Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumbani ndo angeua kabisa, bora hapo barabaraniHii video imenifikirisha sana. Aibu yote hii ya nini barabarani usiku ni upendo wa jamaa tuu kwa huyo mkewe ama ni nini kwanini asingesubiri mpaka wafike nyumbani.
Ndicho walichofanya. Polisi walikuja wakawachukuaHutakiwi kutumia nguvu, je! Akimuuwa! Hapo unaenda nae kwa akili tu kisha unaita polisi wawachukue wote.
Muda mwingine ugomvi sio wa kuurukia tu linaweza kukuta jambo na huyo aliyewekwa chini akabaki anasema akome alifuata nn
Unajua ukiwaza jamaa anavyombinua huko yaan hata ungekuwa weww lazima umkwide hivyoHuyo Jamaa ameshindwa kuzuia hasira zake. Lakin kama angemsubiri huyo Mwanamke afike nyumban Nafikiri saivi tungekua tunazungumzia habari nyingne kama siyo kifo basi ulemavu.
Dadaako anatiwa discpline na wewe unatiwa nako vile viledada yangu akitendewa uo uhayawani lazima nishikiliwe na watu wa maximum security nafungwa pingu miguuni, mikononi na mdomoni nawekewa lile kufuli la kuzuia nisiwang'ate yan yaan familia ya marehemu shemeji yangu haitonisahau kamwe
🙄🤔Wewe ni me au ke? Maana umetoa hoja zinazosadifu kote kote.
Mapenzi kitu kingine ndugu yangu. Kuongea kwa mdomo kwa watu ni rahisi sana.Hawa wanawake wasio waaminifu tumeshakutana nao sana
Mtu ukishaona ana ujanja janja wa kipuuzi ni kuachana nae tu
Ok.Sasa kuachana hivi hivi ikiwa Mwanaume amekugaramia vitu vingi vya thamani hawezi kukubali umcheke ujinga,
Somo hapa ni wanawake waache tamaa na kujiona wajanja kupenda kuhongwa na kutaka mali za wanaume Halafu hamtaki kuwa watumwa wa hao wanaume.
Hutaki kutawaliwa na Mwanaume usile Hela żake wala mało zake ,
Tafuta kazi jipatie kipato chako uwe huru.
Mwanamke uingie kwenye uhusiano wa penzi sio sababu ya njaa bali usukumwe na penzi kisiło na masharti kama kutaka fedha.
Ndoa Ina utaratibu wake siyo Dada yako amfanyie upumbavu mmewe Alfu ww uingilie kwa kutetea upumbavu wa Dada yako. Huo unakua siyo Ustarabu na Wala siyo kusolve tatzo Bali ni kuchochea ugomvi na kusababisha matatzo zaid.dada yangu akitendewa uo uhayawani lazima nishikiliwe na watu wa maximum security nafungwa pingu miguuni, mikononi na mdomoni nawekewa lile kufuli la kuzuia nisiwang'ate yan yaan familia ya marehemu shemeji yangu haitonisahau kamwe
😁 sijui ntamfanya nini ila atatokwa na jasho la maumivuna ipasua 😂😂😂,
🤣🤣🤣🤣 Tulia Doctor, mi mwenyewe nahuzunika halafu nacheka kwa hiki kilichotokea.binti kiziwi amua basi kama umeamua kutuchekesha au kuwa serious. 😁😁
Unanipa shida kuchagua reaction!
Miscal 30 tunaimba tumpeleke tumpelekeMissed calls 16, hizi ndoa.
Dah! Missed call 2, inafuata sms… incase mtu yuko sehemu ambayo hawezi pokea simu asome ujumbe kama anaweza kurespond.Kibongo bongo mtu anaweza kupiga hata zikafika miss call milioni moja🤣. Trust me, sisi wabongo, ni wachache ambao akipiga simu moja usipopokea ataacha. Back kwa hao wanandoa: inaonyesha ndoa yao ina kutoaminiana, yaani mume anahisi mkewe anachepuka. Na ndoa ikishafika kwenye stage hii vi-ugomvi vidogo vidogo haviishi.
umeona kiongoz alivyomuwekea goti la shingo yule manzi?Ndoa Ina utaratibu wake siyo Dada yako amfanyie upumbavu mmewe Alfu ww uingilie kwa kutetea upumbavu wa Dada yako. Huo unakua siyo Ustarabu na Wala siyo kusolve tatzo Bali ni kuchochea ugomvi na kusababisha matatzo zaid.
😂 iliwahi nitokea mkuu alilia siku 4 mfululizo bila kupigwa wala kuguswa.Hicho kipigo chake aisee awashe inasoma asilimia 68% dah
Missed calls zikishazidi 2 ni kujitafutia presha, napiga mara 2 then natulia.Dah! Missed call 2, inafuata sms… incase mtu yuko sehemu ambayo hawezi pokea simu asome ujumbe kama anaweza kurespond.
Yaani nipige simu zote hizo kuthibitisha mtu kama anakula mtu mahali au nimzuie asile mtu? Kwani mtu si anaweza pokea simu na akaendelea kukatika??
🙄
Si ndio? Sababu hata zikiwa 100 hazibadilishi kitu.Missed calls zikishazidi 2 ni kujitafutia presha, napiga mara 2 then natulia.