NECTA yathibitisha tuhuma alizotoa mwanafunzi wa Chalinze Modern Islamic ni za kweli, Yaifungia shule


Mkuu nisaidie what is the point ya kumbadilishia huyu mtoto na wenzake namba? Nashindwa kuelewa
 
Afande mmoja,afisa usalama mmoja, wa walimu kadhaa walikuwepo hapo wanarinda hawa nao Kwa taarifa za chini chini nao walikula mgao je tunawaachaje?

Mh Waziri futa kazi hao waliokuwepo siku hiyo Ili liwe funzo Kwa wote
Naunga mkono hoja.
 
Maswala ya namba za wanafunzi afande anahusika vipi,yeye kazi yake ni kulinda mitihani tu
Ha ha ha! Afande kashikilia bunduki yake sawasawa ana-monitor pande zote nne za dira hata kinachoendelea huko ndani hana habari wala hayamhusu.
 
Reactions: Cyb
Afande mmoja,afisa usalama mmoja, wa walimu kadhaa walikuwepo hapo wanarinda hawa nao Kwa taarifa za chini chini nao walikula mgao je tunawaachaje?

Mh Waziri futa kazi hao waliokuwepo siku hiyo Ili liwe funzo Kwa wote
Mi naona wahusika wote wapewe kesi ya Jinai, shule isifungiwe, maana bado ina Wanafunzi wengi tu wasiokua na hatia, na Wana haki ya kupata elimu!
 
Afande mmoja, afisa usalama mmoja, wa walimu kadhaa walikuwepo hapo wanalinda hawa nao Kwa taarifa za chini chini nao walikula mgao je tunawaachaje?

Mhe. Waziri futa kazi hao waliokuwepo siku hiyo Ili liwe funzo Kwa wote.
Kuna watu huwa mnakurupuka kama Mkojo wa janaba. Afisa Usalama anaingia chumba cha mtihani? Anahusikaje na mpangilio wa Namba za Watahiniwa?
 
Elewa kuwa kuna aina tatu za wasimamizi

1. Msimamizi ( mwalimu) wa ndani ambaye ndiyo huhusika na kusimamia na kuwahudumia watahiniwa yaani wanafunzi wakati wa kufanya mtihani.

2. Msimamizi msaidizi
Huyu ni mkuu wa shule husika, hutoa ushirikiano wa document muhimu juu ya watahiniwa.

3. Msimamizi wa nje.
Huhusisha msimamizi mwenye wajibu wa kulinda eneo la kituo cha mtihani ili kusiwepo na ghasia yoyote inayoweza kuathiri ufanyikaji wa mtihani.
- msimamizi huyu ni askari yaani askari polisi au askari wa jeshi la akiba ( mgambo)

Mlinzi wa nje yaani askari hahusiki kwa namna yoyote ile na makosa ya ndani ya chuma cha mtihani.

- afisa usalama ( hasa DSO) hakai au kulinda kituo cha mtihani bali hupita tu kukagua na kuchunguza mazingira ya nje.
 
Mi naona wahusika wote wapewe kesi ya Jinai, shule isifungiwe, maana bado ina Wanafunzi wengi tu wasiokua na hatia, na Wana haki ya kupata elimu!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hapa imetumika methali ya samaki mmoja akioza wote wanaoza wakati siku hizi tunamwondoa aliyeoza wengine tunaanika juani mambo yanaendelea.
 

Unakuwa Kama shetani. CHADEMA ingeingia ungesema inatafuta kiki, imekaa kimya bado unaisema. Sijui lipi zuri kwako.
 
Wenzao wanafanya kila siku hayo ila husikii kufungiwa, wao wamejaribu tu fastaaaa
Kilichofanyika hakikubaliki na kufungia shule yote kufanya mitihani pia haikubaliki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…