Ndoa za masikini zinapitia changamoto nyingi sana, kuanzia nafasi ndani ya nyumba.

Ndoa za masikini zinapitia changamoto nyingi sana, kuanzia nafasi ndani ya nyumba.

Aisee ningemvizia kila siku nikambake huyo mwanaume weee nilale peke yangu iyo kwio
 
Kulala vyumba tofauti kunaifanya ndoa ikose afya, achilia mbali vyumba tofauti...kitanda cha 6x6 tu kinaifanya ndoa ikipiga ufa usizibike kirahisi...wanandoa wanaelewa.

Hoja ya vyumba tofauti ni dhaifu sana kwa wanandoa.

Ila umasikini ni kitu kibaya sana.
 
Simu ni sumu kubwa ya ndoa za siku hizi. Unaiwinda ukiipata unaona massage’good night sweetie’ inakulaza macho wakati usingeiona maisha yako yangekuwa mazuri tu.


Well said...
 
Huku uswahilini ukiangalia kwa umakini huoi

Baharia unaenda zako kazini mda huo Hussein jirani yako anakiflat screen wewe mwenzangu una chogo la nchi 18 mkeo anaona kile kitv chako watu hawaonekani vzr
Anaamua kwenda kwa husein kumalizia season yake huku akiendelea kusifia mazingira ya jiran na ukubwa wa tv yake

Baada ya hapo Hussein anaingiza verses na shetani anawapitia wanakulana

Umaskini mbaya nyie
Kwa badae unarudi umechoka hata pole na kazi hakuna yaani tabu tupu
 
Maisha ya hivyo matamu sana hakuna muingiliano kila mtu yupo huru tatizo masikini ndoa sijui tunaichukuliaje unakuta mtu ana malizaneni muda mwingi kuitumikia ndoa kuliko mambo mengine
 
Daah ndoa na kulala vyumba tofauti hapana kwa kweli.Tulale wote kwenye hicho kitanda mpk kichakae kwa kweli.
 
Umaskini kuwa mbaya na wanandoa kuishi vyumba tofauti havihusiani kabisa.

Mungu anapowaunganisha muwe mwili mmoja maana yake kila kitu mfanye kwa umoja, kula pamoja kupanga maendeleo pamoja kulala pamoja n.k

Yani kila mtu alale chumba chake kisa mafile yanaweza kuchafuliwa na vipodozi vya dressing table?

Yani kila mtu alale chumba chake kisa muepuke kushikiana simu?

Yaan kwenda chumba cha mwenzako mpaka uwe na ham nae?

Ni ngumu kuamini mama mtu mzima kama wewe umeandika utumbo kama huo.
 
Simu ni sumu kubwa ya ndoa za siku hizi. Unaiwinda ukiipata unaona massage’good night sweetie’ inakulaza macho wakati usingeiona maisha yako yangekuwa mazuri tu.[/QUOTE]


Ha ha ha ha nimejiona kwenye hichi kipengele
 
Yaan utajiri ni kulala vyumba tofauti na mke? Hapana aisee Kama ni umasikin acha uniue kuliko kufa na baridi wakati joto lipo.
 
Kuna bwana mmoja amejenga nyumba yake, kuna wing ameweka chumba chake self contained na cha mke wake, wanashare sitting room ndogo ambayo ina na fridge la vinywaji, TV na sofa. Anasema anaemhitaji mwenzake anamfuata chumbani kwake.

Nilitafakari na kuona hawa wanaishi kwa amani sana. Sasa mnaanza maisha kwenye chumba na sebule. Mume amerudi na mafile yake ameyaweka pembeni ya dressing table, mara mke ameyamwagia lotion bahati mbaya.

Nafasi ikiwa kubwa na mnaaminiana hata muda wa kuwaza kushika simu ya mwenza huna. Simu ni sumu kubwa ya ndoa za siku hizi. Unaiwinda ukiipata unaona massage’good night sweetie’ inakulaza macho wakati usingeiona maisha yako yangekuwa mazuri tu.
Mmezidi kutuandama sisi masikini, kama vipi tuueni basi kabisa tujue moja
 
Hata kanisani nafasi ya masikini huchagua mwenyewe, hukaa nyuma huko tena kona ya bench. Hii humsaidia wakati wa sadaka akaweka hata karatasi ili asijulikane nani kaweka hilo karatasi.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna bwana mmoja amejenga nyumba yake, kuna wing ameweka chumba chake self contained na cha mke wake, wanashare sitting room ndogo ambayo ina na fridge la vinywaji, TV na sofa. Anasema anaemhitaji mwenzake anamfuata chumbani kwake.

Nilitafakari na kuona hawa wanaishi kwa amani sana. Sasa mnaanza maisha kwenye chumba na sebule. Mume amerudi na mafile yake ameyaweka pembeni ya dressing table, mara mke ameyamwagia lotion bahati mbaya.

Nafasi ikiwa kubwa na mnaaminiana hata muda wa kuwaza kushika simu ya mwenza huna. Simu ni sumu kubwa ya ndoa za siku hizi. Unaiwinda ukiipata unaona massage’good night sweetie’ inakulaza macho wakati usingeiona maisha yako yangekuwa mazuri tu.
Eti anaye mtaka mwenzie ndiye anamfuata,hii iko vizuri sana na imetulia
 
Back
Top Bottom