saneneto
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 255
- 486
aminaOmba utakaso kwanza kabla ya kuombea ardhi hiyo. Jitakase kwa maombi kisha anza kuombea ardhi hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aminaOmba utakaso kwanza kabla ya kuombea ardhi hiyo. Jitakase kwa maombi kisha anza kuombea ardhi hiyo.
Huo muda lazima uwe usiku siyo mchana.amina
ahsante mpendwa ubarikiweHuo muda lazima uwe usiku siyo mchana.
Mungu humpenda mtu mkweli.
Tayari ulikuwa ulishasajiliwa ktk ulimwengu wa Giza (kula nyama, vyakula na hizo ngono).
Ukishasajiliwa kutoka ni process nzito ambayo lazima uvunje kwa kufunga na kuomba at least siku tatu halafu kila siku kati ya saa saba hadi tisa uwe na maombi ya kuvunja agano within three days utapata majibu. Kataa kufanya mapenzi usingizini kwa damu ya yesu kristo aliye hai. Tumia zaburi 146:6-9 kukataa kuinamishwa na majini. Sema hapana.
Pole sio ishara nzuri! Hebu mfukuze maishani mwako kwa damu ya Yesu.Wanajamvi Mimi kuna binti nimeachana nae lakini bado naota nataka kukutana nae kimwili au tukianza tu tendo la ndoa nashtuka, maana yake nini wadau, naombeni msaada.
Pole sio ishara nzuri! Hebu mfukuze maishani mwako kwa damu ya Yesu.
Nilikuwa Nina shida km hiyo ila niling'oa kwa jina La Yesu mapando yote na maneno yote aliyoyapanda kwa kuyanena!
Na sasa Nina nafuu simuoti wala haji akilini mwangu tena.
Pole. Mtumainie Mungu tu.
Pole sana, sijui vizuri ila kumuota MTU ktk hali hiyo na km no zaidi ya maramoja sio dalili nzuri..Tumezaa wote mtoto mmoja, ngumu kumsahau kabisa, bado namtegemea anipe taarifa za dogo
Pole sana, sijui vizuri ila kumuota MTU ktk hali hiyo na km no zaidi ya maramoja sio dalili nzuri..
Jenga utamaduni wa kusali na kujifunika kwa damu ya Yesu.
Pia sali sema.. Nang'oa ushawishi wowote wa nguvu za giza kutoka kwako Fulani.... Ni sala ndogo ila kiukweli nimesaidika sana!
Kutokana experience yangu.Kwann unasema sio dalili nzuri?maana yake mini? Au nilimpenda sana? Nitaongeza maombi usichoke kunielewesha
Kuzaa naye siyo tiketi ya wewe umuote akujie usiku ndotoni ovyo.Tumezaa wote mtoto mmoja, ngumu kumsahau kabisa, bado namtegemea anipe taarifa za dogo
Kuzaa naye siyo tiketi ya wewe umuote akujie usiku ndotoni ovyo.
Kwa ufupi elewa kuwa majini yanawajua watu wote ktk ukoo wako hata ambao wewe huwajui na hujawahi kuwaona.
Hukuletea taswira ya watu wako wa karibu ili usishituke kuwakemea ujue ni jamaa zako na kuwakemea uone kama unawasaliti.
Anza kutamka wazi kwa sala maombi ukiwa na akili timamu sema nakataa kuota ndoto za mapenzi kwa kuwa ni za kipepo. Kataa kwa nguvu kuu ya damu ya yesu kristo sema nimechoka kuonewa nahitaji niione njia yako yesu niwe huru. Vunja maagano yaliyopita kwa damu ya yesu sema hapana kwa damu ya yesu. Ujasiri huo utasambaa hata utapata nguvu ya kukemea hata ukutanapo na hali hiyo ndotoni.
Wengi wa watu huendewa kwa waganga kunuiiwa dawa ili warudiane kimapenzi na wapenzi walioachwa hivyo kinachokufuata siyo yule mtu bali majini ya upatanisho ambayo lazima yakulale ama ufanye nayo mapenzi then urudishe roho kwa mhusika.
Usikubali omba na kataa kwa neno utashinda. Acha kunyenyekea ujinga wa mashetani damu ya yesu ina nguvu sana ikiwa utaiamini. Hata ikiwa huna imani nayo bado Mungu wa Ibrahim ukimuomba atafanya miujiza mikuu juu yako. Asante.
Kwani nyumba ni nini hasa? Yaweza kuwa tafsiri ya mwili wake mwenyewe, majaribu katika afya. Ila ni vizuri akagusa pande zote.Omba utakaso kwanza kabla ya kuombea ardhi hiyo. Jitakase kwa maombi kisha anza kuombea ardhi hiyo.
Kwa nini iwe usiku tu na siyo mchana?Huo muda lazima uwe usiku siyo mchana.
Mahusiano ya kimwili kwa maana ya kujua taarifa za mtoto siyo issue, hii kitu ipo katika roho, hapa unampeperusha katika ulimwengu wa roho mambo yanakwenda sawa. Kinachofanyika ni kuvunja roho ya mahusiano yasiyo rasmi katika na haya ya sasa yanaendelea pasipo tatizo.Tumezaa wote mtoto mmoja, ngumu kumsahau kabisa, bado namtegemea anipe taarifa za dogo
Mtumeee!!! Kama umejibiwa PM nifowadie majibu. Nilikuwa nikiota joka lenye rangi nyeusi juu, nyeupe katikati na njano mkiani likinitimua. Na ndoto moja ilifanana kabisa na hii yako. Alipokuwa akinikimbilia kuna watu walikuwa wanampiga mawe halafu yale mawe yananipata mimi ila hayaumi - aliponikaribia aligeuka kuwa kaka ninayemfahamu. Siku zote nilizoota ndoto ya kupambana na hilo joka mazingira ni kijiji nilichokulia, kando ya mtoto penye majani mazuri na miti. Kuna siku bwana nikamkuta katikati ya barabara. Amegawa barabara katikati kama ile mistari ya kutenganisha leni. Alikuwa mrefu sioni kichwa wala mkia. Nikasema huyu kichwa kitakuwa mbali sana acha nimruke nivuke zangu. Lahaula! Ghafla joka liliniinukia na domo kubwa lenye ute ute na meno makali usoni kwangu. Nilishtuka usingizi nikiwa nimetota jasho natetemeka hatari. Nilibaki na hofu mwezi mzima. Nilikuwa shallow sana sijui hata kuomba. Mama yangu ndo akawa ananiombea. Siku moja nikaota nimelikuta mahali limepondwa limekufa. Sijawahi kuota tena. Miaka mingi imepita ila natamani kujua maana ya lile joka, zile rangi na yale mashambulizi.Dada divine naomba uiangalie hii na nitakuja PM pia.
Nimeota mara nyingin nakimbizwa na n'gombe mweusi mkubwa sana ana pembe Kali mno.
Mara nyingi nimekuwa nikimkimbia sana sana na pia siku moja aligeuka na kuwa kijana wa kiume simfahamu akaanza kunirushia mishale mikali mingi sana lakini haukunipata hata mmoja yani. Alirusha mara nyingi sana approximately mara 20 kisha akaja bibi mmoja rafiki yake na bibi yangu akasimama akamuangalia akaacha kurusha mishale akapotea .(mazingira ni kwetu kijijini)
Mara nyingine nimeota ng'ombe hiyo akitaka kuniingilia ( mazingira hapa sijajui)
Baada ya kuota mara nyingi juzi nimemuota huyo ng'ombe mweusi amekuja akiwa anajipanga kuanza kunikimbiza nikachukua fimbo ya ufagio nikampiga hadi akatoka kichwa minofu inadondoka chini.
Ndoto nyingine naota nakimbizwa na nyoka
Mszingira siyafahamu kabisa
Kuna siku mtoto wangu alikuwa amekaa ghafla nikaona nyoka mdogo kaja nikamkata yule nyoka!
Tena nikaona nyoka mwingine amekomaa hadi ana manyoya anapita pale pale nikataka kumzuru kwani mwanangu yuko pale ila akapita, wkt name gang as nikaona nyoka mwingine amejibanza pembeni nikamuangalia tu..
Vipi kuota marehemu mzazi kbs anaumwa sana yupo hoi alafu usafiri wa kumfikisha hospitali ni changamoto?
Mara marehemu anelala nyumbani anaumwa
Mara nyingine naota MTU ambae bado hajafa namuota amekufa
Kuna siku nimeota kuwa binti yangu amekufa kwa kuangushwa chini na dada wa kazi na nilipomuuliza akawa kiburi tu kujibu ndio hataki.
Naota nakula minyama mimi na binti yangu..
Naomba unitafsirie kwa uwezo ulionao. Najua nipo vitani na nine shanks finish a YESU awe bwana wa jeshi langu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa na shida ya ndoto za kuota nafanya ngono, kula, kuota misiba! Ila nikasali sana na kuomba huruma ya mungu
Ila siku moja, nikaota napewa wali na nyama nikakasirika sana kimoyomoyo nikasema namwaga kweli nikakibamiza ukutani kwa ujasiri mkuu. Jamani ila nimeota tena juzi napewa wali na uncle wangu nikala vijiko viwili ndio nikastuka tena jamani nikaanza kukemea...
Nimeota tena eti nashindwa kumuua mwanangu wa kipepo mikono inakosa nguvu KBS
Pia nashindwa kunyang'anya mkoba wangu upo kwa shetani..!!
Nimeota tens nimepewa yai ( yai LA kuku) na MTU nisiyemjua nikapokea daaaah!!
Kinyonga amening'ata nikamkamata nikataka kumchoma moto mume wangu akazembea akakimbia yule kinyonga..
Furaha yote imetokomea.
Mungu wangu nisaidie.
No Maisha yangu yako poa sana, pengine yako ndio yako vuluvulu, km sio mtaalamu wa ndoto ukaelewa MTU ameeleza mini, kunyamaza sio ujinga ila ni busara kubwa.Samahani nimecheka. Mwanao wa kipepo ndo nini? Inaelekea maisha yako yako vululuvululu mno. Kiroho sijui ila kisaikolojia unahangaika kutafuta wewe ni nani.