Mhigomkami
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 1,105
- 765
Mh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikosea kutype nilkuwa namaana ile scale sio PMGSS 5/1Mbna imekua kubwa kuliko 5/1
Yes dip za afya wanaanza na PMGSS 4/1Okay, na diploma ya afya ni PMGSS 4.1??
Hapana , nataka kuhamia hukoWametoa tangazo la kazi mkuu?
Okay[emoji106]Nilikosea kutype nilkuwa namaana ile scale sio PMGSS 5/1
Ambayo ni sawa na Sh. ngapi mkuu?Yes dip za afya wanaanza na PMGSS 4/1
M 1,155,000Ambayo ni sawa na Sh. ngapi mkuu?
[emoji106][emoji106]M 1,155,000
Si ndo kauliza swali hapo kauliza "PMGSS 5/1 ni kiasi gani? Ndo nikamjibu hujaelewa wapi?Hii sio PMGSS 5/1
Yes kwenye taasisi yes ni PMGSS 4/1 au kama ulivyoandika PMGSS 4.1Okay, na diploma ya afya ni PMGSS 4.1??
PMGSS 5/1 ni 1,343,000Si ndo kauliza swali hapo kauliza "PMGSS 5/1 ni kiasi gani? Ndo nikamjibu hujaelewa wapi?
Izo n scale za Taasisi ipi?PMGSS 5/1 ni 1,343,000
PMGSS 5/2 ni 1,387,000
Haifiki M 1,550,000 kma ulivyomjibu
Hiyo cobra ndo naisikia.Habari wadau. samahani naomba kuuliza kama kuna mdau yoyote anaijua o COPRA (Cereals and Other Produce Regulatory Authority - Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko salary scale zao tafadhali naomba msaada
Yaaani ukisikia Authority we kimbia nenda huko kuna kisima cha asaliHabari wadau. samahani naomba kuuliza kama kuna mdau yoyote anaijua o COPRA (Cereals and Other Produce Regulatory Authority - Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko salary scale zao tafadhali naomba msaada
Sio cobra ni COPRA mkuu imeanza siku si nyingi kwenye 2021 iko chini ya wizara ya kilimoHiyo cobra ndo naisikia.
yes, Mdau uko sawa iko chini ya wizara ya kilimo isiwe mambo ya TGS ndiyo wasiwasiSio cobra ni COPRA mkuu imeanza siku si nyingi kwenye 2021 iko chini ya wizara ya kilimo
H😀, Mmmmh nilishawahi kugongwa na nyoka, kwahiyo muda huu yasiwe yale yaleYaaani ukisikia Authority we kimbia nenda huko kuna kisima cha asali
Wametoa nafasi?? Au ww unataka kuhamia?H😀, Mmmmh nilishawahi kugongwa na nyoka, kwahiyo muda huu yasiwe yale yale
H😀, Mmmmh nilishawahi kugongwa na nyoka, kwahiyo muda huu yasiwe yale yaleYaaani ukisikia Authority we kimbia nenda huko kuna kisima cha asali