Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #61
Kaka nipe hints naji okoaje ndugu.Wewe ni Intelligent businessman unaanzaje kulilia. Tumia hiyo intelligence yako kupambana hadi kieleweke hata kama huyo jamaa yako aliyekualika jijini ataingia mitini.
Unazingua sasa, saa kumi na mbili jua kali linatoka wapi?sijambo broo, aisee leo nime yatimba niko hapa stendi ya magufuli.
jua ni kali kudadadeki.
kaka toka saa 7 mchana niko hapa, hapa mwili Ume chemka Kama jenereta.Unazingua sasa, saa kumi na mbili jua kali linatoka wapi?
Kaka sio masihara, hebu nipokee.Hahaha acha masihara
Kaka mni sikilize tena?, badala ya kuja nilipo.makutupora msikilize Huyu kijana
Umevaa shati gani..niko stendi ya MAGUFULI hapaKaka sio masihara, hebu nipokee.
Pole mkuu,
Ndo uanaume huo sasa, komaa mpaka kieleweke.kaka toka saa 7 mchana niko hapa, hapa mwili Ume chemka Kama jenereta.
Nime vaa shati jeupe ila kutokana na kufubaa liko Kama jekundu.Umevaa shati gani..niko stendi ya MAGUFULI hapa
Namaanisha baharini mh raisi😂😂feri ndio wapi tena?, au una maanisha sheli?
Mkuu kuweni hata na hofu ya kurogwa, huu sio utu.Pole mkuu,
Sisi huwa tunakukaribisha ila hatukupokei🤣
Bahari yenyewe najua ilipo sasa?Namaanisha baharini mh raisi😂😂
acha masihara mkuu, nili jua una sema kuwa Ume mtuma bodaboda ani pokee.Ndo uanaume huo sasa, komaa mpaka kieleweke.
Usijali kijana mzuri, na hiyo mizigo yako acha tu nije nikufuate mwenyewe. Nitapita shortcut ya goba, nipe kama lisaa limoja hivi.Sasa si uni tumie taksi au bodaboda, maana huku mi sipajui.
na naona magari mengi, kwani huku ni mpakani au wana hama?
Nimekuona njoo kushoto kwako utaona nimepark kluger v nyeusi nimeshusha viooNime vaa shati jeupe ila kutokana na kufubaa liko Kama jekundu.
suruali nyeusi ya kitambaa, nina magunia ya mizigo hapa.