Miss Makuka
Member
- Jan 5, 2023
- 13
- 6
H😀, Mmmmh nilishawahi kugongwa na nyoka, kwahiyo muda huu yasiwe yale yaleYaaani ukisikia Authority we kimbia nenda huko kuna kisima cha asali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
H😀, Mmmmh nilishawahi kugongwa na nyoka, kwahiyo muda huu yasiwe yale yaleYaaani ukisikia Authority we kimbia nenda huko kuna kisima cha asali
Wametoa nafasi?? Au ww unataka kuhamia?
Kuna jmaa yangu alihamishiwa huko toka wizara ya kilimo wakati inaanzishwa muda mwingi wako field wanakula perdiem
Ila mkuu nadhani inategemeana na kada yako,jamaa yangu mimi ni mtaalamu wa kilimo yaani alisoma kilimo SUA,Sasa kwa kada zingine sijajua kama wana mitoko au nikukaa tu ofisini 😀shukrani kama kuna per diem, acha nijitose. shukrani sana. asante kwa muongozo huo
Mkuu ilikuwaje..?H😀, Mmmmh nilishawahi kugongwa na nyoka, kwahiyo muda huu yasiwe yale yale
Unataka kuhamia kupitia mfumo huu unaosumbua wa ESS..?Kuhamia ndugu
Mkuu, hii 852,000 ni Basic..?
Chief mbona unauliza jibu lilio wazi kabisa na slip unaona😂Mkuu, hii 852,000 ni Basic..?
Kama ni Diploma basi si haba,, maana Huku Halmashauri Diploma wanachukuwa hata 600k haifikiChief mbona unauliza jibu lilio wazi kabisa na slip unaona😂
Halmashauri Diploma n 580k na hy n gross, wakichukua pesa zao unabakiwa na 470k hvKama ni Diploma basi si haba,, maana Huku Halmashauri Diploma wanachukuwa hata 600k haifiki
Basic au Take home hiyo 600k?Kama ni Diploma basi si haba,, maana Huku Halmashauri Diploma wanachukuwa hata 600k haifiki
Duh 470k ni tightHalmashauri Diploma n 580k na hy n gross, wakichukua pesa zao unabakiwa na 470k hv
Ndio TGS hizo mkuu wanguDuh 470k ni tight
Duh sema bora chochote kuliko kukosa kabisa.Ndio TGS hizo mkuu wangu
Diploma ya nn hiyo mkuu?Halmashauri Diploma n 580k na hy n gross, wakichukua pesa zao unabakiwa na 470k hv
Naskia diploma zote.Diploma ya nn hiyo mkuu?
Duh hali n tightNaskia diploma zote.