Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Parasatic Mind

CCM inasubiri mbeleko ya NEC na Wakurugenzi

Tatizo watu wana maisha magumu

Fujo na vurugu na Maandamano husababishwa na ugumu wa maisha

Venezuela huko tatizo watu maisha magumu

NEC inajichimbia shimo zaidi
Yaani tumewalea sana karibu uvumilivu utakoma!
 
kama ni kweli najua kila tukio huwa ni fursa kwa Lisu hivyo kwenye kikao hao NEC watakamatana uchawi wenyewe jamaa atakavyo wanyooshea,na uzuri wakimaliza kikao Lisu anatuletea tena hadharani walichozungumza kwenye kikao
 
Hatumwogopi huyo mkurugenzi
 

Sasa watoa vitisho ukitumia jina la bandia ndo waona umetishia kwelikweli.
 
Usitishe watu bhana tunajua mmepanga nini ila hamtafanikiwa. Kama vipi mwambie asiende basi uone-ebo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…