Ndoa zinakufa kila kukicha siku hizi

Ndoa zinakufa kila kukicha siku hizi

Jifunze, kwa, waliofanikiwa, kwenye ndoa,Lowasa, Samuel Sita, Kusaga, David Beckham, wewe usiangalie ndoa zilizovunjika za, watu wadogo(ki akili, na fedha), MTU elimu ya, degree tu imemtoa kamasi,MTU ambae wivu unamsababishia msongo wa mawazo.zipo ndoa mbovu zipo na zenye neema kubwa! Fatilia ndoa ya, Bill gates, ilivyovunjika, hakuna ma drama meeengi ya kipuuzi! Akili kubwa. Unaolewa, lakini bado una hamu na pipe ya kipenzi, cha zamani, unataka Kodi ya fremu,ka ist, na bring bring kibao, kutoka kwa boss, lqzima utamegwa tu! Mpaka unakuja kuoa, kuolewa, umeishakalia pipe 10+, umeishaingia kwenye visima 10+! Unajua Radha tofauti, makeover, mumeo hataweza kukutosha! Only a miracle will save you!
Sie tulioingia ndoani,tukiwa hatujaonja! ndio hicho hicho! Ndoa ni kwa watakatifu tu!

Mbona hujaeleweka,watakatifu wako mbinguni,ndoa ni unyonyaji.
 
Miaka nane imetosha kabisa.... Acha tu kila mtu apambane kivyake
Huyo anasema miaka kumi, kuna watu nawafahamu kama wa 3 ndoa zao zimevunjika uzeeni. Mmoja ndoa ina miaka 35, wengine wazee kabisa.
Hii taasisi ya ndoa sijui ilekuwaje. Mimi nilibwaga manyanga baada ya miaka 5, nikaone nisije kufa kwa ajili ya mtoto wa mama mkwe. Majirani zangu wa nne, wa 2 wanaishi nyumba tofauti, mmoja mume kakimbia sijui yuko wapi, mwingine wanalala vyumba tofauti. Majanga kweli. Huko kwa wazungu ndio usiseme, wao divorce wala si tatizo, tena wanaachana kwa wema tu hata kama watoto ni wadogo, wananabaki kulea pamoja . Hii inaepusha kuchomana na magunia ya mkaa.
 
Kuzaa hata mahawara wanaozaa. Ndoa ilianzishwa kwa lengo la kuepusha uzinifu yaani ngono ifanyike kwa walengwa tu.

Lkn kwa dunia ya Leo ngono ni kwa kila mmoja na kwa yeyote. Kwa mantiki hiyo basi ndoa zimepoteza mwelekeo.
Ni kweli, ndio maana kuvunja ndoa sababu ya kutozaa haiwezekani.
 
Back
Top Bottom