Nina mtindo as kuota watu nilioanza nao Maisha na wengine walionitangulia wananifanyia madudu! wengine tunakwaruzana kibiashara mpaka nikaamua kujitenga! Lakini kuwaota hakuishi! msaada nn kifanyike!
mimi naota nashindana na mtu/watu au kitu
ila kikiwa na mashambulizi sana
namimi napata nguvu gafla nakiteketeza ,au wakati mwingine najitolea kuangamizwa badala ya wengine mfano labda jini liniangamize mimi badala ya wengine lakini nakua nalikemea sana mpk nashtuka nalishinda..
wakati mwingine naweza kukikimbia kitu kwa kupaa angani...
ndoto zinanirudia mara nyingi
nashindana na vitu ila navishinda mfano: wakati mwingine hata nyoka nashindana nae lakni namshinda..
maana yake nini
Uko sawaNa wanaotufanyia mambo ya ajabu always hawatoki mbali mkuu!
Umejitenga nao kimwili sio kiroho ndo maana bado unawaota manaake bado kuna link kiroho!
Ss omba toba kwanza coz ndo itifaki ya kwenda mbele za Mungu, then vunja na jitenge na maagano yyt ambayo umewahi kuingia nao,kwa kujua au kutojua yamkini walikuingiza bila ww kujua!
Teketeza kabisa madudu yao na kinachowaunganisha,then achilia ulinzi wa bness/mali zako kwa Damu ya Yesu!
#sorry km sio christian,hapa mwisho nisije kuwa nimekukwaza#
Hutawaona tena
wa mwishoMshukuru Mungu unashinda!
Lkn lzm uendelee kusima neno na maombi ili kuwa na nguvu za Mungu zaidi!
Kujitolea kuangamia kwa ajili ya watu wengine !
Umebeba kitu kwa ajili ya watu , muulize Mungu kusudi/umebeba nn?
Qn, we mzaliwa wa ngapi kwnye familia mkuu?
wa mwisho
tuko watatu mimi na kaka zangu
ila mama aliwahi kuzaa watoto wa wawili kabla ya sisi watatu
mmoja alikaa miezi 11 akafa
mwingine akamzaa miaka mingine akakaa miezi 9 akafa
sasa sijui mimi ni wa 5 au wa3?? ila ni wa mwisho
ni kweli?Ok
Ni wa mwisho tu!
Lkn ww ni lango kiimani!
Umebeba kusudi la kuwasaidia wengine
halafu leo usiku pia nmeotaOk
Ni wa mwisho tu!
Lkn ww ni lango kiimani!
Umebeba kusudi la kuwasaidia wengine