James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Kupigana vita si mchezo ndugu. Hapo jana wamelazimisha Ultra Orthodox Jews students waingie jeshini kwa lazima na hii ni kinyume Cha Imani ya hao jamaa. Wao kazi yao ni kusoma dini tuu. Maana yake kitakuwa na uhaba wa reserve ya askari wakiendelea hivi. Hivyo kupigana ktk fronts zote mbili inahitaji mipango. Israel ilikuwa zaidi kiteknolojia ila hamas inawakumbusha kuwa si teknolojia tu. Vita inahitaji watu wa kufa vitaniApige front zote 2......ana uhakika hamas kawamaliza?.....Hezbollah anabeba hadi watu wa iraq sio lebanon peke yake
Hasubutu kugusa hio Air port ya Lebanon afu hakuna dalili ya aina yoyote wamepata afu nani kawazuia kuingia si uwongo tu.
Israel kisha ambiwa na US wakati Iran alipo attack Usrael alizimbia US, UK, France, Germany na wengine wekeni kila silaha kumkingia kifua Israel natutapenya kuivuruga Israel kwa mda wa masaa 72 aliwajulisha iwe Hezbullah hapo karibu siataivuruga Israel.
Pata akili kidogo hebu msikilize huyu.
View: https://youtu.be/qi566mj1DJM?si=k0gryQ_hQoPU5cBJh
Hueleweki nyoosha maelezo, kazi haijaanza ushaanza kupiga makeleleHasubutu kugusa hio Air port ya Lebanon afu hakuna dalili ya aina yoyote wamepata afu nani kawazuia kuingia si uwongo tu.
Israel kisha ambiwa na US wakati Iran alipo attack Usrael alizimbia US, UK, France, Germany na wengine wekeni kila silaha kumkingia kifua Israel natutapenya kuivuruga Israel kwa mda wa masaa 72 aliwajulisha iwe Hezbullah hapo karibu siataivuruga Israel.
Pata akili kidogo hebu msikilize huyu.
View: https://youtu.be/qi566mj1DJM?si=k0gryQ_hQoPU5cBJ
Hawezi kugusa Lebanon huyo shoga kisha vuliwa nguo zake yuko uchi, zamani wajinga walikuwa wakiamini Israel ni super power kumbe hana lolote.Hueleweki nyoosha maelezo, kazi haijaanza ushaanza kupiga makelele
ndo maana mmarekani hataki jamaa aendelee kuharibu mambo, anaweza aibika mbeleni akihamia kwa hao wa lebanon huku nyuma hamas watajipanga wampige pia,,,,,na jamaa hana askari wa kutosha kuliamsha pande zote 2Kupigana vita si mchezo ndugu. Hapo jana wamelazimisha Ultra Orthodox Jews students waingie jeshini kwa lazima na hii ni kinyume Cha Imani ya hao jamaa. Wao kazi yao ni kusoma dini tuu. Maana yake kitakuwa na uhaba wa reserve ya askari wakiendelea hivi. Hivyo kupigana ktk fronts zote mbili inahitaji mipango. Israel ilikuwa zaidi kiteknolojia ila hamas inawakumbusha kuwa si teknolojia tu. Vita inahitaji watu wa kufa vitani
Waambie hawa walokole .pia vita inategemea uchumi wa nchi hammas wanapigania nchi yao wakati Israeli ili aende vitan lazima again payroll kama motishaKupigana vita si mchezo ndugu. Hapo jana wamelazimisha Ultra Orthodox Jews students waingie jeshini kwa lazima na hii ni kinyume Cha Imani ya hao jamaa. Wao kazi yao ni kusoma dini tuu. Maana yake kitakuwa na uhaba wa reserve ya askari wakiendelea hivi. Hivyo kupigana ktk fronts zote mbili inahitaji mipango. Israel ilikuwa zaidi kiteknolojia ila hamas inawakumbusha kuwa si teknolojia tu. Vita inahitaji watu wa kufa vitani
Ulokole siyo shida. Halafu Jews siyo walokole. Shida labda ni kuiona vita katika uhakisia wake. Vita ni vita.Waambie hawa walokole .pia vita inategemea uchumi wa nchi hammas wanapigania nchi yao wakati Israeli ili aende vitan lazima again payroll kama motisha
Kama kuna kima nafikiria Israeli itaicha mipakani mitakatifu ichezewe na magaidi atakuwa unakosea sana
Chanzo aljazeera
Thubutuu, wataanzaje kuacha kwa mfanoπ€£Waambie na waisraeli nao wasipokee misaada ya silaha toka USA, UK, German, France, Italy..zipigwe kavukavu tuone
Hana kweli na ndio sasa anajimaliza.Isreli akipogana tena vita kama vya gaza niite mbwa .huouwezo hana tena
Netanyahu huyu ambaye juzi alilazimishwa vijana wa Ultra Orthodox waingie jeshini kilazima!?Waziri Mkuu wa Israel amewaambia wanahabari kuwa baada ya mafanikio makubwa Gaza hasa eneo la mwisho la Rafaa yanabadili upepo na sasa wanahamishia vikosi mpakani mwa Lebanon kupambana na Hizbolah .
Kama kuna kima nafikiria Israeli itaicha mipakani mitakatifu ichezewe na magaidi atakuwa unakosea sana
Chanzo aljazeera
USSR
This is baseless claim .Kuwa serious kidogo, Hamas unajua ni kama kuku wa kienyeji hawatulii sehemu moja, waambie wapigane kama jeshi kamili waende frontline dhidi ya Israel uone kama watabaki hata mmoja..
Usisahau kumuita na huyo Yahaya wako!.
Jana nilikua natizama habari IDF wakawa wanasema na cross border fire imekua ngumu kwao kwasababu HIZBOLLAH hawaonekani.Kwa Lebanon kasema ataweka askari mpakani kwa ajili ya ulinzi,hatoingia Lebanon,najua hizbullah hawalali,ajitie nyege si tufurahi TelAviv kuwa Kama Gaza
Wachambuzi wanahoji kwamba imekuaje ama ndio hamas kasbabisha haya yote haya je hizbullah mazayuni watatoboaNetanyahu huyu ambaye juzi alilazimishwa vijana wa Ultra Orthodox waingie jeshini kilazima!?
ππππππIsrael itulie tu kwa kweli.
Allah AKBAR waacha weee MAASHALLAHR.I.P wateule wa mchongo...super heavyweight LGBTQ
Waislam bana ALLAH AKBAR ALLAH AKBARR.I.P wateule wa mchongo...super heavyweight LGBTQ
Hapo kapigana tu na wanamgambo,, hajapigana na taifa ambalo nalo jeshi lake limekamilikaWachambuzi wanahoji kwamba imekuaje ama ndio hamas kasbabisha haya yote haya je hizbullah mazayuni watatoboa
Nimeona majeshi mengi madhaifu ila israel kiboko kwa udhaifu kwakweli khaaa
Israel ukiwa unahadithiwa inatisha Sana Ila Israel yenyewe weupe haswaaaaHapo kapigana tu na wanamgambo,, hajapigana na taifa ambalo nalo jeshi lake limekamilika
Wameenda marekani ili wasaidiwe na mkubwa .uchokozi wafanye wenyewe halafu kikinuka U.SA watafutweIsrael ukiwa unahadithiwa inatisha Sana Ila Israel yenyewe weupe haswaaaa
Wale hawana tofauti na UVCC pamoja na UWT. Ukiua CCM maliza kila kitu.Wendawazimu hao, kipindi hao watoto wanapigwa baba zao wanakuwaga wapi