Nteko Vano
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 434
- 111
tgs D kama ni iz kaz za kawaida then 470000, E laki 6..cna uhakika kivile.
Uko sahihi mkuu labda ibadilike mwaka huu wa fedha mpya unaonza mwezi ujaooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tgs D kama ni iz kaz za kawaida then 470000, E laki 6..cna uhakika kivile.
tgs D kama ni iz kaz za kawaida then 470000, E laki 6..cna uhakika kivile.
Umeshapata jibu au nikusaidie na mimi?
NImesoma post zote mwanzo mwisho, Ukweli ni kwamba mshahara wa mawilimu mwenye degree ni mdogo sana, na roho inauma sana, hata kama una GPA kubwa. kuna madaktari wana GPA ndogo sana lakini utakuta wanachukua mshahara mnono.
Ushauri wangu ndugu, Usiukatae ualimu kama huna altenative- nenda kadake hizo hizo, huku ukifikilia otherwise. Vijana wengi wana tabia ya kuponda ualimu huku wakikaa kwa kaka zao, shemeji zao au dada zao. Hiyo nimmbyaya sana.
Tafiti zinaonyesha kuwa, hapa bongo Walimu wanaongoza kwa kuhama field ya ualimu. Kwa hiyo isikupe shida kuanza na hiyo 350,000/= we kaichukue hiyo kazi jipange uangalie utakavyotoka. Walimu wanachomoka sana. Ila tahadhali ukienda kuanza kazi ukapewa ka cheo ukalala itakula kwako.
Ualimu isiache kama huna pa kuanzia.
ualimu na unesi ni wito,,,
320,000.00 ukigawa kwa 30 ni sawa na 10,700/= tshs kwa siku!
Hivi pesa hii mtu akijipanga kufanya kilimo cha umwagiliaji wa pampu tu ya kawaida akitumia maji ya mto wa kudumu hawezi kupata hata 500,000 kwa mwezi?
Nauliza tu, i stand to be corrected!
kila kitu kinachangamoto zake, lakini cha muhimu mhusika kuzikubali. Tatizo kubwa ni kipindi kisichopungua miezi 3 ndipo uanze kupata hicho kipato je unajipangaje
320,000.00 ukigawa kwa 30 ni sawa na 10,700/= Tshs kwa siku!
Hivi pesa hii mtu akijipanga kufanya kilimo cha umwagiliaji wa pampu tu ya kawaida akitumia maji ya mto wa kudumu hawezi kupata hata 500,000 kwa mwezi?
Nauliza tu, I stand to be corrected!
Mkuu hii calculation ukiyoiweka ni sahihi kweli? maana hizo percentage ulizoweka makato yake yanafika sh 122591
Gross Salary 422,730.00
14% Tax 59,182.20
8% NHIF 33,818.40
5% pension 21,136.50
2% CWT 8,454.60
Take home salary= 300,138.30