Mhhhhh Intelligent businessman ntaolewa mwaka mwingine haya mambo hapana.Habari wadau.
Video inatrend ya kaka mwenye gari aina ya IST namba T 290 CBR
Ambaye alisimamisha gari yake na kuanza kumkaba mkewe nusu kumuua huku akiongea maneno makali kwamba mkewe sio muaminifu
Tazameni video ya tukio
Ubinadamu tu..hasira ni kitu cha kawaida kabisaa..hata unaweza ukawa na yako sema tu umekwepa camera 😂😂Yaani uue sababu ya mahusiano, huo ni ugonjwa wa akili. Kama unaona mmeshidwana muache aende zake. Haisaidii kupigana na kudhalilisha utu wako barabarani.
Hapo mwanaume ukimsachi kwenye simu hukosi chats za wanawake kama wanne hivi
Uko mirembe chumba namba ngapi?kiisha kumnunua mwanamke.... Kwa currency-iitwayo MAHARI... Una haki ya kumfanya vile u
Hasira za kijinga hizoUbinadamu tu..hasira ni kitu cha kawaida kabisaa..hata unaweza ukawa na yako sema tu umekwepa camera 😂😂
Si ndio hapo.Sijui kwanini tunaamini ukioa/kuolewa unamiliki mwnadamu.
Hakutaki mwacheeee, endelea na mengine!
Nani kasema ndoa ya bomani sio ndoa. Ziko sawa na hizo nyingine tuWanaosema mwanaume ni mnyanyasaji labda wao hajaolewa au kuoa au kufunga ndoa au hawajui matunzo ya mke au watoto na uchungu mwanaume anaopitia kuhakikisha familia inakula, kuvaa, na kulala. Kwa mtu aliefunga ndoa kihalali (kanisani/msikitini, sio za bomani) na anawajibika ipasavyo kwa familia na alimuamini mke wake hawezi kuona km anachofanya huyu bwana ni ukatili.
Kwa hiyo huyo mwanamke kutopokea sm Mara 16 kutoka kwa mke wake wa ndoa ndo siyo ukatili. Au huo ukatili ni kwa mwanamke pekee. Tusiendekeze kulea upuuzi kwa kigezo Cha ukatili. Huyo alitakiwa anyooshwe maana itakuwa hakukunjwa na wazazi.
Serious kweli missed call 16 with no response, MKE wa mtu tena usiku then unamtetea eti ananyanyaswa bora waachane. Hapo inatakiwa wanaachana lakini akiwa amebaki na utabulisho wa milele kwa ujinga aloufanya.
Kabisa mkuu. Haya yanaweza kumtokea mtu yoyote na siyo vizuri kurekodi. Ustaarabu sifuri kabisaMambo kama hayo sio ya kurecord watu hawana ustaarabu....
kama ume nigusa vile ..
Nani kasema ndoa ya bomani sio ndoa. Ziko sawa na hizo nyingine tu
Waulize hao manabii na mitume walifunga wapi ndoa. Ufunge ya kimila, kanisani au msikitini ,kama mmeoana msioendana changamoto ziko palepale.Dini zime brain wash watu. Wanaamini ndoa ni kanisani ama msikitini tu ?
Ndoa za kimila ndio ndoa halali kwa muafrica. Hizi dini zimekuja juzi tu. Mababu zetu wapo miaka na miaka
dada yangu akitendewa uo uhayawani lazima nishikiliwe na watu wa maximum security nafungwa pingu miguuni, mikononi na mdomoni nawekewa lile kufuli la kuzuia nisiwang'ate yan yaan familia ya marehemu shemeji yangu haitonisahau kamweUnataka uchukue nafasi ya dada yako? 😀. Asee heshimu ndoa ya mwanaume mwenzio
Wewe kwako ni dada..ila huyo huyo mwamba ndio anamla k ambayo wewe hawez kukupa kwahiyo tulia wanandoa wayamalize..ikikuuma sana na wewe kaolewe nae il msaidianedada yangu akitendewa uo uhayawani lazima nishikiliwe na watu wa maximum security nafungwa pingu miguuni, mikononi na mdomoni nawekewa lile kufuli la kuzuia nisiwang'ate yan yaan familia ya marehemu shemeji yangu haitonisahau kamwe
Niko milembe na mamaako! Chumba na 7-mizagamuano mkuu!Uko mirembe chumba namba ngapi?
Najua dronedrake wameshakutag somewhere humu, ila ngoja nikutag tu tenaHabari wadau.
Video inatrend ya kaka mwenye gari aina ya IST namba T 290 CBR
Ambaye alisimamisha gari yake na kuanza kumkaba mkewe nusu kumuua huku akiongea maneno makali kwamba mkewe sio muaminifu
Tazameni video ya tukio
Wacha mbwembwe dogo.dada yangu akitendewa uo uhayawani lazima nishikiliwe na watu wa maximum security nafungwa pingu miguuni, mikononi na mdomoni nawekewa lile kufuli la kuzuia nisiwang'ate yan yaan familia ya marehemu shemeji yangu haitonisahau kamwe
Habari wadau.
Video inatrend ya kaka mwenye gari aina ya IST namba T 290 CBR
Ambaye alisimamisha gari yake na kuanza kumkaba mkewe nusu kumuua huku akiongea maneno makali kwamba mkewe sio muaminifu
Tazameni video ya tukio
Tatizo mnaji1mnisha kwamba watu hawavitembezi nje.Cheers kutombewa-wewe,maumivu ya kutombewa yasikie