Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Roho ya usagaji hiyo, ikatae kabisa, simamia maandiko.Mara nyingi naota nafanya mapenzi na msichana mwenzangu wakati mwingine nimetoka kufanya na mume wangu nikipitiwa na usingizi naota nafanya na msichana mwenzangu Mara nyingi niwaota marafiki zangu msaada hapi
Mmmh, roho ya mauti ikatae kabisa....MIMI NIMEOTA NAKIMBIZWA NA VIUMBE VYA AJABU,MBELE YANGU NIKAONA NYUMBA NA MLANGONI AMESIMAMA KAKA YANGU AMBAYE NI MAREHEMU AKAWA ANANIITA NIKAINGIA NDANI AKAFUNGA MLANGO VILE VIUMBE VIKANIKOSA.MAANA YAKE NN?
uimamu NI daraja miongoni mwa madaraja makubwa hivyo endelea kutenda mema kwani kuna kundi LA wengi watahitaji msaada wako....kisha utapata heshima kubwa zaidi ya huyo uliyo NAyo....si AJABU ukapata cheo kikubwa tofauti na hicho ulicho nacho...Habari wakuu
Mimi kuna ndoto mbili huziota lakini moja imekuwa mara kwa mara sana inajirudia. Nayo ni kuwa naota nasoma Qur'ani hasa Suratul Yassin. Na ya pili ni kuwa nakuta maeneo ya msikitini waumini tayari wapo kwenye swafu, nikiingia wananiambia nipite kuswalisha hata kama imamu yupo. Na watu hawa ni kama wasomali na wamevaa baadhi kanzu nyeupe na wengine kanzu za rangi ya kahawia. Na mimi nimevaa kanzu nyeupe sana. Je hii maana yake nini
Nawasilisha
hahaHa ha ha du! Kwani kasema ana malaria??
labda buchani mkuuSehemu gani au katika kanisa gani inapatikana damu ya yesu tunavyojua yesu keshaondoka duniani miaka elfu na kitu na hakuna mtu aliye ihifadhi au kuweka damu ya Yesu kweli waongo wengi duniani.
www.bibledream.comUsiku wa kuamkia leo nimeota ndoto ambayo siyo nzuri sana na imenitisha sana.
Nimeota nimekufa niko ndani ya jeneza kwenda kuzikwa na watu wanalia sana. Ghafla nikashtuka toka usingizini. Nikajaribu kuinua kichwa kikawa kizito baada ya muda kichwa kikaniuma sana.
Naomba unipe tafsiri ya hii ndoto maana imeninyima raha kabisa.
Nawasilisha.
OK mkuu nimeruhusu maoni ya wengine pia
nimependa analysis yako mkuu,well umejaribu sanaOK mkuu nimeruhusu maoni ya wengine pia
unajichanganya sana, mara huamini katika Mungu, mara tumia maji ya baraka.Ninavyoambiwa kwa kabila langu, ndoto ya kifo ni kuwa umeshiba sana, nyoka ni maisha marefu, harusi ni msiba hivyo usiwe na wasi wasi ila hayo mambo ya ibada sijui.
Watu wanapenda kumtumia Mungu kutisha wenzao wakati hakuna aliyeishasikia wala kumwona Mungu. Natamani hawa watu wamwone simba au chui tuone kama watabaki kuomba kwa jina la------ ili akimbie au asiwale.
Mbona wanakemea vitu wasivyoviona tu. Huyo Pepo ana sura gani???? Mbwa mwenye kichaa atokeze hakuna mchungaji atakayepiga goti kuomba wote ndukiiii. Check umekula nini au ulikuwa katika maono gani kabla ya kwenda kulala. Try to say your prayers lakini siyo zile za kujitangaza. Mungu yupo rohoni mwako sirini. Maji ya baraka kama wewe Mkatoliki ni kinga sana kama unaamini siyo lazima.
Naamini Mungu ila siyo yule wa kujitangaza. Nasali Rosari yangu kila jioni, nina maji ya baraka kwangu na ninasari rohoni mwangu siendi kwenye makongamano hivyo Mungu wangu yupo rohoni mwangu siyo matangazo ya kwenye TV wala kujitangaza kuwa mimi nimeokoka. Ni wale waliokufa waliookoka sababu hata iwe jioni hawatateda dhambi. You do not need to say Praise the Lord to know God.unajichanganya sana, mara huamini katika Mungu, mara tumia maji ya baraka.
Tukuelewe vipi
Naheshimu fikra zako mkuu. BarikiwaNaamini Mungu ila siyo yule wa kujitangaza. Nasali Rosari yangu kila jioni, nina maji ya baraka kwangu na ninasari rohoni mwangu siendi kwenye makongamano hivyo Mungu wangu yupo rohoni mwangu siyo matangazo ya kwenye TV wala kujitangaza kuwa mimi nimeokoka. Ni wale waliokufa waliookoka sababu hata iwe jioni hawatateda dhambi. You do not need to say Praise the Lord to know God.