Ndoto tunazoota na tafsiri zake

Ndoto zingine bhaana, iyo itakua movi umeangalia sasa unakua unaiota. movi zingine zakutisha mjiepushe kuwa mnaziangalia.
 
Nimeota mtu kaingilia dirishani akanikuta nimelala kifudifudi akanikalia mgongoni na kuniita kwa jina langu akafanya kama anainivunja mabega anayabinua kurudi nyuma, tena kaniita kwa kuanza na WE! nikashtuka na kutetemeka sana, ni nini hiki?!
 

Omba sn kwa ajili ya ulinzi!
Unafikiri wachawi wanachukuaje watu!hiyo ni styl mojawapo!

Kila ndoto yenye maana huwa inaachilia kitu!.
Ss cha mhimu omba Mungu aondoe kila kilichoachiliwa kupitia hiyo ndoto!
 
Msaada mimi naota naokota Pesa nyingi na ndoto hii inajiludia sana karibu mara mbili hadi tatu kwa wiki na nizaidi ya miaka tano sasa msaada tafadhari.

Hali yako ya kifedha/uchumi ikoje?
Coz mara nyingi ukiota hivyo manaake unapoteza
 
NDOTO

Ndoto ni mlango wa kiroho ndani ya mtu, au unaotumiwa na Mungu kusema na watu!
Ayubu 33:14-18
Daniel 2:45
N.k
~si kila ndoto inatoka kwa Mungu.
~Ndoto inaweza kutumika kupitisha adhabu kutoka kwa Mungu au miungu!
~Ndoto zote za uhakika zina tafsiri yake.

VYANZO VYA NDOTO
1 zinazotoka kwa Mungu
Matendo ya mitume,2:17.

Kwa ajili ya kusema na watu juu ya jambo fulani lijalo,lillilopita au linaloendelea ktk ulimwengu wa roho...
Mf,ulikuwa unaomba juu ya jambo fulani na Mungu anaweza akakujibu kupitia ndoto.

2 Ndoto zinazotoka kwa adui,shetani
kumbukumbu 13:1-4

3 zinazotokana na shughuli nyingi,mawazo,uchovu.nk
Mhubiri 5:3

4 zinazotokana na hali ya kiroho ya mahali ulipolala.
Mwanzo 28:10-17.

#changamoto ni kuwa wengi wetu hatujui kutofautisha ndoto hii ni ujumbe kutoka kwa Mungu au laa!#
Cha mhimu ombea mlango wako wa ndoto usitumiwe na adui,kupitisha vitu vyake hiyo ndo njia rahisi#
 

Mkuu we na mkeo/familia huwa mnaomba?

Muombe Mungu,mwambie akusemeshe kwa lugha ambayo utaielewa na itajirudia kwa njia rahisi
 
Ingine hii hapa
Naota napanda mlima mrefu kwa shida sana kama nataka kuanguka yaani nipo hatarini kweli kweli nikiangalia chini mbalii mala ghafra naamka huku moyo ukienda mbio sana ...nisaidieni tafsiri yake wandugu..

Kupanda mlima ni jaribu,au kuna jambo gumu unapitia,au linakuja utalipitia! Na ni hatari kweli,so
Omba Mungu akuvushe kwny hilo jambo/jaribu salama.

Na Mungu akikuvusha utaona kabisa utaota umepanda huo mlima mpk juu!
 
 
Kupanda mlima ni jaribu,au kuna jambo gumu unapitia,au linakuja utalipitia! Na ni hatari kweli,so
Omba Mungu akuvushe kwny hilo jambo/jaribu salama.

Na Mungu akikuvusha utaona kabisa utaota umepanda huo mlima mpk juu!
Mimi siku kama 8 zimepita nimeota nakimbia tuko wawili na mwingine ni kama wa kike hv ila sikumuelewa,na nyuma yetu kulikua na watu si wengi sana wala wachache sana kama wanatukimbiza na tukawa tunaogopa tunazidi kukimbia,lakini mpaka wakatupata na nikaona tena kama hawana time na sisi tukawa tunakimbia wote,na sikujua tuliishia wapi tena.sijui ni nini kile
 
sasa mimi nshapata taarifa tofaut sana lakin hii ndoto huwa inajirudia yaana huwa naota natembea kuelekea maali lakin humo njia kama si lift huwa napanda gar kuelekea nindako kabla ya kufika huwa nakumbana na vutisho mara gari kuaribika baadae ndo nafika lakin kwa taabu sasa hii inamaanisha nn ?
 
nambie hyo ndoto inamaanisha nn
 
Nimeota mtu kaingilia dirishani akanikuta nimelala kifudifudi akanikalia mgongoni na kuniita kwa jina langu akafanya kama anainivunja mabega anayabinua kurudi nyuma, tena kaniita kwa kuanza na WE! nikashtuka na kutetemeka sana, ni nini hiki?!
Watu Wa Giza wanataka kukuchukua mateka. Na hiyo ni taarifa kwamba yatatukia ikiwa hautazikemea ipasavyo hila hizo za maadui.
 

Huyo wa kike hukumuelewa?

Japo hujafafanua vzr kwa huyo mwanamke,
Lkn omba kwa ajili ya ulinzi wako!
Kukukuta wakakuacha inawezekana Mungu kakutetea!

Na km ina maana zaidi lzm itajirudia!

Ayubu 33:14-18
 
Nina mtindo as kuota watu nilioanza nao Maisha na wengine walionitangulia wananifanyia madudu! wengine tunakwaruzana kibiashara mpaka nikaamua kujitenga! Lakini kuwaota hakuishi! msaada nn kifanyike!
 
mimi naota nashindana na mtu/watu au kitu
ila kikiwa na mashambulizi sana
namimi napata nguvu gafla nakiteketeza ,au wakati mwingine najitolea kuangamizwa badala ya wengine mfano labda jini liniangamize mimi badala ya wengine lakini nakua nalikemea sana mpk nashtuka nalishinda..
wakati mwingine naweza kukikimbia kitu kwa kupaa angani...

ndoto zinanirudia mara nyingi
nashindana na vitu ila navishinda mfano: wakati mwingine hata nyoka nashindana nae lakni namshinda..

maana yake nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…