Ndoto ya wengi ni Kazi, nyumba, Familia, mwisho Gari

Basic Needs Zimekuwa Ndoto Za Watu?


Ndoto Inatakiwa Iwe Tofauti Na Mahitaji Ya Muhimu (Basic Needs) Maana Basic Needs Ni Lazima Uwe Navyo Kwanini Iwe Ndoto Tena Kuvipata.


Inabidi Tujitazame Vyema Tuone Tunakwama Wapi.

Kwa lugha nyepesi ni kuwa ni ndoto ya watanzania wengi kufukuza umaskini
 
Kwema!

Kibongobongo wengi ndoto yao ni kupata kazi, kisha nyumba( inaweza kuwa uwezo wa kulipia apartment), Familia(mke au mume na watoto) alafu mwisho usafiri kama kagari Fulani hivi kakishkaji.

Imeisha hiyo
Unakula kwa shida.

Umepanga au huna pa kulala.

Huna familia kwasababu maisha yako mwenyewe bado unayamudu kwa shida.

Unabanana kwenye daladala Kama mjusi.

Kuna tatizo kuwa na ndoto za kujitoa kwenye hali hiyo, kwanza????
 
Yeah àiming high is the best choice
Huwezi ku-aim high wakati hata kula kwako ni shida, utaokota makopo.

Utajiri ni uwekezaji unaotokana na compounding. Na Huwezi kuwekeza pesa ya KULA.

Siku zote utawekeza SURPLUS, na surplus itapatikana kwa Kwanza unapomudu KULA, KULALA VIZURI na KUSAFIRI VIZURI itakavyowezekana
 
Huwezi kuwaza dreams wakati una struggle kwenye eneo basic la maisha yako.
 
Huo ndio uhalisia mkuu, hata wenye vikubwa walianza from somewhere. Lazma uwe na pakushika kwanza ndio usogee
 
Huo ndio uhalisia mkuu, hata wenye vikubwa walianza from somewhere. Lazma uwe na pakushika kwanza ndio usogee
Halafu watu hawajielewi kwasababu ya tamaa zao.

Matajiri wengi walianzia kwenye msingi mzuri.

Unakuta baba au babu yako alianzia sehemu akafikia stage fulani ya maisha na wewe unaanzia hapo.

Sisi kila anayezaliwa anaanza upya.

Tena unazaliwa unakuta baba yako bado amepanga chumba kimoja Kwa Aziz Ally.

Maana yake, ndogo zako lazime ziwe kuboresha Maisha yako yasiwe Kama ya wazazi wako pamoja na kuboresha Maisha ya kwenu ukiweza.

Unless uwe na talent ikuoe booster.

Lakini wengi wetu tunaotegemea Ualimu au ujasiriamali wa duka la mangi au kuchoma chipsi, ndogo kubwa utabebeshwa sembe, utafirwa au utatembea sana kwa waganga na kila siku utawaza stori za paka mweupe na rupiah za wahindi.
 
Habari ya huyu mwanariadha Kiptum Cheruiyot imenisikitisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…