Wanawake hawatupendi wanaume!
Wana pretend Ili tuwabebee mizigo ya maisha yao!
Wakishafanikiwa hawatutaki tena!
Wanatafuta waliobora kuliko wewe na kukufukuza kisiasa Kwa kukudharau,kukunyima unyumba na kukugombeza kama mtoto na kebehi juu,ukimuwasha makofi anaenda ustawi kutaka talaka!
Sisi tunazisoma Lamar za nyakati na kuanza kujiondokea kimya kimya!
Huyo wa kwako kaonyesha makucha mapema coz ana mtu tayari anemuona anafaa kuliko wewe ndio Maana katoa kipimo Ili ushindwe aende kwa jamaa anaemuheshim!!
Nilishawadharau Hawa viumbe sitaki hasta kuwasikia Bora ununue kuliko kuwekeza muda ,Mali,na hisia!!
Wabinafsi sana!