Ndugu yangu amekuwa mlevi wa kupindukia, nataka nimpeleke sober house

Mlete tunywe nae. Tutamfundisha unywaji bora usiwaze kabisa
 
Ameridhia kuiacha hiyo pombe?

Lazima aonyeshe namna gani hiyo pombe inamuumiza kwenye maisha yake ya kila siku na sasa anaamua bila kushurutishwa anaiacha.

Kama hajaridhia mtakuwa mnajisumbua tu.
Kabla ya kumpeleka ntamshirikisha, ye mwenyewe aliwahi kuniambia ataacha kwa hiari yake
 
Ilikuaje hadi akawa amepinda taya, meno yamevunjika na kua na kithembe?

Japo nimecheka sana
walimpiga wenzie alikua ana kaukorofi na kaubishi ka maudhi, alitandikwa vibaya sana karibu afe ila yeye alisema eti amepata ajali.

actually wale jamaa wa pale sober walikua wakitupatia taarifa zake ila yeye anageuza anatia uongo
 
Hii
Hii haina madhara mkuu tusije kujaribu tukaua mtu🤔
 
[emoji445] Mwache Ale vitu , Maisha siyo haya bwana [emoji445][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
ni mlevi wa pombe aina gani na pia ni pombe tuh anatumia au anavuta na bangi na sigara
 
ni mlevi wa pombe aina gani na pia ni pombe tuh anatumia au anavuta na bangi na sigara
Ni pombe tu, ziwe za kienyeji au bia, yoyote anakunywa, kuhusu bangi hatumii ni pombe tu
 
Weka kinyesi kwenye pombe bila yeye kujua lolote,,, shughuri atakayoipata Kila akiona chupa ya pombe au harufu ya pombe atakimbia! Onyo ufanye Siri asijue yeyote zaidi yako! Ukifanikiwa uje utoe mrejesho
 
Weka kinyesi kwenye pombe bila yeye kujua lolote,,, shughuri atakayoipata Kila akiona chupa ya pombe au harufu ya pombe atakimbia! Onyo ufanye Siri asijue yeyote zaidi yako! Ukifanikiwa uje utoe mrejesho
Unamaanisha kinyesi cha binadamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…