Leader salary scale enumerationWakuu wa idara wa Halmashauri na wakurugenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leader salary scale enumerationWakuu wa idara wa Halmashauri na wakurugenzi
Kwa kuongezea.
Kama halaiki wanaenda na TGS then viongozi wao wataenda na hizo LSSE
Hivi mkuu Mwifwa hata anayekaimu ukuu wa idara analipwa sawa na mkuu mwenyewe?Kwa kuongezea.
Kama halaiki wanaenda na TGS then viongozi wao wataenda na hizo LSSE
Halipwi hadi athibitishwe kuwa Mkuu wa IdaraHivi mkuu Mwifwa hata anayekaimu ukuu wa idara analipwa sawa na mkuu mwenyewe?
🙏🏽🙏🏽Halipwi hadi athibitishwe kuwa Mkuu wa Idara
Ni kweli inategemea na taasisi.Inategemea ni master ya nini?,na upo taasisi ipi?,UDSM Tutorial assistant akienda kupiga master akirudi anakua assistant lecturer,hapo hapo clinic ya UDSM ,Medical officer akienda kupiga MMED anaesthesia akirudi analipwa PMGSS 11,baada ya 8 aliyoanza nayo kazi
Mshahara sio issue, issue ni ukakasi nilioupata pale mbobevu anaposhindwa kuuandika ipasavyo ubobevu wake.Specialist wa usingizi anaanza na TGHS G.
Daktari bingwa entry level
SidhaniHivi mkuu Mwifwa hata anayekaimu ukuu wa idara analipwa sawa na mkuu mwenyewe?
Huyu mwenye sifa hizi ni P.h.d holder na ndo anaanza salary scale hii na sio masters kama alivosema mwamba pale juuSpecialist wa usingizi anaanza na TGHS G.
Daktari bingwa entry level
Ok.Na akiwa assistant lecture kwa MMED ni ngap anapata?Master ya afya pekee kwenye utumishi ukiacha academic institution ambayo Ina salary ni MMED,ukiwa wizara/TAMISEMI,utaanza na TGHSG=2,300,000/=,Mashirika ya umma PMGSS 11=3,200,000/=
SijuiOk.Na akiwa assistant lecture kwa MMED ni ngap anapata?
PUTS 2.3 sijui ndo shngapOk.Na akiwa assistant lecture kwa MMED ni ngap anapata?
Mimi ntapata hzi nafasi zilizotangazwa nikisaini mkataba ntakujuza amount ya salary scale hiyoNACTVET 4 ni shingapi wadau
Mungu akupe hitaji la moyo wakoMimi ntapata hzi nafasi zilizotangazwa nikisaini mkataba ntakujuza amount ya salary scale hiyo
Niombee😀 ili upate taarifa kutoka kwangu
Mshahara sio issue, issue ni ukakasi nilioupata pale mbobevu anaposhindwa kuuandika ipasavyo ubobevu wake.
Kwa level ya chuo kikuu PHTS 1.1 na PHTS 1.2 ni kiasi gani?Hii inatumika kwa watafiti, kwasasa wanachukua 1,187,000
Atakuja kudai pesa zake za kukaimu.Halipwi hadi athibitishwe kuwa Mkuu wa Idara