Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

Attachments

  • images (21).jpeg
    images (21).jpeg
    50.6 KB · Views: 40
Hivi hii nchi bado kunamtu analipwa mshahara chini ya laki 3 na anaendelea na kazi
 
Inategemea ni master ya nini?,na upo taasisi ipi?,UDSM Tutorial assistant akienda kupiga master akirudi anakua assistant lecturer,hapo hapo clinic ya UDSM ,Medical officer akienda kupiga MMED anaesthesia akirudi analipwa PMGSS 11,baada ya 8 aliyoanza nayo kazi
Ni kweli inategemea na taasisi.
 
Master ya afya pekee kwenye utumishi ukiacha academic institution ambayo Ina salary ni MMED,ukiwa wizara/TAMISEMI,utaanza na TGHSG=2,300,000/=,Mashirika ya umma PMGSS 11=3,200,000/=
Ok.Na akiwa assistant lecture kwa MMED ni ngap anapata?
 
Back
Top Bottom