Ndoa zimekuwaje? Kuna Video inatrend leo Mume akimkaba mkewe na kutaka kumuua live barabarani

Ok.
 
Wanaume kama hawa ni huwa ni fisi kukabiliana na mwanaume mwenzake
Yaani jitu zima linamkalia mke wake, aibu nimeona mimi
 
dada yangu akitendewa uo uhayawani lazima nishikiliwe na watu wa maximum security nafungwa pingu miguuni, mikononi na mdomoni nawekewa lile kufuli la kuzuia nisiwang'ate yan yaan familia ya marehemu shemeji yangu haitonisahau kamwe
Ndoa Ina utaratibu wake siyo Dada yako amfanyie upumbavu mmewe Alfu ww uingilie kwa kutetea upumbavu wa Dada yako. Huo unakua siyo Ustarabu na Wala siyo kusolve tatzo Bali ni kuchochea ugomvi na kusababisha matatzo zaid.
 
Dah! Missed call 2, inafuata sms… incase mtu yuko sehemu ambayo hawezi pokea simu asome ujumbe kama anaweza kurespond.

Yaani nipige simu zote hizo kuthibitisha mtu kama anakula mtu mahali au nimzuie asile mtu? Kwani mtu si anaweza pokea simu na akaendelea kukatika??

🙄
 
Missed calls zikishazidi 2 ni kujitafutia presha, napiga mara 2 then natulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…