stonecutter
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 1,724
- 2,584
Sawa mkuu. Nje ya mada kidogo. Nini maana ya kafiri.Sawa, ila usiseme ameuawa na kafiri wa kizayuni bila kuwa na uhakika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu. Nje ya mada kidogo. Nini maana ya kafiri.Sawa, ila usiseme ameuawa na kafiri wa kizayuni bila kuwa na uhakika
Baada ya kiongozi wa kigaidi kuuawa ndani ya Iran,Iran wakajiapiza Vita kamili inaenda kutimia kwa kiongozi huyo kuuawa ndani ya ardhi yao. Wakajiapiza kulipiza kisasi haraka.Si iran arushe basi au ajitokeze mazima..? Haahahah kama hajawa majivu
Unaweza kukuta jamaa ni msomi wa university lakini anaongea ujinga hata mtoto wa darasa la Saba angeweza kung'amua vitu vidogo tu kama hiviWewe mpumbavu una fananisha Hezbollah kijikundi na taifa la Iran wajinga wamejaa humu
Israel akiingiza majeshi Gaza itakuwa makaburi kwa wanajeshi wa Israel. Alisikika kiongozi wa Iran akisema hivyo.Hao wakithubutu wanapata aibu ya karne.
Syria naye amepanga kurudisha eneo lake na taarifa rasmi zinasema takribani wanajeshi elfu arobaini kutoka Yemen, Taliban, Iraq na Syria wenyewe wapo hapo mpakani na Israel. Wanasubiri kosa la kiutebdaji alifanye Israel.
Netanyahu akithubutu kuingiza jeshi kwenye mipaka ya Lebanon hiyo ni vita kamili. Na jeshi la Israel limesha prove ni mdebwedo kwenye vita yake na Hamas.
Na kinachofanyika sasa hivi Iran ananunua silaha za kuzamisha meli Russia na kumpatia Yemen. Ikiwa vita ikiaanza Yemen atakuwa anadili na meli za kijeshi za Bwana Nato hapo baharini.
Hivyo mazingira kwa Israel na mabwana zake si rahisi kihivyo!
Usiseme hivyo Allah anaweza kuwalinda watu wake wa middle East. Sema nao wanam keep busy sana kila siku kusimamia logistics za wale mabikira peponi....kumbuka trend ni kubwa wakati mwingine anazidiwaAnasema hakuna sehemu Iran na middle east yote ambapo mkono wa jeshi la Israel hauwezi kufika.
My take
Kuna haja ya Iran na wadau wake waweke tofauti zao na Israel pembeni. Maana Israel kwa sasa anaweza hata kuua nusu ya raia wa middle east na watu wote wakabaki wanamchekea. Hakuna mtu wa kumchukulia hatua wala kumzuia chochote qtakachoamua kufanya kwa yoyote duniani.
Walimuua Rais aliyeamuru kurusha makombora ndani ya Israel..hawakuridhika wakatoa roho kiongozi wa Hamas,ulitaka kisasi kipi tena ?Ujinga umekujaa huyo Israel hajafika hata nusu ya Ujerumani.
Kijitaifa kinachoishi ndani ya ngao ya ulimwengu wa magharibi hakina uwezo wa kutisha mashariki ya kati yote.
Iran iliporusha makombora Israel na yalifika [ hivi unajua hicho kitendo ni kuhararisha vita ya moja kwa moja ] kwa nini Israel hakuivamia Iran kivita kama yeye anaweza kuua mashariki ya kati yote ?
Una kichwa kitumie kufikiri sio kujaza ujinga.
Tatizo sio ukiristo, shida wakiristo wa jf wanauchukia sana uislam. Comments zao utadhani za std 7Uko Obsessed sana na Ukristo. Shida nini?
Hata Burundu kama itasaidiwa na NATO, USA, UK watawapiga hata Mrusi. Lkn Isreal yeye peke yake hata JKT wananguvuWalimuua Rais aliyeamuru kurusha makombora ndani ya Israel..hawakuridhika wakatoa roho kiongozi wa Hamas,ulitaka kisasi kipi tena ?
Wamelipa..?Baada ya kiongozi wa kigaidi kuuawa ndani ya Iran,Iran wakajiapiza Vita kamili inaenda kutimia kwa kiongozi huyo kuuawa ndani ya ardhi yao. Wakajiapiza kulipiza kisasi haraka.
Basi wamemuua raisi na magaidi yake njoo tena kamili gado ifutwe na ww iran iwe jivuKwani May aliporusha yale makombora 300 kwenda Israel,Israel ilifanya nini!?
We jamaa huwa haunaga hoja unaropokaga tu.
Vipi na hezbollah , hamas , houth ni kambi za kigaidi za Iran?Hii inafahamika Israel ni kambi ya kijeshi ya nchi za magharibi hapo mashariki ya kati.
Na ndiyo maana kila Israel inapokuja na azimio la kuishambulia Iran kijeshi kwanza anaenda kwenye bunge la US kuelezea mpango kazi wake.
Wakiridhishwa nao wataingia na wasiporidhishwa nao wanamwambia tulia kwanza.
Vijana wa namna yako nawajua wengi!Israel akiingiza majeshi Gaza itakuwa makaburi kwa wanajeshi wa Israel. Alisikika kiongozi wa Iran akisema hivyo.
Bora hata std 7 yaani ukiangalia thead za kobazi zimejaa ubishi hata wakipigwa wanasema hamas wameshinda, hezbollah wanaenda kushinda utafikiri elimu zao wameishia madrasaWakiristo wa jf thread zao zinachekesha sana utadhani wamemaliza std 7
Kiongozi wa Hamas alijiua ?Wewe ni mpumbavu sana una huo ushaidi Israel kuua Rais wa Iran tofauti na ajali ya chopa ?
Kwa nini watoto wajinga wamejaa humu wakati majukwaa yapo mengi ya kuonesha upumbavu wao ? Idiot
America, Israel, UK na NATO dhidi ya palestina mwaka sasa. Unategemea nini? Kama ingalikuwa Vatican dhidi ya Isreal majoho yote wangalikuwa yashachomwa motoBora hata std 7 yaani ukiangalia thead za kobazi zimejaa ubishi hata wakipigwa wanasema hamas wameshinda, hezbollah wanaenda kushinda utafikiri elimu zao wameishia madrasa
Sasa mtu kama wewe nijenge naye hoja ya nini ikiwa huu ndiyo uelewa wako?Vipi na hezbollah , hamas , houth ni kambi za kigaidi za Iran?
Achana na huyo kobaz hana akili viongoz wa iran wamekiri israel kafanya hilo yeye mtu kutoka mwakaleli huko kwenye mashamba ya viazi anataka akatae kimahaba mahaba ya udiniKiongozi wa Hamas alijiua ?
Hayo makombora ndio yaliompeleka kuzimu mzee wa helikopta umesahauNetanyahu ni mwendawazimu hiyo my take yako ya kipuuzi Iran ilishaonesha hana anacho hofia na ndio maana ilirusha makombora katika nchi yake huyo Netanyahu kama yeye anajiamini na yeye angerusha makombora au kupeleka tu ndenge twake kumvamia mwenzake simple like that aache vitisho vya kitoto vya kijinga.
Anasema hakuna sehemu Iran na middle east yote ambapo mkono wa jeshi la Israel hauwezi kufika.
My take
Kuna haja ya Iran na wadau wake waweke tofauti zao na Israel pembeni. Maana Israel kwa sasa anaweza hata kuua nusu ya raia wa middle east na watu wote wakabaki wanamchekea. Hakuna mtu wa kumchukulia hatua wala kumzuia chochote qtakachoamua kufanya kwa yoyote duniani.
Mungu laiti ungetupa kiongozi kama huyu, sio tu lie nae,anayepiga vijembe, na kutuimbia taarab, huku karembua machoAnasema hakuna sehemu Iran na middle east yote ambapo mkono wa jeshi la Israel hauwezi kufika.
My take
Kuna haja ya Iran na wadau wake waweke tofauti zao na Israel pembeni. Maana Israel kwa sasa anaweza hata kuua nusu ya raia wa middle east na watu wote wakabaki wanamchekea. Hakuna mtu wa kumchukulia hatua wala kumzuia chochote qtakachoamua kufanya kwa yoyote duniani.