Ndoto tunazoota na tafsiri zake

Ndoto tunazoota na tafsiri zake

Mlipokua mnaongea kuowana na huyo wa kutoka AIC huyo wa pembeni mezan alikua kwenye hali gani / aliyachukuliaje maongezi yenu ?
 
Usiamue chochote rudi magotini, omba tena, hadi uhakikishe Mungu amesema tena usiafanye maamuzi unless una uhakika ni Mungu amehusika La sivyo UTAJUTA
Umemaliza kila kitu...hakuna ushauri mwingine mzuri zaidi ya huu....rudi magotini
 
Samahani sana kama nitakukosea, ila kiukweli niseme wazi kabisa, hakuna watu mnatyombana kama nyie mnaojifanya ni washika dini, yaani mnajifanyaga ni waimba kwaya na watu ambao mmemshika Mungu kumbe malaya kinyama yaani, kuna wadada wanajifanyaga wameshika dini ila huku mtaani tunawapekea moto kinyama yaani, again mnakaubaguzi fulani, yaani mnakulana wenyewe kwa wenyewe halafu sisi wengine mnatuona ni wamataifa asee, niseme tuu hakuna cha ndoto, shetani wala mizimu, ni tamaa zako tuu za kimwili, malaya wakubwa, sorry meonyesha hisia zangu kwa sababu mlinigongeaga manzi wangu alikuja kweye hayo makanisa yenu ya wapendwa, mamamamamae
 
Samahani sana kama nitakukosea, ila kiukweli niseme wazi kabisa, hakuna watu mnatyombana kama nyie mnaojifanya ni washika dini, yaani mnajifanuaga ni waimba kwaya na watu ambao mmemshika Mungu kumbe malaya kinyama yaani, kuna wadada wanajifanyaga wameshika dini ila huku mtaani tunawapekea moto kinyama yaani, again mnakaubaguzi fulani, yaani mnakulana wenyewe kwa wenyewe halafu sisi wengine mnatuona ni wamataifa asee, niseme tuu hakuna cha ndoto, shetani wala mizimu, ni tamaa zako tuu za kimwili, malaya wakubwa, sorry meonyesa hisia zangu kwa sababu mlinigongeaga manzi wangu alikuja kweye hayo makanisa yenu ya wapendwa, mamamamamae
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kazi kweli kweli.
 
Hivi ndoto ya kupigana na Mnyama jamii ya paka inamaanisha nini?

Kwa sabbu niliota nimejining'iniza kwenye dari nazungusha mateke ya maana haswa..mpaka yule paka akapotea nikawa vizuri

Hii inamaanisha nini?

Scenario nyingine pia niliota nipo na ndugu yangu + jamaa mmoja wa hapa kitaa sasa Paka jingine jeusi likaja likanitazama..tukatazamana face by face after 5seconds hivi likatoweka.

Mwenye uelewa mpana wa ndoto anisaidie zinamaanisha nini hzi?

Kwa sabbu nafuatiliwa sana hapa kitaa
 
Hivi ndoto ya kupigana na Mnyama jamii ya paka inamaanisha nini?

Kwa sabbu niliota nimejining'iniza kwenye dari nazungusha mateke ya maana haswa..mpaka yule paka akapotea nikawa vizuri

Hii inamaanisha nini?

Scenario nyingine pia niliota nipo na ndugu yangu + jamaa mmoja wa hapa kitaa sasa Paka jingine jeusi likaja likanitazama..tukatazamana face by face after 5seconds hivi likatoweka.

Mwenye uelewa mpana wa ndoto anisaidie zinamaanisha nini hzi?

Kwa sabbu nafuatiliwa sana hapa kitaa
Nachojua ukiona paka jua kuna watu wanapigana na wewe kiroho, upo kwenye vita ya kiroho. Hivyo sali sana mkuu

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
ATTENTION ATTENTION ATTENTION

JE NIKIOTA PARAPANDA INALIA NA NI KIAMA! Ina maana gani hiyo ndoto!!!?????????????
 
Mlipokua mnaongea kuowana na huyo wa kutoka AIC huyo wa pembeni mezan alikua kwenye hali gani / aliyachukuliaje maongezi yenu ?
Alikuwa akisikiliza tu na yeye pia akaafiki tuoane na yule binti baadae tukaondoka
 
Kuna ndoto pia niliota nimesafiri na classmates zangu tuliomaliza OLevel miaka hiyo...sasa wakati gari ikiwa speed kali nikahofia kuwa gari inaweza kuleta shida nikaruka nikiwa na mwenzangu....baada ga hapo mita 100 mbele gari ikapata ajali na ikadondokea kwenye bonde kubwa ambapo ni mtoni.
Naombeni msaada wakuu
 
Samahani sana kama nitakukosea, ila kiukweli niseme wazi kabisa, hakuna watu mnatyombana kama nyie mnaojifanya ni washika dini, yaani mnajifanyaga ni waimba kwaya na watu ambao mmemshika Mungu kumbe malaya kinyama yaani, kuna wadada wanajifanyaga wameshika dini ila huku mtaani tunawapekea moto kinyama yaani, again mnakaubaguzi fulani, yaani mnakulana wenyewe kwa wenyewe halafu sisi wengine mnatuona ni wamataifa asee, niseme tuu hakuna cha ndoto, shetani wala mizimu, ni tamaa zako tuu za kimwili, malaya wakubwa, sorry meonyesha hisia zangu kwa sababu mlinigongeaga manzi wangu alikuja kweye hayo makanisa yenu ya wapendwa, mamamamamae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Vipi kuota unapotea gafla pale ambapo utakuw unakmbzwa na wat wabaya
 
Ni maajabu mama na dada yangu wanaoishi mikoa tofauti wao na mm .mama yuko kijijin dada yuko mwanza mjini mm nko mkoa mwingine .
Ndan ya mwezi huu kwa mida tofauti wameota nimewatembelea ila nilikiwa mgongwa sana.
Naskiaga ndoto huwa zina tafsiri yake ngependa wajuzi mnijuze

Cc Mshana Jr MziziMkavu Rakims
Nimeona ni quote wababe wa hizi mambo
 
Back
Top Bottom