Wamechelewa, miaka zaidi ya 40 Iran ikiwa na vikwazo na kutengwa na dunia imejitutumua imefika pale chini ya huo huo uongozi wa kobazi, hata wananchi wanaona.Mpaka yule kikofia kobazi afe, atajiuzulu kabisa
Uwezo huo anao π€£π€£π€£π€£Piga madikiteta wote, washenzi hao.
Kwa hiyo hizo kesi za ufisadi zilizoko mahakamani ni za nn?Ufisadi gani Neta kafanya?
Ufafanuzi wako na maoni yako yanakufurahisha mwenyewe.UKWELI NI KWAMBA ISRAEL AMUWEZI MUIRAN HATA KIDOGO ILA KOSA KUBWA LA WAIRANI NI KUWA WAISIHARAMU....KAMA NINAVYO SEMA HAPA KUWA WAISIHARAMU HUWA AWANA AKILI NI KAMA WANAWAKE WASIVYO NA AKILI HASA YA UONGOZI BASI mbinu watakayo tumia mabeberu kwa iran itakayo fanikiwa ni kucheza na upumbavu wa waisiharamu kwa KUWAFARAKANISHA WAO KWA WAO....MAJUZI IRAN IMETOKA KWENYE MAANDAMANO MAKUBWA KISA NYWELE ZA MWANAMKE KUONEKANA SERIKALI YA IRAN IKAINGIA KICHWA KICHWA NA KUSABABISHA VURUGU KUBWA ...SASA HIVI WANATAKA KUPITISHA SHERIA NYINGINE YA KIPUMBAVU KUHUSU MAVAZI ITAKAYO WEZA KUTUMIWA NA MABEBERU KULIFARAKANISHA TAIFA LA IRAN NA KULIPOLOMOSHA .....KITU AMBACHO MUARABU KINA MSHINDANI VIBAYA SANA MUARABU MUISLAMU SIKUZOTE NI FITINA ZA MABEBERU .....
Mabeberu yanao uwezo wa kuiangusha Iran kwa fitina siyo kijeshi ...uwezo wa kuiangusha au kuidhohofisha iran kwa fitina unaweza kuwa na ufanisi wa asilimia 78% na uwezo ya kuianguza au kuidhohofisha iran kijeshi ufanisi ni asilimia 22%
Subiri hapo kichwa kinaliwa mda si mrefu.Wamechelewa, miaka zaidi ya 40 Iran ikiwa na vikwazo na kutengwa na dunia imejitutumua imefika pale chini ya huo huo uongozi wa kobazi, hata wananchi wanaona.
Matumaini ya wananchi wengi yapo kwenye serikali yao.
Israel ni habari nyingineSubiri hapo kichwa kinaliwa mda si mrefu.
At unasemaje Africa hatutaki hiyo kitu huku manenoWakimaliza huko waje na Africa
Wakila kichwa missiles zinatua Tel Aviv kama kawaida, huu muda waajemi hawacheki na nyani, hata shambulizi la israel lilikuwa hlina madhara kulinganisha na hasara waliyopata wayahudi, ndio maana Iran ikaona haina haja kuwalipiza.Subiri hapo kichwa kinaliwa mda si mrefu.
Mwamba amewatoa hofu wananchi-raia na kuwapa matumaini yenye heri siku za karibuni. Lakini ametema cheche kwa hao viongozi-wakandamizaji wa hao raia. Kwa maneno rahisi ni kwamba amewaonya wajue mwisho wao umetimia.
Vp..........hakuna hata kamkojo kidogo kalikotoka broo?Umeandika Mavi matupu
Umejuaje au nani kakuambia hayo π π π ??Wakila kichwa missiles zinatua Tel Aviv kama kawaida, huu muda waajemi hawacheki na nyani, hata shambulizi la israel lilikuwa hlina madhara kulinganisha na hasara waliyopata wayahudi, ndio maana Iran ikaona haina haja kuwalipiza.
Wengi wenu humu mlidhani Iran ni nchi ya kuichukulia poa, majasusi kutoka EU na US ndio maana walionya Israel kuhusu kushambulia miundombinu ya gas na mafuta na ndicho Iran ilisubiri ili kusudi ipate ticket ya kuadhibu vyema israel.Umejuaje au nani kakuambia hayo π π π ??
Je, ww ni mmojawapo wa makamanda wa vikosi vya Waajemi?
Iran hii hii ama kuna nyingine mm ndo sijui geograph ya dunia vizurNaona kila siku mwakunyazi ya Netanyahu yanaongezeka anafikiria kitu ambacho hana uwezo wa kikuzua,Iran ni mkubwa sana kwa Netanyahu inabidi alifaham hillo
Hakuna Kiongozi aliyewahi kupendwa na wote popote dunia tangu ngazi ya familia mpaka kidunia.Huyo Netanyau mwenyewe kwenye nchi yake hatakiwi ,na bado kesi za ufisadi zinamuandana.
Anything can happen ila trump ni mtu hatabiriki kabisaMwaka 2025 utakuwa mgumu kwa Iran. Netanyau ni Beberu. Ifuko ya kibeberu imejaa hila tupu
Hapa hatupo.kufurahishana hii ni fact .... fitina ndiyo inayo washinda waarabu na kujipiga bunduki wao wenyewe kwa wenyeweUfafanuzi wako na maoni yako yanakufurahisha mwenyewe.