mkulima gwakikolo
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 1,767
- 2,855
Wakati hata nchini haupo!! Hahahaha...!Wakiendelea hivi...Lissu anachukua kura yangu
Aliongelea mgombea individual na kumtaja jina lake? Akamtaja Labda Tundu Lisu kwa jina? Ulishamsikia Magufuli akimtaja Lisu kwa jina lake?Mbona Jiwe anapopotosha kuwa tukichagua upinzani kutatokea vita haitwi?
Parasatic Mind
CCM inasubiri mbeleko ya NEC na Wakurugenzi
Tatizo watu wana maisha magumu
Fujo na vurugu na Maandamano husababishwa na ugumu wa maisha
Venezuela huko tatizo watu maisha magumu
NEC inajichimbia shimo zaidi
Mtamweza mwamba kwa kupangua sheria huyu.Haya ameyataka mwenyewe! Ngoja tusubiri tena wamemlea muda mrefu sana!
Akina mama nyie mnataka kupanuliliwa wapi? Huyu ndiye anatumia ubongo kuongea?Ila jamaa anaropoka aisee hana breki , lolote linalokuja kichwani anaongea tu bila kudigest.
Double standard kivipi? Hatujasikia wagombea wengine wakitaja majina ya wagombea wengine na kutoa taarifa za uongo kama vuvuzela Lissu!!Tume hii hii yenye double standards?
Hilo jamaa akili kubwa,atakaemuhoji awe amejipanga hasaNendeni mkajibu hoja
Yaani tumewalea sana karibu uvumilivu utakoma!Parasatic Mind
CCM inasubiri mbeleko ya NEC na Wakurugenzi
Tatizo watu wana maisha magumu
Fujo na vurugu na Maandamano husababishwa na ugumu wa maisha
Venezuela huko tatizo watu maisha magumu
NEC inajichimbia shimo zaidi
kama ni kweli najua kila tukio huwa ni fursa kwa Lisu hivyo kwenye kikao hao NEC watakamatana uchawi wenyewe jamaa atakavyo wanyooshea,na uzuri wakimaliza kikao Lisu anatuletea tena hadharani walichozungumza kwenye kikaoTume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt. Charles Mahera amesema hilo leo jijini Arusha wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo ameeleza kuwa mgombea huyo atafika mbele ya kamati Septemba 29 mwaka huu.
Akizungumzia uratibu na usimamizi wa kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu amesema tume imekumbana na changamoto kwa baadhi ya wagombea wa kiti cha Rais kutoheshimu sheria, taratibu na maadili ya uchaguzi.
Ameongeza kuwa baadhi ya wagombea wamekuwa wakitumia maneno ya kukashifu wagombea wenzao, tume, pamoja na kutoa taarifa zisizo za kweli zenye lengo la kuleta taharuki na uzushi miongoni mwa Watanzania.
Chanzo: TBC Online
Kwa taarifa yako Lissu ni vuvuzela tu anawadanganya watu kama nyinyi ambao uelewa wenu wa mambo ni zero!Hilo jamaa akili kubwa,atakaemuhoji awe amejipanga hasa
Hakuna lolote na asipoenda wanamfuta ili arudi kwao Ubelgiji.kama ni kweli najua kila tukio huwa ni fursa kwa Lisu hivyo kwenye kikao hao NEC watakamatana uchawi wenyewe jamaa atakavyo wanyooshea
Hatumwogopi huyo mkurugenziTume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt. Charles Mahera amesema hilo leo jijini Arusha wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo ameeleza kuwa mgombea huyo atafika mbele ya kamati Septemba 29 mwaka huu.
Akizungumzia uratibu na usimamizi wa kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu amesema tume imekumbana na changamoto kwa baadhi ya wagombea wa kiti cha Rais kutoheshimu sheria, taratibu na maadili ya uchaguzi.
Ameongeza kuwa baadhi ya wagombea wamekuwa wakitumia maneno ya kukashifu wagombea wenzao, tume, pamoja na kutoa taarifa zisizo za kweli zenye lengo la kuleta taharuki na uzushi miongoni mwa Watanzania.
Chanzo: TBC Online
Huyu Mkurugenzi Charles Mahera tunajuwa namna alivyopata hii nafasi ya Ukurugenzi wa NEC kwa upendeleo ili aje atumike kumptisha Magufuli akishindwa au atengeneze mazingira ya Magufuli kushinda.
Haiingii akilini kwa kutomuandikia Mahufuli kwa vitendo vya wazi wazi anavyovifanya kwenye mikutano ya Kampeni hasa anapotoa maagizo kwa TANROADS kujenga mababara.
Nitoe onyo tu, Mahera akumbuke ana familia inayomtegemea, akimfumbia macho Magufuli na kukubali maagizo anayompa itamgharimu yeye na kizazi chake. Mwaka huu CHADEMA hatuibiwi!!!
Ingia barabarani mkuu!Hatumwogopi huyo mkurugenzi
Usitishe watu bhana tunajua mmepanga nini ila hamtafanikiwa. Kama vipi mwambie asiende basi uone-eboHuyu Mkurugenzi Charles Mahera tunajuwa namna alivyopata hii nafasi ya Ukurugenzi wa NEC kwa upendeleo ili aje atumike kumptisha Magufuli akishindwa au atengeneze mazingira ya Magufuli kushinda.
Haiingii akilini kwa kutomuandikia Mahufuli kwa vitendo vya wazi wazi anavyovifanya kwenye mikutano ya Kampeni hasa anapotoa maagizo kwa TANROADS kujenga mababara.
Nitoe onyo tu, Mahera akumbuke ana familia inayomtegemea, akimfumbia macho Magufuli na kukubali maagizo anayompa itamgharimu yeye na kizazi chake. Mwaka huu CHADEMA hatuibiwi!!!