Ndoa za siku hizi ni majanga

Jamani mbona tunabaguana humu ndani si uandike kiswahili 🙁
 
What is marriage
"I am gonna stay with u no matter what anomalies behavior you will manifest"

"Most of us tunaoa expecting to change the other person,, we want the good side,, but the bad side naaaaah we are like "no thanks! we are good"

What is marriage to most of us
"Sex+kids+show off"
This kind won't last a round[emoji41][emoji41]
 
Ubaguzi 😠
 
Mdogo wangu kafunga ndoa vizur kisha wakat wanarud kwao ..wakaachana ndan ya bas..dogo alifuma sms za hatar wakat mke amesinzia safarini..akapekua sim yake..had leo hajaoa tena
 
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wanaachana, hata hawajazaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona umetoa jibu kabisa.show off wakati utayari wa kuitumikia ndoa hakuna
 
Ma Ex- ndio maadui wa ndoa nyingi- jamaa atakuwa kagundua wahuni bado wanamkula wife- zamani ya kale- jamii ilikataa mapenzi kabla ya ndoa- lengo ni kukwepa hawa ma-ex- na ni kweli wanandoa wengi- wanakulana na ma-ex wao.
 
Ndoa ina muda gani?
 
Kwahiyo....sisi wadada/wanawake ndio wakulaumiwa?
Kwa mtu aliyekomaa anashindwaje kutambua hapa napendwa na kuamua kutulia?
Mpaka uje kukomaa akili unakuta sehemu za Siri zilishakomaa kitambo tuu
 
The more expensive the wedding ceremony is, the shorter a marriage is bound to last.....
Ndio maana wajanja tunavuta geto. Unajaza mimba akijifungua unaenda kwa mkuu wa wilaya mnafunga ndoa kibabe tu kwa sh 40000
 
Ma Ex- ndio maadui wa ndoa nyingi- jamaa atakuwa kagundua wahuni bado wanamkula wife- zamani ya kale- jamii ilikataa mapenzi kabla ya ndoa- lengo ni kukwepa hawa ma-ex- na ni kweli wanandoa wengi- wanakulana na ma-ex wao.
Ma ex ndio shida. Wanawake wa kiafrika wanashindwa kabisa kumuacha X. Akidanganywa anaenda kupigwa mbupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…