amerudi na mafile yake ameyaweka pembeni ya dressing table, mara mke ameyamwagia lotion bahati mbaya.

Nafasi ikiwa kubwa na mnaaminiana hata muda wa kuwaza kushika simuwya mwenza huna. Simu ni sumu kubwa ya ndoa za siku hizi. Unaiwinda ukiipata unaona massage’good night sweetie’ inakulaza macho wakati usingeiona maisha yako yangekuwa mazuri tu.
 
Tanzania Nchi Ngumu Sana
Hii Kwetu Wengine Oops!! Haifai Itatichelewesha Maendeleo
 
Kuna bwana mmoja amejenga nyumba yake, kuna wing ameweka chumba chake self contained na cha mke wake, wanashare sitting room ndogo ambayo ina na fridge la vinywaji, TV na sofa. Anasema anaemhitaji mwenzake anamfuata chumbani kwake.

Nilitafakari na kuona hawa wanaishi kwa amani sana. Sasa mnaanza maisha kwenye chumba na sebule. Mume amerudi na mafile yake ameyaweka pembeni ya dressing table, mara mke ameyamwagia lotion bahati mbaya.

Nafasi ikiwa kubwa na mnaaminiana hata muda wa kuwaza kushika simu ya mwenza huna. Simu ni sumu kubwa ya ndoa za siku hizi. Unaiwinda ukiipata unaona massage’good night sweetie’ inakulaza macho wakati usingeiona maisha yako yangekuwa mazuri tu.
Japo nakubaliana nawe umasikini unakadhia nyingi..lakini kwenye udogo wa sehemu pa kuishi,inawwza isiwe kero kubwa..
Nchi za Scandinavia (ambazo ndio zinaongoza mara nyingi kuwa na furaha sana) wananchi wake wanaishi kwenye space ndogo sana lakini zilizopangilika barabara..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Japo nakubaliana nawe umasikini unakadhia nyingi..lakini kwenye udogo wa sehemu pa kuishi,inawwza isiwe kero kubwa..
Nchi za Scandinavia (ambazo ndio zinaongoza mara nyingi kuwa na furaha sana) wananchi wake wanaishi kwenye space ndogo sana lakini zilizopangilika barabara..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Kabla ya technology hata huku watu waliishi kwenye nyumba za vyumba sita kwa amani kabisa. Mchepuko alitumia ujumbe kwa mhusika kupitia mtoto wa jirani.
 
Mtu amescan whatsapp ya mke wake bila mkewe kujua, mke anajiachia na maschool mate message mchanganyiko zikiwemo za wanaomfukuzia na kuna dalili za mafanikio kumbe jamaa linamtokota sana rohoni. Mwisho wa siku ndoa imevunjika.

Technolojia imekuja na changamoto zake kwenye ndoa.
 
Back
Top Bottom